Walimu shuleni waongozwe na Walimu wenye Elimu kubwa zaidi ili kupunguza migogoro

Walimu shuleni waongozwe na Walimu wenye Elimu kubwa zaidi ili kupunguza migogoro

Walimu mpo darasani mbona mpo kimya sana digba sowey huko mbuzi mnauzaje🤣 uza wa kwako lakini usimwibie mwalimu mkuu😄
 
Shule za Msingi ndio Hali Tete.Mkuu wa Shule form four Tena Ile ya zamani ya 28 ualimu,hapa katikakati wakajazana pale Adult kusoma diploma maalumu Leo ndio wakuu wa Shule.Humo ofisini graduate wamejazana kibao Sasa hapa migogoro lazima.
 
We mburula mbona unakuja na ma essay vp umechanganyikiwa
We mwalimu inaelekea unafunza kichwani. Kama mwalimu una akili kisoda hao wanafunzi wako wana hali gani?
Msongo wa umaskini umekufanya sura ipauke kama tako
 
Tumekuwa tukisikia migogoro ya mara kwa mara baina ya viongozi wa walimu kama vile Wakuu wa Shule, Waratibu Elimu, Maafisa Elimu nk, na Walimu, hii yote nikutokana kuwa either kiongozi ana Elimu ndogo kuliko anaye muongoza au mwenye Elimu kubwa ameachwa ameteuliwa mtu mwenye Elimu ndogo, aisee hiyo lazima ilete migogoro.

Nasema hivyo kwasabu Elimu kubwa huongeza thamani ya mtu.

Nashauri, huko kwenye ofisini/shuleni mtu mwenye Elimu kubwa mpeni promotion, msimuache abaki idle, hii itaondoa migongano ya kiutendaji ofisini.

Haiwezekani mtu mwenye PhD/Masters yupo lakini kwenye ofisi hiyo hiyo anateuliwa mtu mwenye degree moja, kwa hili tunaomba busara zitumike zaidi.

Nawasalimuni kwa Jina la jumhuri ya Muungano, Kazi Ziendelee [emoji1241]
Kumbuka pia uongozi ni karama,unaweza kua na elimu kubwa ukawa 0 kwenye kuyatazama mambo na kuyatatua,mfano mdogo mtazame msukuma Kule bungeni ndo utaelewa.ukiwa kiongozi sehemu flan unakua pia ni mlezi was watu walio chino Yako.
 
We mwalimu inaelekea unafunza kichwani. Kama mwalimu una akili kisoda hao wanafunzi wako wana hali gani?
Msongo wa umaskini umekufanya sura ipauke kama tako
We jamaa ww unaakili gani kwahyo kila mtu Ni mwl, kila siku unashinda unaandika ma essay humu, ukiona tu uzi roho inakudunda, pomole we
 
Kumbuka pia uongozi ni karama,unaweza kua na elimu kubwa ukawa 0 kwenye kuyatazama mambo na kuyatatua,mfano mdogo mtazame msukuma Kule bungeni ndo utaelewa.ukiwa kiongozi sehemu flan unakua pia ni mlezi was watu walio chino Yako.
Ukiwa unaongoza peke yako(zero team w) bila kujali Elimu yako/yake lazma uongozi ukushinde, shida ni kwamba % kubwa kiongozi anataka afanye kila kitu pekee take. Uongozi ni kutimiza malengo syo kuongea tu
 
Back
Top Bottom