Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

ni nani asiyejua kuwa katika fani zote fani ya ualimu ni fani iliyotawaliwa na wajinga.

Yani miji-alimu ina maisha magumu yatokanayo na udumavu wa akili,fikra mbovu na tabia mbaya (kulawiti watoto wetu)

NAHESHIMU FANI YA UALIMU KWA NCHI ZINGINE SIYO HII.

Mijialimu inaishi maisha magumu bila posho bila bonus wala nyongeza za mara kwa mara za mishahara ila kwenye chaguzi inarubuniwa kwa tisheti na kofia na vilaki laki


BADILIKENI WALIMU WA DANGANYIKA
Tatizo hukuwa na akili darasan ukabondwa sana bakora,saizi una hasira nao sana.pole
 
Tatizo hukuwa na akili darasan ukabondwa sana bakora,saizi una hasira nao sana.pole

mzee ni muhaya kwa taarifa yako.

Mzee wangu amestaafu moi( daktari bingwa wa mifupa)
mama yangu alikuwa Geogist alistaafu GST.

kwa kupenda fani ya Mama mpka sasa mimi ni Geologist.

nakupa taarifa tu.

best student na mwenye IQ kubwa kuwahi kutokea hapa Tanzania


Wewe endelea kupuliza moto kwenye kuni huko kijijini.
 
mzee ni muhaya kwa taarifa yako.

Mzee wangu amestaafu moi( daktari bingwa wa mifupa)
mama yangu alikuwa Geogist alistaafu GST.

kwa kupenda fani ya Mama mpka sasa mimi ni Geologist.

nakupa taarifa tu.

best student na mwenye IQ kubwa kuwahi kutokea hapa Tanzania


Wewe endelea kupuliza moto kwenye kuni huko kijijini.
Washamba hawa, wangejua chanzo cha watoto kufeli mashuleni ni kwasababu wanafundishwa na waliofeli, binafsi nilifaulu Kwa juhudi zangu Kuna mda nilikuwa nawapuuza walimu maana waongo waongo sana Afu hayajui kitu
 
Oooh nakumbuka 2017 nikiwa Tabora,, kuna mwalimu mmoja alinishauri nisitegemee chanzo kimoja cha mapato wakati huo tukiwa kwenye ghala lake kahifadhi mpunga gunia 1,700/=. na hapohapo akiwa na ng'ombe takribani ,2,000/=. na akiwa anamiliki nyumba mbili.
So walimu wenye hela hizo wapo labdaa shida na idadi so kusema hawapo sio sahihi hata kidogo.
Huyu jamaa sijui anakutana na walimu gani, Kuna ticha mmoja toka sekondari flani hivi nafikiri miaka 5 ijayo atastafu yeye hajawahi kuchukua mshahara ila huwa anacheki kama umeingia,, siku moja DED akatuma timu yake imvagae maana alikuwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye akaunti, walipofika jamaa akawapeleka kwenye vyanzo vyake
1. Shamba la mihogo ekari za kutosha tu akawaambia nikiingia kuchimba mihogo humu Sikosi gunia 100 afu kwa bei ya hasara kila gunia niwauzie elfu 20.
2. Akawapeleka shamba lake lingine la kahawa, wana kahawa mnaijua inavyoleta return...
3. Akawapeleka shamba lake la migomba lina ndizi hatari akawaambia kwa leo leteni fuso mbili tuingie shambani tukate ndizi kujaza hizo fuso kila mkungu niuze buku 10 tu..
4. Wakaenda kwenye mifugo mbuzi kama 150 hivi kila Wikiendi yeye huchomoa mbuzi baadhi huwauzia Wapika supu.
Akawaambia kamwambieni DED mshahara niuchukue wa nn sasa acha uwe unakaa humo humo..
Na enzi hizo ulikuwa utawala wa jpm (season 1) hadi leo life stail yake ni ile ile sasa niambie ana bei gani benki.
 
siku moja DED akatuma timu yake imvagae maana alikuwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye akaunti, walipofika jamaa akawapeleka kwenye vyanzo vyake

Sasa mkuu mkurugenzi atajuaje kwenye account yako Kuna pesa ya kutosha, watu nyie ni washamba sana ahseee dah 🤣🤣🤣🤣
 
Naona umeamua kutumia kivuli cha walimu ili upate ku-trend jf. Unajidhalilisha tu kwa maoni yangu.

Wengi tusingekuwa hapa kama sio walimu, hata hivyo mbona kada nyingi tu watu hawana hizo pesa, mbona lawama kwa walimu pekee. Hapo ulipo account yako inasoma shilingi ngapi mkuu?
Ila nyinyi walimu ni mazoba sana aisee
 
Kwa maisha na uchumi wa Tanzania, 200 million tena cash ni hela nyingi sana na wengi hawana, sio walimu, sio engineer, doctor , wahasibu na unao wajua.. wala wana sheria.. na pia ukae ukijua kuna walimu wapo wana cash zaidi ya 400 million na kuna engineer wenye PhD zao hawana hata 5 million cash kwenye account zao..
Walimu ni masikini na siku hizi wengi ni wadajili laini na mabodaboda.
 
Hakuna mwalimu huyu kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua huwa wagumu kujiongeza kibiashara.

Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastaafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba isiyozidi million ishirini.

Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoo??

Tuoneshe yako kwanza
JamiiForums471477416.jpg
 
Mleta mada ana tatizo la akili aliye.katibu naye.amshauri awahi milembe hospitali ya vichaa

Walimu wangi tu mbona wako vizuri tu except wale wanaoendekeza lifestyle xisizoendana na viator vyao hasa waendekeza mikopo ambayo hawafanyii kitu cha maana cha kuwekeza

Kilio chake kinaonyesha ni wale ambao wamekopa kiasi kuwa mshahara ukija unaishia kulipa madeni na yeye kutakiwa kurudi tena kukopa kiasi kidogo ili.kuishi

Maandishi yake yanaonyesha wazi kafikia kiwango cha ukichaa familia wamkimbize mirembe bado kidogo atatupa nguo ba kutemvea uchi barabarani
 
Time is too short, siku si nyingi sikukuu ya wafanyakazi inakuja. Je wewe kama mwalimu umejiandaaje? Umejiiandaa kuwa Chawa wa mama ili umsaidie ushindi 2025 kwenye box la kura au umejipanga kufanya harakati zenye Nia ya kumkomboa mwalimu kutoka kwenye ufukara wa kutia aibu.

Naomba tuende Sawa hapa : haki haiombwi, shairi la mwanalege kutoka Jamaica Peter toshi anasema watu wanataka kwenda mbinguni ila kufa hawataki. Sasa utaendaji mbinguni bila kufa. Ili haki ya mwalimu ipatikane lazima mrisk kazi zenu

Hiyo siku natamani muandamane barabarani mumwambie Samia kupanda madaraja ni kila baada miaka 3, muanze kupewa house allowance maana hamna hata nyumba za walimu, muanze kupewa teaching allowance ili kurahisisha shughuli za ufundishaji kama kudownload material mitandaoni na kununua teaching Aids

Sasa ipo hivi; kwenye haya maandamano wapo walimu watapoteza kazi, wapo watawashwa mbata na maaskari, wapo watakula kisago na wakuu wa shule maana huko mashuleni mkuu wa shule ni inversely proportion na walimu wenzake, mtatukanwa sana na watu wa CCM, cwt, TUCTA, tsc, mwijaku, Steve nyerere wote hao watakuwa upande wa mama maana asili ya wabongo bila kujipendekeza wanaona hawatoboi.

All in all move onnnnn, never quit please that day don't fall me down I beg you 🙏

No police force, no court, no government, no army, no anything will stop the will of the people. When Injustice becomes law resistance becomes duty (Thomas JF)
Tuwachwe walimu tupumuwe. Mei Mosi tunakatwa 30,000 tunashonewa ma polo shirt hafifu, dukani likiwa jipya unapata kwa buku5. Tunaonewa sana
 
Mkuu walimu kwanza kitakachowasaidia ni wengi, maandamano ni watu hivyo watakapondamana nashauri pia wogome kuingia madarasani kufundisha
Ajira zilivyo ngumu sasa unaota

Mtu akiwa na ajira anashukuru Mungu Ms hana mpango wa kuipoteza au kuichezea
 
Back
Top Bottom