Walimu shuleni waongozwe na Walimu wenye Elimu kubwa zaidi ili kupunguza migogoro

Walimu shuleni waongozwe na Walimu wenye Elimu kubwa zaidi ili kupunguza migogoro

Aisee! Akishindiliwa swali moja tu na staff members povu mpka halmashaur [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapiga cm halmashauri, nimekumbuka mratibu elimu kata mwenye Diploma, dhidi ya Makamu mkuu wa sec mwenye Masters yake, sio kwa mabishano yalee.

Mratibu anabaki, kila mtu acheze na cheo chake tusipandane kichwani baada ya kuishiwa hoja. Afu mbele ya wananchi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jua tu kuwa ktk idara ya Elimu hasa kwa Walimu Elimu ya mwisho inayotambulika ni Degree moja. Huko mashuleni hata ukiwa na Masters au PhD ni mbwembwe zako tu hakuna mshahara wa Elimu hiyo. Ndiyo maana hata mkuu wa Shule anatakiwa awe na degree moja ukiwa na 2 ni ziada tu siyo kigezo Cha kuwa mkuu wa shule.
Acha porojo za kizamani, kuwa na mkuu wa idara mwenye elimu na uzoefu mkubwa kunaongeza ufanisi maana kunakuwa hakuna kudharauliana.....haya mambo ya business as usual ndo yanakwamisha hii nchi kubaki hapa ilipo hadi kushindwa kuendesha bandari.​
 
Uteuzi unatokana na Utendajikazi uliotukuka, kuwa na maadili mema yasiyo tia shaka, elimu ikiwa ni sifa ya nyongeza. Kigezo cha kuwa na Kiwango kikubwa cha Elimu ni punje ndooogo katika kufanya Vetting ya mteuliwa. Over
Ujinga mtupu,hapa ndio rushwa,urafiki,ngono ndio zinapozaliwa.
 
Jua tu kuwa ktk idara ya Elimu hasa kwa Walimu Elimu ya mwisho inayotambulika ni Degree moja. Huko mashuleni hata ukiwa na Masters au PhD ni mbwembwe zako tu hakuna mshahara wa Elimu hiyo. Ndiyo maana hata mkuu wa Shule anatakiwa awe na degree moja ukiwa na 2 ni ziada tu siyo kigezo Cha kuwa mkuu wa shule.
Ndo maana walimu wengi wakiwa na masters au PhD wanafanya wawezavyo watoke shule waende vitengo vya juu zaidi
 
Ujinga mtupu,hapa ndio rushwa,urafiki,ngono ndio zinapozaliwa.
Bila kusahau undugu (nepotism), ndo maana kigezo cha elimu kinasaidia kupunguza mambo kama haya.....maana siyo rahisi kuipata Masters au PhD kindugu ndugu au kwa kujuana.
 
Jua tu kuwa ktk idara ya Elimu hasa kwa Walimu Elimu ya mwisho inayotambulika ni Degree moja. Huko mashuleni hata ukiwa na Masters au PhD ni mbwembwe zako tu hakuna mshahara wa Elimu hiyo. Ndiyo maana hata mkuu wa Shule anatakiwa awe na degree moja ukiwa na 2 ni ziada tu siyo kigezo Cha kuwa mkuu wa shule.
Hahaaaaa nyie ndo wazee wa vikao... kwa akili hizi ndo maana migogoro haiishi duh! Watu bado wanaakili za kihenga kiasi hiki kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapiga cm halmashauri, nimekumbuka mratibu elimu kata mwenye Diploma, dhidi ya Makamu mkuu wa sec mwenye Masters yake, sio kwa mabishano yalee.

Mratibu anabaki, kila mtu acheze na cheo chake tusipandane kichwani baada ya kuishiwa hoja. Afu mbele ya wananchi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Coca mbona umeukomalia sana huu Uzi..

Kazi za majungu hizi ni za kipumbavu
 
Tumekuwa tukisikia migogoro ya mara kwa mara baina ya viongozi wa walimu kama vile Wakuu wa Shule, Waratibu Elimu, Maafisa Elimu nk, na Walimu, hii yote nikutokana kuwa either kiongozi ana Elimu ndogo kuliko anaye muongoza au mwenye Elimu kubwa ameachwa ameteuliwa mtu mwenye Elimu ndogo, aisee hiyo lazima ilete migogoro.

Nasema hivyo kwasabu Elimu kubwa huongeza thamani ya mtu.

Nashauri, huko kwenye ofisini/shuleni mtu mwenye Elimu kubwa mpeni promotion, msimuache abaki idle, hii itaondoa migongano ya kiutendaji ofisini.

Haiwezekani mtu mwenye PhD/Masters yupo lakini kwenye ofisi hiyo hiyo anateuliwa mtu mwenye degree moja, kwa hili tunaomba busara zitumike zaidi.

Nawasalimuni kwa Jina la jumhuri ya Muungano, Kazi Ziendelee [emoji1241]
Natamani sana siku moja niandike paper kuhusu tofauti kati ya sifa (vigezo stahiki vya kitaaluma) na ufanisi kazini. Yaani the difference between proper qualifications and perfomance.

Iko hivi, kuwa na elimu kubwa hai-guarantee utendaji kazi mzuri. Kuna mtu ana PhD ila unaweza ukakuta ni mbovu kuliko mwenye undergraduate degree, and the vice-versa is true.

Hii observation yako bado ina walakini mkuu. Jipange.
 
Natamani sana siku moja niandike paper kuhusu tofauti kati ya sifa (vigezo stahiki vya kitaaluma) na ufanisi kazini. Yaani the difference between proper qualifications and perfomance.

Iko hivi, kuwa na elimu kubwa hai-guarantee utendaji kazi mzuri. Kuna mtu ana PhD ila unaweza ukakuta ni mbovu kuliko mwenye undergraduate degree, and the vice-versa is true.

Hii observation yako bado ina walakini mkuu. Jipange.
Hahaaa kiazi kweli ww, kwa akili zako hizo kwanza hyo paper unaifahama kweli, kwahyo hzo kazi zinazotaja level ya Elimu fulani wanakosea siyo. We ni pomole.
 
Natamani sana siku moja niandike paper kuhusu tofauti kati ya sifa (vigezo stahiki vya kitaaluma) na ufanisi kazini. Yaani the difference between proper qualifications and perfomance.

Iko hivi, kuwa na elimu kubwa hai-guarantee utendaji kazi mzuri. Kuna mtu ana PhD ila unaweza ukakuta ni mbovu kuliko mwenye undergraduate degree, and the vice-versa is true.

Hii observation yako bado ina walakini mkuu. Jipange.
Ajipande Nani nimekwambia mm nataka kujipanga pumbavu we!
 
Coca mbona umeukomalia sana huu Uzi..

Kazi za majungu hizi ni za kipumbavu
Acha kuangalia maisha ya mtu fanya yako...umekalia umbea umbea tu Nyie ndo nasikia hata chai mnanywea kwa ofs za Walimu wa kuu kupiga umbea mmeacha staff🤣🤣
 
Acha kuangalia maisha ya mtu fanya yako...umekalia umbea umbea tu Nyie ndo nasikia hata chai mnanywea kwa ofs za Walimu wa kuu kupiga umbea mmeacha staff🤣🤣
Wewe utakuwa Ile timu ya kupeleka unafiq Kwa boss .. Njaa kali Hela hamna.
 
Acha kuangalia maisha ya mtu fanya yako...umekalia umbea umbea tu Nyie ndo nasikia hata chai mnanywea kwa ofs za Walimu wa kuu kupiga umbea mmeacha staff[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom