Walimu shuleni waongozwe na Walimu wenye Elimu kubwa zaidi ili kupunguza migogoro

Walimu shuleni waongozwe na Walimu wenye Elimu kubwa zaidi ili kupunguza migogoro

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Tumekuwa tukisikia migogoro ya mara kwa mara baina ya viongozi wa walimu kama vile Wakuu wa Shule, Waratibu Elimu, Maafisa Elimu nk, na Walimu, hii yote nikutokana kuwa either kiongozi ana Elimu ndogo kuliko anaye muongoza au mwenye Elimu kubwa ameachwa ameteuliwa mtu mwenye Elimu ndogo, aisee hiyo lazima ilete migogoro.

Nasema hivyo kwasabu Elimu kubwa huongeza thamani ya mtu.

Nashauri, huko kwenye ofisini/shuleni mtu mwenye Elimu kubwa mpeni promotion, msimuache abaki idle, hii itaondoa migongano ya kiutendaji ofisini.

Haiwezekani mtu mwenye PhD/Masters yupo lakini kwenye ofisi hiyo hiyo anateuliwa mtu mwenye degree moja, kwa hili tunaomba busara zitumike zaidi.

Nawasalimuni kwa Jina la jumhuri ya Muungano, Kazi Ziendelee 🇹🇿
 
Uteuzi unatokana na Utendajikazi uliotukuka, kuwa na maadili mema yasiyo tia shaka, elimu ikiwa ni sifa ya nyongeza. Kigezo cha kuwa na Kiwango kikubwa cha Elimu ni punje ndooogo katika kufanya Vetting ya mteuliwa. Over
Ndo maana migogoro haiishi huko, kuongoza ni uzoefu kazini na maarifa (Elimu) mwalimu mwenye dip. Amkague mwalimu mwenye PhD ya curriculum development, ww unavyoona atakuwa na amani au atakagua kwa ufanisi?
 
Yani mnamuacha mtu mwenye degree au master mnamteua mtu mwenye diploma 🤣 ujue huyo mtu mwenye dip. Ataongoza kwa tabu Sana
 
Unaweza ona ofsi moja mtu mwenye diploma kapewa kitengo ilamtu mwenye masters/PhD kaachwa hii ndo bongo bwana ukishakuwa na Elimu kubwa unakuwa adui wa watu😄😄 mlioko makzn pgeni kazi
 
Hoja yako ina mashiko. Ingawa wakati fulani tukubali pia uongozi ni karama. Unaweza ukamkuta mtu ana elimu kubwa lakini hata familia yake tu nyumbani hawezi kuongoza.
Wanahujumiana tu, kwahyo Hawa viongozi wote wanaishi vzuri huko majumbani, syo kweli
 
Vijana wanahonga maafisa elimu ili wapewe ukuu wa shule ni shida tupu!!
Ndo hapo Sasa duh! Nmeshangaa Kuna sehem nimeambiwa mwl ana PhD 🤣 Sasa hao si Bora hata wawapeleke kwenye ofs za waratibu huko ili wawe wanatoa Elimu ya kuandika lesson plan vzur
 
Mkuu umeongea jambo la maana sana, mtu mwenye elimu ndogo kupewa uongozi wakati wenye vyeo na elimu kubwa wapo ni kuifanyia dharau elimu na usitarajie ufanisi mkubwa kwenye mazingira kama hayo. Wasomi huwa wanaheshimiana kutokana na elimu na uzoefu walio nao na si vinginevyo.

Mtu mwenye elimu ndogo kupewa madaraka wakati wenye elimu kubwa au cheo kikubwa kumzidi wapo huwa inatafsiriwa kama uchawa au ndumba.​
 
Mkuu umeongea jambo la maana sana, mtu mwenye elimu ndogo kupewa uongozi wakati wenye vyeo na elimu kubwa wapo ni kuifanyia dharau elimu na usitarajie ufanisi mkubwa kwenye mazingira kama hayo. Wasomi huwa wanaheshimiana kutokana na elimu na uzoefu walio nao na si vinginevyo.

Mtu mwenye elimu ndogo kupewa madaraka wakati wenye elimu kubwa au cheo kikubwa kumzidi wapo huwa inatafsiriwa kama uchawa au ndumba.​
Ufafanuzi murua kabisaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza ni matusi kwa Degree na masters, kuongozwa na Diploma.
Ila Elimu kubwa inaongeza thaman ya mtu, huyu mwenye Elimu kubwa anakuwa na kaheshima kidogo😄 migogoro ipo kwasabu ya kudharauriana
 
Hasa shule za Msingi, kuna vijana na mabinti wadogo eti ni walimu wakuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilichokaaa
Wazee walikua wana sinzia ofisini na wana potezea sana (ma disminder)
 
Sheria haibagui kuanzia Degree kuendelea unaweza kua boss ni kuonesha uwezo tu
 
Ufafanuzi murua kabisaa
Fikiria mtu mwenye PhD uandae report ya kitaalamu halafu mkuu wa idara mwenye diploma akaifanyie approval, hii ni kuidhalilisha elimu, ndo maana haishangazi daktari feki mwenye elimu ya la saba kutumwa kwenda kutoa ufafanuzi wa vifungu vya mkataba wa bandari mbele ya wanahabari.
 
Tumekuwa tukisikia migogoro ya mara kwa mara baina ya viongozi wa walimu kama vile Wakuu wa Shule, Waratibu Elimu, Maafisa Elimu nk, na Walimu, hii yote nikutokana kuwa either kiongozi ana Elimu ndogo kuliko anaye muongoza au mwenye Elimu kubwa ameachwa ameteuliwa mtu mwenye Elimu ndogo, aisee hiyo lazima ilete migogoro.

Nasema hivyo kwasabu Elimu kubwa huongeza thamani ya mtu.

Nashauri, huko kwenye ofisini/shuleni mtu mwenye Elimu kubwa mpeni promotion, msimuache abaki idle, hii itaondoa migongano ya kiutendaji ofisini.

Haiwezekani mtu mwenye PhD/Masters yupo lakini kwenye ofisi hiyo hiyo anateuliwa mtu mwenye degree moja, kwa hili tunaomba busara zitumike zaidi.

Nawasalimuni kwa Jina la jumhuri ya Muungano, Kazi Ziendelee 🇹🇿
Kwamba ukishakuwa na elimu kubwa ndio unaweza kuongoza?
 
Back
Top Bottom