Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Si mwalimu ndugu, ika hatua stahiki si sahihi. Tena kibaya zaidi, unawasikia waalimu rafiki zake wanasema " ticha umezingua, pisi kali zipo nyingi hapa shule, utamchukuaje mwenye sura ya baba yake?"...Kauli hii imenikera sana.
Umechukua hatua gani?
 
Heb usituvunjie heshima lakin mm namjua aliyepost hapa ni visa tuu hivi hamna ukwel wowote isitoshe alikuwa anahudhuria vikao vyote leo kajifanya kuleta hapa akilenga kumhari ia mtu
Ni wa kupuuzwa huyu
nyie watu wengine mnakera sana

ndio umeandika makitu gani haya? hv mleta mada na wewe unaotetea ungese nani wa kupuuzwa?

wewe unaotetea ujinga ndio unapaswa kupuuzwa

yaani mungu akusamehe tu sababu hujui unachokizungumza

ngoja wakuchapie na wewe mtoto wako huenda akili itakurudia
 
sasa ningekuwa mimi ningeweka kabisa na ushahid watu waone na kama ni kunyea debe wakanyee uko

wajinga sana hao, watu wa hivyo sio wa kuwaonea huruma sababu wao wenyewe hawajionei huruma
 
sasa kama anafanya ujinga ulitaka aufumbie macho?

hata hivyo kamuheshimu sana sababu kasema ana video clip kabisa

sasa angeiweka hapa si ndio ingekuwa kimbembe?
 
Kama si mwalimu haya umeyapata wapi?

Au wewe ndi boyfriend wa wanafunzi hao na amekusimulia hayo mkiwa chumbani nawe ukaamini?

Ulishawahi jiuliza ni kwa kiwango gani umeumiza hisia za hao uliowataja?
sasa kuwataja si kawasaidia sana?

video ya hao walimu anayo sema kawastahi tu hakutaka kuwaharibia kibarua chao

sasa kama wana akili hao mburumundu mnaowatetea wajirekebishe haraka sana kabla kitumbua hakijaingia mchanga
 
Haya mambo ni simple tu.... Ila yakija kukuta hauwezi amini.... Huko karagwe headmaster na second master walikuwa wakigombea dogo. Siku Moja second akiwa ofisini akila mzigo headmaster akaja kubana mlango. Akaita diwani, barozi, baadhi ya wajumbe wa bodi, raia na viongozi wengine. Mpaka Leo second ukimwona anaongea tu peke yake. Nadhani mnajua kilichotokea
 
Kachoshwa na tabia mbaya za hao walimu wasiofuata maadili ya kuwalea wanafunzi. Baadhi ya walimu wa sayansi ndio zao kuzitumia maabara kugongea watoto

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hili swala nitalifikisha kwa Jonh Pambalu, huu upuuzi tumezoea kuuona ccm kumbe mpaka hawa viumbe wanaovaa kila aina yenye mashati yenye nembo za ujima kama sensa, uchaguzi, mbio za mwenge, cwt nao wamo
 
Majungu tu haya.
 
Siku utakapo zaa binti wa kike ndyo utajua nn mleta mada kaleta

Naunga mkono hoja uchunguz ufanyike

Wanaojibu kejeli juu ya bandiko hili weng n watoto wasio na familia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni kweli. Just imagine binti yako anatongozwa na mwl halafu anakuja kukushirikisha, kwamba anasumbuliwa na mwl hadi anakosa raha anataka umuhamishe shule na huna uwezo wa kumuhamisha.

Ukienda kulalamika shulebi binti yako anaanza kuandamwa.

Je, huyu binti atafaulu somo la huyo mwl mtongozaji?

Mtu akifichua uovu wa hao walimu wahuni, anaanza kusakamwa hapa jukwaani!

Kweli binadamu tunatofautiana. Yaani baadhi ya watu wanapenda tu mada za kula tunda kimasihara.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa huyu aliyechaniwa skirt, na wanafunzi wengine wakisikia kelele za ''niache, niache'', hapa hakuna haja ya ushahidi mwingine. Huyo angesombwa na kupelekwa moja kwa moja kwenye vyombo vya sheria na sheria kuchukua mkondo wake.

Hivi ninyi walimu (mnaotuhumiwa hapa) mna akili kweli? Hawa mabinti si kama watoto wenu? Hata kama sio watoto wenu biologically, lakini vipi utofauti wa umri kati yenu na hao mabinti? Unaweza kumvulia mtoto kama huyu nguo zako, aone sehemu zako za siri? Una akili kweli?

Na wewe mkuu wa shule, wewe ndio mwenyekiti wa kamati ya usalama hapo shuleni. Kwa nini unaona haya yakitendeka na wewe unakaa kimya tu? Au na wewe una mchezo huo, hivyo unaona ukichukua hatua dhidi yao nao watatoa hadharani siri zako?

Mimi ndio ningekuwa mwenye watoto wanaodhalilishwa kingono namna hiyo, halafu sioni hao walimu wanaohusika na mchezo huo wakishughulikiwa, na ushahidi kama huo umeonekana, nyie walimu mnaowafanyia watoto wetu huo ufirauni, ningewavizia kitaa na kuwafanyia kitu ambacho msingekisahau katika maisha yenu yaliyobakia hapa duniani!
 
Ila cjui hyo butimba ina tatizo gani...hata wizi mitihan shule ya msingi naskia wanaisema sanaaa..cjui uongoz wa hapo umelala?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…