Walimu wa English medium wana nafasi kubwa ya kufunga ndoa na wazazi wakina Junior

Waalimu wa English medium tu, kwa nini isiwe waalimu wa shule zote?
 
Kwahio ulitembea na chaki ukalamba mzigoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…!?!
Ubaya wa single maza ukimpenda mwanae tu anakupa mzigo
 
Uzuri hata hao wasiosingle momz mmeshindwa kuwaoa,mnasubiri wadake mimba mje muwasimange huku.Sky tumekuelewa mada yako ila watu wamewakazia sana single momz
 
Mada imelenga Jinsi zote ila watuhumiwa wakuu wamekuwa Singo Mazaz. Tuwapumzisheni kidogo kipindi hiki tukiwa tunasubiri bei elekezi ya bia
 
Ni jinsia zote mpendwa, kuna makaka waheshimiwa sana lakini wako single. Wakimpata mtu anae elewana na watoto au mtoto wake anakua na piece of mind.
Uongoo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni jinsia zote mpendwa, kuna makaka waheshimiwa sana lakini wako single. Wakimpata mtu anae elewana na watoto au mtoto wake anakua na piece of mind.
kama mimi nlivyompata daktari wa kike,sababu tu ya kumtibia mwanangu vizuri so ili kuboresha mahusiano ikabidi nimle tu mzigo dadeki zake. aliona kama ni single faza ninayejali afya ya mtoto... inshort alinionea huruma.. wanawake wanajua hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…