Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

kaligopelelo

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
2,832
Reaction score
4,070
Zamani nilikuwa najua kuwa walimu ni kioo Cha jamii,kumbe nilikuwa najidanganya huenda ni kwasababu nilikuwa mtoto kipindi hicho au kwasababu walikuwa watu wa karibu yangu kwasababu nilikuwa mwanafunzi na niliwachukulia kama watu waliofanikiwa zaidi katika jamii.

Leo nashuhudia mengi kutoka kwao mpaka napingana na mtazamo wangu wa zamani. Kumbe walimu wengi wao ni wahuni kuliko vile nilivyokuwa nadhania.

Juzi juzi tu hapa walimu wameuana kugombania madaraka,aibu sana hii. Mara walimu utasikia wamekutwa na kashfa ya wizi wa mitihani wengine wameiba fedha za miradi. Kuna wengine wamekutwa na hatia Kwa makosa ya kuwaweka mimba wanafunzi wao.

Serikali imewapa vishikwambi lakini wengi wao wanavitumia kubetia. Wengine wameshaviwekea poni vilabuni Kwa kushindwa kulipa bili za pombe chafu walizokuwa wanakopa.

Tukija Kwa askari polisi nao hali kadhalika. Wengi wao wanavuta bange na kutumia vilevi vikali sana. Wameharibu maisha yao kwa kuendekeza anasa.

Askari polisi mnakula rushwa bila haya. Mnatumika na wanasiasa kama vile mfugaji anavyotumia mbwa kulinda mifugo yake. Mpo kulinda masilahi ya wanasiasa wenyewe mkiendelea kuvaa sare zenye viraka na viatu vinavyocheka.

Jirekebisheni mnatia aibu.
 

Attachments

  • a7fb9ea548230cfa19c0df59a7c4d626.png
    a7fb9ea548230cfa19c0df59a7c4d626.png
    148.3 KB · Views: 13
We we kaa ukijua akuna msafi nini walimu kuuawana kisa madalaka unashaangaa ? Uliza upande wa siasa uko ndio utajua bora ya walimu kina alphonce, kina beni waliuawa kina tundu walipigwa marisasi kifupi tanzania akuna msafi linapokuja suala la pesa usishangae ata raisi akaua
 
HAKUNA WATU WAJINGA NCHII HII KAMA WALIMU, WALIMU NI WA HOVYOOO SANAAA



KATAAA UALIMU NI LAAANAAAA
Mkuu jifunze kuwa na akiba ya maneno.

Bila hao walimu unaowasema vibaya leo, sidhani kama hata ungeweza kuandika hicho ulichoandika.
 
Kwani walimu wao sio binadamu au wanaishi kwenye sayari yao?
Ukiwa mwanafunzi jifunze kile unachopaswa kujifunza mambo binafsi ya walimu achana nayo.

Isitoshe mwalimu wa kwanza ni wazazi/walezi wako, jamii unayoishi then wanafuata hao walimu shuleni ambao nao ni sehemu ya jamii
 
Zamani nilikuwa najua kuwa walimu ni kioo Cha jamii,kumbe nilikuwa najidanganya huenda ni kwasababu nilikuwa mtoto kipindi hicho au kwasababu walikuwa watu wa karibu yangu kwasababu nilikuwa mwanafunzi na niliwachukulia kama watu waliofanikiwa zaidi katika jamii.

Leo nashuhudia mengi kutoka kwao mpaka napingana na mtazamo wangu wa zamani. Kumbe walimu wengi wao ni wahuni kuliko vile nilivyokuwa nadhania.

Juzi juzi tu hapa walimu wameuana kugombania madaraka,aibu sana hii. Mara walimu utasikia wamekutwa na kashfa ya wizi wa mitihani wengine wameiba fedha za miradi. Kuna wengine wamekutwa na hatia Kwa makosa ya kuwaweka mimba wanafunzi wao.

Serikali imewapa vishikwambi lakini wengi wao wanavitumia kubetia. Wengine wameshaviwekea poni vilabuni Kwa kushindwa kulipa bili za pombe chafu walizokuwa wanakopa.

Tukija Kwa askari polisi nao hali kadhalika. Wengi wao wanavuta bange na kutumia vilevi vikali sana. Wameharibu maisha yao kwa kuendekeza anasa.

Askari polisi mnakula rushwa bila haya. Mnatumika na wanasiasa kama vile mfugaji anavyotumia mbwa kulinda mifugo yake. Mpo kulinda masilahi ya wanasiasa wenyewe mkiendelea kuvaa sare zenye viraka na viatu vinavyocheka.

Jirekebisheni mnatia aibu.
Kw nin usije na ile I'd yako ya uchoko tu

USSR
 
Askari polisi mnakula rushwa bila haya. Mnatumika na wanasiasa kama vile mfugaji anavyotumia mbwa kulinda mifugo yake. Mpo kulinda masilahi ya wanasiasa wenyewe mkiendelea kuvaa sare zenye viraka na viatu vinavyocheka.
Wengine wamewekea poni boot za kazi
 
Zamani nilikuwa najua kuwa walimu ni kioo Cha jamii,kumbe nilikuwa najidanganya huenda ni kwasababu nilikuwa mtoto kipindi hicho au kwasababu walikuwa watu wa karibu yangu kwasababu nilikuwa mwanafunzi na niliwachukulia kama watu waliofanikiwa zaidi katika jamii.

Leo nashuhudia mengi kutoka kwao mpaka napingana na mtazamo wangu wa zamani. Kumbe walimu wengi wao ni wahuni kuliko vile nilivyokuwa nadhania.

Juzi juzi tu hapa walimu wameuana kugombania madaraka,aibu sana hii. Mara walimu utasikia wamekutwa na kashfa ya wizi wa mitihani wengine wameiba fedha za miradi. Kuna wengine wamekutwa na hatia Kwa makosa ya kuwaweka mimba wanafunzi wao.

Serikali imewapa vishikwambi lakini wengi wao wanavitumia kubetia. Wengine wameshaviwekea poni vilabuni Kwa kushindwa kulipa bili za pombe chafu walizokuwa wanakopa.

Tukija Kwa askari polisi nao hali kadhalika. Wengi wao wanavuta bange na kutumia vilevi vikali sana. Wameharibu maisha yao kwa kuendekeza anasa.

Askari polisi mnakula rushwa bila haya. Mnatumika na wanasiasa kama vile mfugaji anavyotumia mbwa kulinda mifugo yake. Mpo kulinda masilahi ya wanasiasa wenyewe mkiendelea kuvaa sare zenye viraka na viatu vinavyocheka.

Jirekebisheni mnatia aibu.
Hahahaa, wewe mwenyewe mwalimu. Walimu mna vituko! !!!
 
HAKUNA WATU WAJINGA NCHII HII KAMA WALIMU, WALIMU NI WA HOVYOOO SANAAA



KATAAA UALIMU NI LAAANAAAA
Walimu wamegeuzwa punching bag,Kila matamko ya kiserikali magumu magumu yanatolewa kuwalazimisha wayatekeleze hata kama yanaenda kinyume na mkataba wao wa ajira walioujaza
 
Back
Top Bottom