Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Jionye mwenyewe kwa kuling'ata ziwa lililokushibisha! Naamini bila hao walimu unaodai walikuwa maswahiba wako na walikuwezesha kuwa ulivyo leo na bado unawakandia Basi una kasoro kubwa tu kwenye afya yako ya akili kumdharau aliyekuwezesha kimaisha na ni laana ujue!
Nakutabiria mwisho mbaya mno kwenye maisha yako Kama hutowaomba Rashi walimu wetu na wa watoto wetu! Ukalaaniwe pamoja na uzao wako wote na wanaokuunga hoja humu!
Sasa huyu ndio katika wale wanaidharirisha kada ya ualimu. Mwalimu umeandika takataka umeshindwa kuzingatia alama za uandishi? Unawafundisha nini wanafunzi wako,wewe na wenzako wachache mnawafanya wenzenu wasemwe vibaya. Lakini mwalimu umeshindwa kusoma vizuri ukaelewa nilichokiandika? Kusema maovu yanayofanywa na baadhi ya walimu ni kuwadhalilisha? Kwani walimu ni kundi la watu lisiloguswa katika jamii?
 
Kuna askari mmoja ni mlevi wa kali vibaya, anapigwa adi vibao na washkaji kijiwen dah.
 
Ukiendelea na huu utaratibu wako wa kupoteza nguvu nyingi, kufuatilia maisha ya wanadamu wenzako; utachelewa sana kuendelea.

Hayo makundi mawili uliyoyataja hapa, ni makundi ya wanadamu tu kama wewe. Sasa ukitaka waishi kama malaika, utaonekana wazi una matatizo kichwani.

Maana nina uhakika wa 100% hata wewe mwenyewe hapo ulipo, huna ukamilifu wowote ule. Live your life, and mind your own business young man! Don't waste your time, dealing with others business.
Mkuu pole sana
 
Ilikuwa ikitokea mgomo namna wanavyo dili na wale Jamaa waanzisha migomo ndipo nilipo gungua uongozi wa shule na serikali ni namna moja tu ndipo nikawadhalau nahisi ndio wametia RAIA wengi uoga hawa kenge I hate those kenge
 
Sasa huyu ndio katika wale wanaidharirisha kada ya ualimu. Mwalimu umeandika takataka umeshindwa kuzingatia alama za uandishi? Unawafundisha nini wanafunzi wako,wewe na wenzako wachache mnawafanya wenzenu wasemwe vibaya. Lakini mwalimu umeshindwa kusoma vizuri ukaelewa nilichokiandika? Kusema maovu yanayofanywa na baadhi ya walimu ni kuwadhalilisha? Kwani walimu ni kundi la watu lisiloguswa katika jamii?
Naona unaendeleza Ile tabia yako ya kukariri. Elewa wewe mlaaniwa, siyo Kila anayepinga hoja zenye maudhui ya kuwachafua walimu ni mwalimu. Huu upumbavu wako sijui uliusomea chini ya mwembe gani wa kudhani jf members ni walimu.
Acha uduanzi wa kuwaandama walimu uyatafakari magumu ya maisha yako na usijione upo juu Leo ukadhani utadumu hapo daima! Au unawaonea wivu kwa jinsi wanavyoyamudu maisha yao?
 
Nafahamu wazi kuhusu hili na nikamwambia mpwayungu village humu ndani aache kuwachochea ninyi walimu kuigomea serikali, jamii na watu wengine huku akitumia Saikolojia ya udhalilishaji ilihali anawachochea. Nilimwambia tutamkamata na akaahidi kuitikia wito. Hamtamwona tena humu ndani akiwaandama walimu wenzie. Embu walimu acheni kuidharau kazi yenu. Watumishi wengi nchi hii kimasilahi hamtofautiani. Tunafanya kila tuwezalo kuleta usawa.
We Lofa tu, tahila nini usinitishe nitaanza kukupeleka wewe mahakamani kabla ya wewe kikojozi unalala tu Kwa shemeji ako
 
Hivi kwanini kila mtu humu anatudharau sisi waalimu, wakina dink, hurry marry wote wana tudharau, hata wale wasio kua na nyuma au mbele, mpaka mashoga wana tudharau, sisi tumekua laughingStock wa jamii forum au ni kwasbb ya hu basics zetu kua ndogo. Walianza na masingo maza, waka hamia kataa ndoa sasa wame hamia kataa ualimu ni umasikini........hilo lina sababisha na ukosefu wa ajira idlers/jobless wamekua wengi humu, wengi wanatamani huo ualimu ila hawaupati so resorted on defense mechanisms.
Ndiyo hawa hawa baada ya siku mbili tatu, wanakuja tena kulia humu jukwaani kuhusu ugumu wa maisha; kiasi cha kutamani kuwa wanawake.

Ndiyo vijana wetu wa siku hizi! Wanatumia muda mwingi, kujadili maisha ya watu wengine! Baada ya kuumiza kichwa kujiandalia maisha yao ya uzeeni.
 
Naona unaendeleza Ile tabia yako ya kukariri. Elewa wewe mlaaniwa, siyo Kila anayepinga hoja zenye maudhui ya kuwachafua walimu ni mwalimu. Huu upumbavu wako sijui uliusomea chini ya mwembe gani wa kudhani jf members ni walimu.
Acha uduanzi wa kuwaandama walimu uyatafakari magumu ya maisha yako na usijione upo juu Leo ukadhani utadumu hapo daima! Au unawaonea wivu kwa jinsi wanavyoyamudu maisha yao?
Itakuwa ulifaulu Kwa kuibiwa mtihani na walimu. Yaani nimewataja walimu na askari polisi lakini wewe ukaona bora uwatetee walimu tu? 😄😄😄

Halafu sijasema kuwa walimu wote ni wanabeti,wanaweka mimba wanafunzi wao,wanawekea poni vishikwambi walivyopewa na serikali Sasa wewe unateseka wapi? Wewe ni mwalimu usiukane ualimu wako.
 
Back
Top Bottom