tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona matusi mkuu, najua hii ni mitandao ila tujitahidi kuwa wastaarabu kidogoWewe ulibakwa baba yako alivyokupeleka? Mama yako alikuwa anakufungia ndani kukufundisha?
Watu making wote wameelewa andiko.Tatizo walimu mnajiona mko "exceptional" kumbe mpo wa kila aina negatively kama alivyosema mtoa post.We mwenyewe unaonesha ni kiaza +, hueleweki umeandika nini, umetupotezea muda tu kusoma andiko kuubwa ndani hamna kitu.
Inaonesha una chuki kubwa na walimu, bila hoja za msingi. Walioua, waliobaka, wezi na wakosaji wengine wote waalimu? Panua fikra zako kidogo
Judith Ferdinand, Timesmajira Online, MwanzaHuna hoja mtoa mada,unaonekana elimu yako haijakusaidia,na inawezekana una watoto wajinga,wapumbavu kama wewe,bila huyo mwalimu unayemwita kilaza hata huko kuandika usingeweza hata kidogo,,,jaribu kutumia akili yako vizuri kuondokana na negative attitude dhidi ya watu wengine ama makundi mengine,,,kama wewe Mungu amekujalia kipato cha kutokwenda kwa hao kausha damu mind your business cause hata hao wanaoenda kwa hao kausha damu hawajawahi kuja mlangoni kwako kukuomba chochote na kingine usipende sana kujumuisha kosa la watu watatu kuwa kosa la watu 500 ni ujinga kiwango la lami
Wanasiasa mkuu.Nitajie mmoja kutoka makundi yafuatayo unayedhani ni intelligent kuliko mwalimu:
1.TISS
2.Polisi
3.JWTZ
4.Wanasiasa
5.Madaktari wa afya
6.Wansheria
7.Wahandisi.
NB.Taja jina la mtu husika kutoka kundi moja wapo aliye bright kuliko mwalimu.
Ili nikueleze ukweli.