Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Sasa huyu ndio katika wale wanaidharirisha kada ya ualimu. Mwalimu umeandika takataka umeshindwa kuzingatia alama za uandishi? Unawafundisha nini wanafunzi wako,wewe na wenzako wachache mnawafanya wenzenu wasemwe vibaya. Lakini mwalimu umeshindwa kusoma vizuri ukaelewa nilichokiandika? Kusema maovu yanayofanywa na baadhi ya walimu ni kuwadhalilisha? Kwani walimu ni kundi la watu lisiloguswa katika jamii?
 
Kuna askari mmoja ni mlevi wa kali vibaya, anapigwa adi vibao na washkaji kijiwen dah.
 
Mkuu pole sana
 
Ilikuwa ikitokea mgomo namna wanavyo dili na wale Jamaa waanzisha migomo ndipo nilipo gungua uongozi wa shule na serikali ni namna moja tu ndipo nikawadhalau nahisi ndio wametia RAIA wengi uoga hawa kenge I hate those kenge
 
Naona unaendeleza Ile tabia yako ya kukariri. Elewa wewe mlaaniwa, siyo Kila anayepinga hoja zenye maudhui ya kuwachafua walimu ni mwalimu. Huu upumbavu wako sijui uliusomea chini ya mwembe gani wa kudhani jf members ni walimu.
Acha uduanzi wa kuwaandama walimu uyatafakari magumu ya maisha yako na usijione upo juu Leo ukadhani utadumu hapo daima! Au unawaonea wivu kwa jinsi wanavyoyamudu maisha yao?
 
We Lofa tu, tahila nini usinitishe nitaanza kukupeleka wewe mahakamani kabla ya wewe kikojozi unalala tu Kwa shemeji ako
 
Ndiyo hawa hawa baada ya siku mbili tatu, wanakuja tena kulia humu jukwaani kuhusu ugumu wa maisha; kiasi cha kutamani kuwa wanawake.

Ndiyo vijana wetu wa siku hizi! Wanatumia muda mwingi, kujadili maisha ya watu wengine! Baada ya kuumiza kichwa kujiandalia maisha yao ya uzeeni.
 
Itakuwa ulifaulu Kwa kuibiwa mtihani na walimu. Yaani nimewataja walimu na askari polisi lakini wewe ukaona bora uwatetee walimu tu? πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Halafu sijasema kuwa walimu wote ni wanabeti,wanaweka mimba wanafunzi wao,wanawekea poni vishikwambi walivyopewa na serikali Sasa wewe unateseka wapi? Wewe ni mwalimu usiukane ualimu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…