Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh aisee! Anayekuja kukuangalia ni Nani au mpaka connectionKumpata mkuu wa shule kihalali anatakiwa awe na sifa kuu zifuatazo.
1. Awe na uzoefu usiopungua miaka Saba kazini.
2. Awe na elimu ya degree moja nakuendelea.
3. Ameonyesha ufanisi mkubwa katika utendaji wa kazi , mf. Kufundisha ama kusimamia kazi alizopangiwa kwa ufanisi.
4. Asiwe mwanasiasa.
5. Asiwe mdini.nk. ukiona hajafiti kwenye hivyo vigezo ujue Kuna njia za panya zilitumika.
Ndiyo maana nikasema kihalali. Wapo wengi walipata kwa ukabila,rushwa ama kuwa chawa wa boss. Hawa ndio Kila uchao ni mgogoro na walimu wenzake.Duh aisee! Anayekuja kukuangalia ni Nani au mpaka connection
Ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?We unawaza kufundisha tu, vp Leo umeenda shule hujalewa?
Kwani wewe una Elimu gani, mbona unaonekana Kama mchawi wa wenmy
Hakuna cha uchawi, tatizo lenu hamna exposure. Poor reasoning capacity for most of Tanzanians is caused by lack of exposure. Mlivyokuwa wajinga mnadhani mna deserve special kind of treatment just because mmesoma to certain level. That kind of thinking will make your life miserable and full of regrets. Kuna nchi utafika watu really don't give shit about your level of education, they just want to implore your skills set in functioning, na utajikuta kilaza wa mwisho na ma vyeti yako.Kwani wewe una Elimu gani, mbona unaonekana Kama mchawi wa wenzio
Hayo ma essay ya nini..hebu soma unitumie audio huu syo ubao wa class 2AHakuna cha uchawi, tatizo lenu hamna exposure. Poor reasoning capacity for most of Tanzanians is caused by lack of exposure. Mlivyokuwa wajinga mnadhani mna deserve special kind of treatment just because mmesoma to certain level. That kind of thinking will make your life miserable and full of regrets. Kuna nchi utafika watu really don't give shit about your level of education, they just want to implore your skills set in functioning, na utajikuta kilaza wa mwisho na ma vyeti yako.
Anyways, mimi level yangu ya elimu niliyofika, huwezi kuifikia wewe na kizazi chako chote. So it's better hata nisikwambie maana utajiskia vibaya. Mimi nimekaa darasa moja na Prof Chiduo, sijui hata kama ulikuwa hai wakati Chiduo akiwa ni waziri wa afya, haha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haswaaahDuuh!
Maajabu.
Ili tu awe anasumbuasumbua wenzake huku 250 karibu yote ikiishia halmashauri tena kutolewa macho mengi?
Kwa kuwa ni mbibi at least huo uzee wake, sasa ukute ndo kijanaa wee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mbibi frani ana FTC(full technician certificate)in water laboratory,alikua anaongoza mamlaka mmoja hivi ya maji mkoani MOROGORO, huku katika ofisi hio Kuna watu ni wahandisi Wana degree,alooo ilileta shida sana.
Walimu huwa mnanichekesha sana.Tumekuwa tukisikia migogoro ya mara kwa mara baina ya viongozi wa walimu kama vile Wakuu wa Shule, Waratibu Elimu, Maafisa Elimu nk, na Walimu, hii yote nikutokana kuwa either kiongozi ana Elimu ndogo kuliko anaye muongoza au mwenye Elimu kubwa ameachwa ameteuliwa mtu mwenye Elimu ndogo, aisee hiyo lazima ilete migogoro.
Nasema hivyo kwasabu Elimu kubwa huongeza thamani ya mtu.
Nashauri, huko kwenye ofisini/shuleni mtu mwenye Elimu kubwa mpeni promotion, msimuache abaki idle, hii itaondoa migongano ya kiutendaji ofisini.
Haiwezekani mtu mwenye PhD/Masters yupo lakini kwenye ofisi hiyo hiyo anateuliwa mtu mwenye degree moja, kwa hili tunaomba busara zitumike zaidi.
Nawasalimuni kwa Jina la jumhuri ya Muungano, Kazi Ziendelee [emoji1241]
Unaonekana umri umeenda unamawazo ya kistress stress, acha uchawi😄 unakuja na mimesej unatetemeka mikono🤣 hela zote umepgia pombe huko kjjn umebakiza wivu tu. Wenzako wanaenda kusoma ili wapumzike pomole we!Walimu huwa mnanichekesha sana.
Utakuta huyo mtu wanaemwita wa elimu kubwa ni master au phd ya kiswahili,civics ama historia.
Haya makaratasi ya kiswahili ama historia ndio kuwa na akili?
Hayo kila mtu anaweza kuwa nayo ili mradi ujifyatue akili, uache kutafuta dili za pesa ujikite kwenye kukariri kama kasuku.
Sijui ni kwa nini, huwa nawadharau sana hawa wenye masters na phd za kiswahili, yaaani naona wamekwama maisha
Ukiwa na phd sijui masters ya civics,kiswahili,history sijui sayansikimu halafu huna michongo ya pesa jua wewe ni chizi ama mwendawazimu.
Huwa namdharau anaejiita msomi huku ni maskini, anaishia kuzua migogoro kazini ili apewe vyeo. Hizi ni tabia za kishamba na kimaskini sana.
Walimu ndio maana mnakuwa maskini, badala ya kujivunia pesa mnajivunia phd, masters za kiswahili kweli?[emoji16][emoji16]
Pumbavu sana nyie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
4 Nadhani haiwezekani kwani kinyume chake ndio sifa kuu kwa sasa na ikiwezekana hata awe anavaa sare za chama fulani cha siasa kazini ndio atafaa zaidi na haraka tu atapewa ukuu.Kumpata mkuu wa shule kihalali anatakiwa awe na sifa kuu zifuatazo.
1. Awe na uzoefu usiopungua miaka Saba kazini.
2. Awe na elimu ya degree moja nakuendelea.
3. Ameonyesha ufanisi mkubwa katika utendaji wa kazi , mf. Kufundisha ama kusimamia kazi alizopangiwa kwa ufanisi.
4. Asiwe mwanasiasa.
5. Asiwe mdini.nk. ukiona hajafiti kwenye hivyo vigezo ujue Kuna njia za panya zilitumika.
Na ndio wengi hawa.Walimu huwa mnanichekesha sana.
Utakuta huyo mtu wanaemwita wa elimu kubwa ni master au phd ya kiswahili,civics ama historia.
Haya makaratasi ya kiswahili ama historia ndio kuwa na akili?
Hayo kila mtu anaweza kuwa nayo ili mradi ujifyatue akili, uache kutafuta dili za pesa ujikite kwenye kukariri kama kasuku.
Sijui ni kwa nini, huwa nawadharau sana hawa wenye masters na phd za kiswahili, yaaani naona wamekwama maisha
Ukiwa na phd sijui masters ya civics,kiswahili,history sijui sayansikimu halafu huna michongo ya pesa jua wewe ni chizi ama mwendawazimu.
Huwa namdharau anaejiita msomi huku ni maskini, anaishia kuzua migogoro kazini ili apewe vyeo. Hizi ni tabia za kishamba na kimaskini sana.
Walimu ndio maana mnakuwa maskini, badala ya kujivunia pesa mnajivunia phd, masters za kiswahili kweli?[emoji16][emoji16]
Pumbavu sana nyie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe naongea na mtoto nilidhani mtu mzima mwenzangu na msomi. Muda wote unanihangaisha kumbe shida ni umri. Endelea na rika lako.Vipi shule mmefungua leo..angalie usile hela za watoto
We ni kijana ila umaskini uko kichwani ndio maana unataka madaraka kwa nguvu.Unaonekana umri umeenda unamawazo ya kistress stress, acha uchawi[emoji1] unakuja na mimesej unatetemeka mikono[emoji1787] hela zote umepgia pombe huko kjjn umebakiza wivu tu. Wenzako wanaenda kusoma ili wapumzike pomole we!
We mburula mbona unakuja na ma essay vp umechanganyikiwaWe ni kijana ila umaskini uko kichwani ndio maana unataka madaraka kwa nguvu.
Vijana wenzako wamejaza akili kichwani ili watafute pesa, wewe umejaza vitini na makaratasi ya phd za sayansikimu na kiswahili huku unatembelea ndala.
Hayo makaratasi ndio yamekufanya uwe mpumbavu.
Endelea kubugia vumbi la chaki mpaka komwe lizidi kuchongoka lofa wwewe.
Kama ulifikiri makaratasi yatakuondolea umaskini ulio nao huo pia ni upumbavu uliokujaa kichwani.
Shikamoo mwalimu wangu mwenye phd ya kiswahili, maskini wa kutupwa.
Utakufa kwa msongo maanana kichwani umejaza kinyesi cha nguruwe badala ya akili