Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Hakuna mwalimu ataenda kukopa kwa Huyo bwege ,akiwa na shida ya elfu10 anaanzisha Uzi kukopa humu.....

Mpwa ni jobless anayeishi kwa kutegemea mikeka .
Ila Kuna matisha hawanywi pombe hawajaoa/kuolewa Ila wanamadeni jamani dah! Nakuhakkshia wataenda tu kukopa
 
Yaani we mwalimu Leo umeandika vitu vya msingi sana. Walimu wakifanya hayo uliyoandika nitamwandikisha shule mwanangu nilipanga asisome niwe namfundisha mwenyewe nyumbani na kumuandaa kurithi kazi ninayoifanya awe na ujuzi mkubwa zaidi yangu.
Usimpeleke mpaka waandamane kudai haki zao
 
Tunaomba radhi kwa wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital yetu ya crazy for life.

Ndugu mpwayungu village alifanikiwa kutoroka jana hospital na Sasa anaropoka hovyo tu.

Tunashukuru kwa ushirikano wenu na tunaahidi tutalifanyia kazi swala hili hivyo mvumilieni.

Nina ambatanisha ushahidi wa vyeti vya kimataifa alivyovipata kutoka hospital ya crazy for lifeView attachment 2532393
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani mwalimu ni kiumbe wa ajabu sana, kucha Kutwa madeni tu. Mwezi jana kuna mwalimu mkoa fulani alitolewa darasani na polisi akiwa kapigwa Tanganyika jeck Kwa sababu hataki kumlipa mangi deni la laki mbili

Tulipouliza alikopaje kumbe huwa anakopa kila siku dagaa na chumvi kulipa halipi. Walimu wamekuwa wahanga wa mikopo kausha damu ila hawajali maana shida ni sehemu ya maisha Yao. Wateja namba moja wa MABOTO na Umoja loan ni walimu

Kuna siku nilikuwa Bukoba mjini nikaona ofisi imeandikwa tunakopesha walimu tu. Jiulize kwann wanakopesha walimu tu kada zingine hawataki, jibu ni kwamba mwalimu ni rahisi kumburuza na kumdanganya, hawasomi mikataba ya mikopo wao wanafocus pesa tu hata kama ni riba kubwa kiasi gn

Juzi kuna mwalimu analalamika alikopa mkopo maboto laki tano huu mwaka wa tatu hauishagi, wanakata tu kila mwezi inafika hata million tano mpaka saizi.

Walimu mikopo bila malengo ni hasara, usichukue mkopo kujenga nyumba Bali kaendeleze biashara yako iliyokua na imekubali. Vinginevyo mtabaki masikini wa kutupwa jalalani
 
Back
Top Bottom