Ila Elimu kubwa inaongeza thaman ya mtu, huyu mwenye Elimu kubwa anakuwa na kaheshima kidogo[emoji1] migogoro ipo kwasabu ya kudharauriana
Kwenye Halmashauri kuna ujinga mkubwa sana at mtu mwenye diploma anaongoza mtu mwenye masters na anamuona kama adui