Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu lazima hawa watu warudishwe kwenye reli kwa kukumbushwa kile wanachotakiwa kukifanyana namna wanavyotakiwa kuishi kama binadamu wengine. Wewe kinachukuuma nini?Huna hoja mtoa mada,unaonekana elimu yako haijakusaidia,na inawezekana una watoto wajinga,wapumbavu kama wewe,bila huyo mwalimu unayemwita kilaza hata huko kuandika usingeweza hata kidogo,,,jaribu kutumia akili yako vizuri kuondokana na negative attitude dhidi ya watu wengine ama makundi mengine,,,kama wewe Mungu amekujalia kipato cha kutokwenda kwa hao kausha damu mind your business cause hata hao wanaoenda kwa hao kausha damu hawajawahi kuja mlangoni kwako kukuomba chochote na kingine usipende sana kujumuisha kosa la watu watatu kuwa kosa la watu 500 ni ujinga kiwango la lami
Mada ya leo inahusu walimu tu. kama unataka kujumlisha watumishi wengine, fungua uzi mpya mkuu.Kila idara Ina wakosefu iwe polisi,bank,wahubiri,madaktari,bodaboda nk. Kushambulia walimu pekee ni uhayawani labda ulikuwa mjinga wakakudundaga sana maana hatahapa mtoamada anaonesha yu mpumbafu!
Walimu wametutoa mbali Toka kujinyea mpaka Leo tunajitambua,labda kama mtu hakusoma otherwise Tuwaheshimu
Mada ikijahuku niyawote kama niyako binafsi ungeweka kwenye fesibuku yako!! Baadhi ya walimu wasio na maadili wajirekebishe lkn tusijumuishe walimu woote na kuwakashifu haifaiii.Mada ya leo inahusu walimu tu. kama unataka kujumlisha watumishi wengine, fungua uzi mpya mkuu.
Walimu ndio hasa wanaweza kuibadiri nchi hii kutokana na wingi wao lkn wamekuwa wakifanya kinyume chake.Unapata faida gani kuita walimu vilaza?
Kama una hoja ni vema ungeiwasilisha kistaarabu tu ungeeleweka.
Hii chuki iliyopo humu dhidi ya walimu ni ni hasa chanzo chake najiuliza.
Kaa na mwanao nyumbani umfundishe usimpeleke kwa hao waalimu unaowadharau. Maana nawe akili zako na mtoa post ni mapacha. Mna chuki na waalimu kwa sababu ya ujinga wenu mnaoujua. Tafuteni hela mtulize akili maana pia umaskini unawaharibu akili.Mie mbona nilikuwa najua kusoma na kuandika kabla sijaenda shule?
Tena kama siku hizi elimu mtandao inapatikana natamani serikali iruhusu watoto wasome mtandaoni chini ya uangalizi wa wazazi kisha wakafanye tu mitihani ili mradi mtaala uwekwe wazi kwa kila mtu uone kama wengi wataenda kupoteza muda shuleni.
Mwanangu hapa nyumbani hajaanza hata nursery nimekuwa nikimfundisha mwenyewe anajua kuhesabu kwa kiswahili na kiingereza kuanzia moja hadi mia moja na kusoma anajua.
Sasa hapo mwalimu amehusika? Anajua kuwasha data kwenye simu akaingia play store akaangalia ma game ya watoto na kudownload kwasababu nimekuwa nikiwasimamia kutumia simu kwa ajili ya programu za watoto.
Sidhani kama kuna sekta yoyote ya umma unayofanya vizuri kwa ufanisi mkuu.Walimu ndio hasa wanaweza kuibadiri nchi hii kutokana na wingi wao lkn wamekuwa wakifanya kinyume chake.
Nashangaa kuna baadhi ya wapuuzi wanakuja humu kusapoti walimu wauaji, wabakaji na walozi wakati suala kama hili la mwalimu kuua na kutolewa gerezani hawalisemi. Wanaudhi sana.Hivi unajua huyo mwalimu aliyemuua mwanafunzi kwa viboko alisha toka gerezani kitambo?
Acheni ujinga! Mmesahau kipindi Cha likizo ya Corona (miezi miwili).Mie mbona nilikuwa najua kusoma na kuandika kabla sijaenda shule?
Tena kama siku hizi elimu mtandao inapatikana natamani serikali iruhusu watoto wasome mtandaoni chini ya uangalizi wa wazazi kisha wakafanye tu mitihani ili mradi mtaala uwekwe wazi kwa kila mtu uone kama wengi wataenda kupoteza muda shuleni.
Mwanangu hapa nyumbani hajaanza hata nursery nimekuwa nikimfundisha mwenyewe anajua kuhesabu kwa kiswahili na kiingereza kuanzia moja hadi mia moja na kusoma anajua.
Sasa hapo mwalimu amehusika? Anajua kuwasha data kwenye simu akaingia play store akaangalia ma game ya watoto na kudownload kwasababu nimekuwa nikiwasimamia kutumia simu kwa ajili ya programu za watoto.
Watu wa aina hii ni wale waliokuwa na uwezo mdogo darasani au ni wale waliokuwa Watukutu kipindi wakiwa Shule, Mtu "bright" hawezi kuwa na chuki dhidi ya Mwalimu hata siku moja.Unapata faida gani kuita walimu vilaza?
Kama una hoja ni vema ungeiwasilisha kistaarabu tu ungeeleweka.
Hii chuki iliyopo humu dhidi ya walimu ni ni hasa chanzo chake najiuliza.
Huenda mkuu, siku za karibuni kumekuwa na shutuma na dharau nyingi sana dhidi ya walimu humu jf.Watu wa aina hii ni wale waliokuwa na uwezo mdogo darasani au ni wale waliokuwa Watukutu kipindi wakiwa Shule, Mtu "bright" hawezi kuwa na chuki dhidi ya Mwalimu hata siku moja.
Wewe ulibakwa baba yako alivyokupeleka? Mama yako alikuwa anakufungia ndani kukufundisha?Sawa huenda lisiwe tusi lakini unadhani ni neno sahihi?
Kuna kada nyingi sana zina shida kwenye utumishi wa umma ila chuki kubwa ni kwa walimu why?
Ndo nauliza wewe ulibakwa mara ngapi? Ulifundishwa na mama yako ndani?Kaandika vema na anasimamia kile anchokiamini. Acha kupayuka kama kina la ndege lililotelekezwa na mamaye. Kama huwezi kumfundisha mwnao mwenyewe nyumbani, basi mpeleke kwa vilaza wenzio wamuue au wambake na kumjaza mimba ili liwe fundisho kwa vilaza wengine kama wewe.