Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Jamii forum kupitia Mod wake wanaishushia hadhi kuruhusu watu wachache wenye chuki na kada muhimu ya Ualimu kuendelea Kuchaguliwa na Mtu ambae haitaki jinsia yake.Max wakumbushe Mod wa jukwaa la habari na hoja mchanganyiko majukumu Yao.Sio mtu anataka huko Kuja kudhalilisha walimu madaktari,Manesi,waandishi wa habari n.k Uzi wa kwanza,pili tatu n.k anatazamwa tu.Humu watu tunafuata habari.Nahisi ungetafuta maudhui mengine ya kuendeleza siku JF. Hili la kutukana na kudhihaki walimu lishakinaisha sasa.
Tangu ilipokuwa inachekesha ukiwaandika walimu, ikaja kukera sasa imefikia ku bore.
Hamia kwa kada nyingine sasa chief.
We ruban uko vzur sn nahis una maisha mazur kias kwamba unamiliki kila kitu dunian ss ivi mbuzi wwSasa agriculture nayo ni taaluma ya mtu kujivunia?
Ndo maana aliona ni bora kwenda ualimu maana hiyo kozi utaajiriwa afisa kilimo huko vijijini mshahara laki tatu na sitini.
Huu ni ukweli mchungu! Vyama vyote afrika na duniani vitang'olewa ila siyo hiki chama.Hata ungekuwa wewe,huwezi kufanya lolote kapuku wewe
Hao walimu wenzangu wanauishi ukweli kuwa hakuna mtu wa kuitoa CCM madarkani hata wangekuja manesi,madaktari,polisi au jwtz
Hata ungekuwa wewe na wenzako million,hakuna kenge wakuitoa CCM madarakani
Walimu wa aina yako Ni wajinga sana..mtu mjinga kama wewe huwezi kumfundisha mtoto wanguHata ungekuwa wewe,huwezi kufanya lolote kapuku wewe
Hao walimu wenzangu wanauishi ukweli kuwa hakuna mtu wa kuitoa CCM madarkani hata wangekuja manesi,madaktari,polisi au jwtz
Hata ungekuwa wewe na wenzako million,hakuna kenge wakuitoa CCM madarakani
Nitamfundisha yeye na wewe baba yakeWalimu wa aina yako Ni wajinga sana..mtu mjinga kama wewe huwezi kumfundisha mtoto wangu
Mkuu mpwayungu village unatukamia sana walimu. Can't you give us a break? Katika nyuzi zako 100, nyuzi 99.99 huwa unatuchamba sisi walimu. Tulikokosea nini lakini? Tusamehe basi ndugu yangu japo kwa muda.Kuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara
Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Sasa na mwalimu unatishwa kinyume cha Sheria unatishika? Ukikataa unakabwa au? Muda wa Kazi ukiisha pangusa kalio go home....kalime hata bustani huko.Haipo ila ndivyo vitisho makazini kwa walimu.
Ila kumbuka unaowatukana hapa ndio waliokupa uwezo wa kuandika Mkuu.ni nani asiyejua kuwa katika fani zote fani ya ualimu ni fani iliyotawaliwa na wajinga.
Yani miji-alimu ina maisha magumu yatokanayo na udumavu wa akili,fikra mbovu na tabia mbaya (kulawiti watoto wetu)
NAHESHIMU FANI YA UALIMU KWA NCHI ZINGINE SIYO HII.
Mijialimu inaishi maisha magumu bila posho bila bonus wala nyongeza za mara kwa mara za mishahara ila kwenye chaguzi inarubuniwa kwa tisheti na kofia na vilaki laki
BADILIKENI WALIMU WA DANGANYIKA