mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Single fathers zao mabaa medi na mama ntilieNi sahihi kabisa, soko kubwa la single mamaz ni hao walimu, bodaboda na wauza maduka ya rejareja. Single mamaz wanawapenda sana makundi hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single fathers zao mabaa medi na mama ntilieNi sahihi kabisa, soko kubwa la single mamaz ni hao walimu, bodaboda na wauza maduka ya rejareja. Single mamaz wanawapenda sana makundi hayo.
100%Single fathers zao mabaa medi na mama ntilie
🤣🤣🤣😍😍Kila kitu tunasingiziwa bodaboda[emoji38][emoji3]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yani wanajiongeza peupeTena wengine wakiona mzazi wa Junior ana uwezo wanaanza na kukopa mrejesho wa vikoba.
Hadi Mwalimu tenaNi kweli kabisa
Sio hao tu walio single,lakini wengine wanaume wameoa ila wanaruka na hao walimu wa kina junior,unakuta mzazi kaenda kuongea na mwalimu kuhusu maendeleo ya mtoto anajikuta a
IST.......na hizi zinakaribiana na u-singlemaza sasa.Bodaboda ni kwa wale wasiomiliki hata IST.
Waalimu wa English medium tu, kwa nini isiwe waalimu wa shule zote?Wale wazazi vijana wengine walipata watoto wakiwa vyuoni na kuingia katika soko la ajira wakiwa ni wazazi bila ndoa. Wenginge walitengana na wenza, wengine walifiwa hupelekwa.
Kama uwezo upo, hakuna asiyependa elimu nzuri kwa watoto wake. Wakina Junior wengi hupelekwa kusoma English Medium. Unakuta baba au mama anafanya kazi muda mrefu, hana muda wa one to one talk na mtoto. Junior anafunguka mengi kwa mwalimu wake.
Pale mwalimu anapopata nafasi ya kumpa mzazi feed back ya maendeleo ya mtoto wake na nini kifanyike kuyaboresha zaidi. Wazazi wengine inawaingia moyoni kuona kuna mwanamke au mwanaume anae elewana na mtoto wake na anaweza kuwa father au mother figure.
Kwahio ulitembea na chaki ukalamba mzigo😅😅😅!?!Unajua kwa nini wanaliwa sana sababu ni mbili
1. Kiasili mwanamke ameumbwa kuhudumiwa sasa anapokosa mtu wa kumhudumia kifedha, kimawazo au kingono basi ataruka na yoyote yule mwenye access nae ili tu atimize mahitaji yake. Hapo ndipo bodaboda na wauzaji wa rejareja wanapotake over coz ndiyo makundi yaliyopo karibu na single mamaz.
2. Sababu nyingine ni stress za maisha, single mamaz wengi wana stress za either kubakwa utotoni, kutelekezwa na mzazi mwenza, kifo cha mzazi mwenza au wakati mwingine kunyanyasika kisa tu ana mtoto asiye na baba. Yote haya hupelekea kuwa na stress ambazo zinamfanya alike kirahisi. Hapo napo bodaboda na wauzaji rejereja ndipo hupata gap la kula mzigo.
Siyasemi haya kwa kusimuliwa, niliwahi kula single mamaz watatu kwa sababu tu ya kuwabebea watoto wao kuwapeleka shule na boda yangu, pia nimewala wengie wawili kwa sababu tu ya kuwaletea zawadi na kuwaonyesha upendo wa kibaba kwa watoto wao.
Yote niliyokua nikiyafanya yalipaswa kufanywa na baba, sasa kama hayupo ni nani atatake cover?
Na ndio kanuni ukiiwezea hiyo umekula singo maza.Kwahio ulitembea na chaki ukalamba mzigo😅😅😅!?!
Ubaya wa single maza ukimpenda mwanae tu anakupa mzigo
peace of mind; with due respect.piece of mind
Uongoo 😂😂😂Ni jinsia zote mpendwa, kuna makaka waheshimiwa sana lakini wako single. Wakimpata mtu anae elewana na watoto au mtoto wake anakua na piece of mind.
kama mimi nlivyompata daktari wa kike,sababu tu ya kumtibia mwanangu vizuri so ili kuboresha mahusiano ikabidi nimle tu mzigo dadeki zake. aliona kama ni single faza ninayejali afya ya mtoto... inshort alinionea huruma.. wanawake wanajua hiiNi jinsia zote mpendwa, kuna makaka waheshimiwa sana lakini wako single. Wakimpata mtu anae elewana na watoto au mtoto wake anakua na piece of mind.