Walimu wa English medium wana nafasi kubwa ya kufunga ndoa na wazazi wakina Junior

Walimu wa English medium wana nafasi kubwa ya kufunga ndoa na wazazi wakina Junior

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Wale wazazi vijana wengine walipata watoto wakiwa vyuoni na kuingia katika soko la ajira wakiwa ni wazazi bila ndoa. Wenginge walitengana na wenza, wengine walifiwa hupelekwa.

Kama uwezo upo, hakuna asiyependa elimu nzuri kwa watoto wake. Wakina Junior wengi hupelekwa kusoma English Medium. Unakuta baba au mama anafanya kazi muda mrefu, hana muda wa one to one talk na mtoto. Junior anafunguka mengi kwa mwalimu wake.

Pale mwalimu anapopata nafasi ya kumpa mzazi feed back ya maendeleo ya mtoto wake na nini kifanyike kuyaboresha zaidi. Wazazi wengine inawaingia moyoni kuona kuna mwanamke au mwanaume anae elewana na mtoto wake na anaweza kuwa father au mother figure.
 
Soma vizuri mkuu, mtoa mada kalenga pande zote kwa single fatherz na mamaz ila me nimebase kwa singo mamaz maana ndo wengi zaidi.
Hawa wenye maduka wanawapata wale wa kipato cha kati ambao huwa wanakopa bidhaa katikati ya mwezi ili wakina Junior wasikose ubwabwa jioni.

Bodaboda ni kwa wale wasiomiliki hata IST.
 
Soma vizuri mkuu, mtoa mada kalenga pande zote kwa single fatherz na mamaz ila me nimebase kwa singo mamaz maana ndo wengi zaidi.
Sawa mkuu, Kuna ukweli hapo kwenye point ya masingle mothers kuliwa na boda boda na wauzaji reja reja.....inasikitisha Sana. Ni mahusiano yasiyo endelevu alafu yanashusha heshima ya dada zetu. Mbaya zaidi hao bodaboda hutangaza kwa kila mtu/abiria.

Bora hao Walimu naamini ni watu wenye staha.
 
Sawa mkuu, Kuna ukweli hapo kwenye point ya masingle mothers kuliwa na boda boda na wauzaji reja reja.....inasikitisha Sana. Ni mahusiano yasiyo endelevu alafu yanashusha heshima ya dada zetu. Mbaya zaidi hao bodaboda hutangaza kwa kila mtu/abiria.

Bora hao Walimu naamini ni watu wenye staha.
Unajua kwa nini wanaliwa sana sababu ni mbili
1. Kiasili mwanamke ameumbwa kuhudumiwa sasa anapokosa mtu wa kumhudumia kifedha, kimawazo au kingono basi ataruka na yoyote yule mwenye access nae ili tu atimize mahitaji yake. Hapo ndipo bodaboda na wauzaji wa rejareja wanapotake over coz ndiyo makundi yaliyopo karibu na single mamaz.

2. Sababu nyingine ni stress za maisha, single mamaz wengi wana stress za either kubakwa utotoni, kutelekezwa na mzazi mwenza, kifo cha mzazi mwenza au wakati mwingine kunyanyasika kisa tu ana mtoto asiye na baba. Yote haya hupelekea kuwa na stress ambazo zinamfanya alike kirahisi. Hapo napo bodaboda na wauzaji rejereja ndipo hupata gap la kula mzigo.

Siyasemi haya kwa kusimuliwa, niliwahi kula single mamaz watatu kwa sababu tu ya kuwabebea watoto wao kuwapeleka shule na boda yangu, pia nimewala wengie wawili kwa sababu tu ya kuwaletea zawadi na kuwaonyesha upendo wa kibaba kwa watoto wao.

Yote niliyokua nikiyafanya yalipaswa kufanywa na baba, sasa kama hayupo ni nani atatake cover?
 
Jaman hivi Bodaboda waliwakosea nini....? Mbona mnawasema sana huku wao wakiwa hawana time na mambo yenu....?

Kwa taarifa zenu kama una mshahara chini ya laki saba kwa mwezi tambua Bodaboda haumkamati.

Sema wenyewe kutokana na shughuli zao muda Wa kuvaa suti na tai hawana ili wafanye flex kama wengi wenu humu

Na kingine kinacho wabeba humu ni hiyo Mikopo mnayo kopa kununua ist na vi raum

Ndio maana madem zenu hao mnao waona wakali wanabanjuliwa na Bodaboda lkn bado hamjiulizi tu kuna nini.... Haaaahhahaha
 
Ni sahihi kabisa, soko kubwa la single mamaz ni hao walimu, bodaboda na wauza maduka ya rejareja. Single mamaz wanawapenda sana makundi hayo.
Ukisema bodaboda sawa. Ila wenye maduka ya rejareja siyo wote. Inategemeana ni wa mkoa gani!

Watu wenye maduka ya rejareja kutoka Kigoma (Waha), ni mabahiri sana. Hawatoi hata mia mbovu.
 
Ukisema bodaboda sawa. Ila wenye maduka ya rejareja siyo wote. Inategemeana ni wa mkoa gani!

Watu wenye maduka ya rejareja kutoka Kigoma (Waha), ni mabahiri sana. Hawatoi hata mia mbovu.
🤣🤣🤣🤣
Mkuu uko sahihi, kuna muuza duka ni jamaa angu yeye ni Muha, ni bahili hatari ila mara mojamoja namuonaga anahonga.
Umalaya hauna kabila mkuu.
 
Hawa wenye maduka wanawapata wale wa kipato cha kati ambao huwa wanakopa bidhaa katikati ya mwezi ili wakina Junior wasikose ubwabwa jioni.

Bodaboda ni kwa wale wasiomiliki hata IST.
Upo sahihi kabisa mkuu sky, huku mtaani kwetu uswazi imekuwa trend kwa kina junior kupelekwa hizi shule zao za 'day care'. Na wateja wengi wa hizi day care ni single mamaz ambao hata IST hawana so suluhisho ni kuwatumia boda ili kuwapeleka kina jr shule.
 
Ni kweli kabisa
Sio hao tu walio single,lakini wengine wanaume wameoa ila wanaruka na hao walimu wa kina junior,unakuta mzazi kaenda kuongea na mwalimu kuhusu maendeleo ya mtoto anajikuta anayaelewa maelezo adi mwalimu mwenyewe!
 
Jaman hivi Bodaboda waliwakosea nini....? Mbona mnawasema sana huku wao wakiwa hawana time na mambo yenu....?

Kwa taarifa zenu kama una mshahara chini ya laki saba kwa mwezi tambua Bodaboda haumkamati.

Sema wenyewe kutokana na shughuli zao muda Wa kuvaa suti na tai hawana ili wafanye flex kama wengi wenu humu

Na kingine kinacho wabeba humu ni hiyo Mikopo mnayo kopa kununua ist na vi raum

Ndio maana madem zenu hao mnao waona wakali wanabanjuliwa na Bodaboda lkn bado hamjiulizi tu kuna nini.... Haaaahhahaha
Kila kitu tunasingiziwa bodaboda[emoji38][emoji3]
 
Ni kweli kabisa
Sio hao tu walio single,lakini wengine wanaume wameoa ila wanaruka na hao walimu wa kina junior,unakuta mzazi kaenda kuongea na mwalimu kuhusu maendeleo ya mtoto anajikuta anayaelewa maelezo adi mwalimu mwenyewe!
Tena wengine wakiona mzazi wa Junior ana uwezo wanaanza na kukopa mrejesho wa vikoba.
 
Shule ambazo wapo serious na kazi ukionekana tu una mahusiano ya kimapenzi na mzazi hata kwa kuzushiwa unatimuliwa kazi,sasa sijui unakuwa umekosea nini hapo yani hawa School managers wenye hii tabia hawaendi mbinguni.
 
Shule ambazo wapo serious na kazi ukionekana tu una mahusiano ya kimapenzi na mzazi hata kwa kuzushiwa unatimuliwa kazi,sasa sijui unakuwa umekosea nini hapo yani hawa School managers wenye hii tabia hawaendi mbinguni.
Uko Ulaya huu ndio utaratibu. Sema wabongo kwa vile roho zetu ni uzinzi tupu ndio maana inaonekana ni ajabu
 
Back
Top Bottom