Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Wasalaam
Jana jioni nimesikia kisa cha kushangaza sana. Wakati nikiwa kwenye simu naongea na aunt, mtoto wa form one (mtoto wa aunt) alirudi analia. Kumuliza analia nini? Akajibu shuleni wameshikishwa pedi chafu
Kisa kenyewe ni hiki kilichotokea shule ya Rasesa Secondary School huko Rawia Marangu
Choo cha shule kiliziba, na hii inatokana na watoto wa kike kutupa pedi chooni. Walimu walikerwa na hili sana sana
Muhusika wa kauzibua choo aliitoa ile pedi ikawekwa kwenye ndoo. Watoto wote wa kike kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne wakaitwa kwa majina hadharani.
Waalimu wakaamrisha kila mtoto wa kike ashike ile pedi iliyopo kwenye ndoo na mkono wa kulia kama adhabu siku nyingine wasirudie kutupa chooni.
Nimemshauri mama mdogo alifikoshe holi swala kwa afisa wa elimu.
Afisa Elimu Mkoa wa Kilimanjaro, Paulina Mkwama:
“Mmeshatupa taarifa ili turekebishe, mmefanya kazi nzuri, kumtuma tu Afisa Elimu Wilaya ni hatua, tunashukuru kwa kutuonesha lakini kilichobaki tutashughulikia sisi.
"Kazi yenu ni kutoa taarifa kama hivyo, mkituambia tu tunafanyia kazi ndio maana nikamtuma D.O akafanyie kazi.
"Ulivyoniuliza nilimjulisha RAS (Katibu Tarafa), Mkurugenzi na Afisa Elimu Wilaya, hivyo kama unataka kujua kilichoendelea baada ya hapo muulize source wenu aliyewapa hiyo taarifa."
Jana jioni nimesikia kisa cha kushangaza sana. Wakati nikiwa kwenye simu naongea na aunt, mtoto wa form one (mtoto wa aunt) alirudi analia. Kumuliza analia nini? Akajibu shuleni wameshikishwa pedi chafu
Kisa kenyewe ni hiki kilichotokea shule ya Rasesa Secondary School huko Rawia Marangu
Choo cha shule kiliziba, na hii inatokana na watoto wa kike kutupa pedi chooni. Walimu walikerwa na hili sana sana
Muhusika wa kauzibua choo aliitoa ile pedi ikawekwa kwenye ndoo. Watoto wote wa kike kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne wakaitwa kwa majina hadharani.
Waalimu wakaamrisha kila mtoto wa kike ashike ile pedi iliyopo kwenye ndoo na mkono wa kulia kama adhabu siku nyingine wasirudie kutupa chooni.
Nimemshauri mama mdogo alifikoshe holi swala kwa afisa wa elimu.
Afisa Elimu Mkoa wa Kilimanjaro, Paulina Mkwama:
“Mmeshatupa taarifa ili turekebishe, mmefanya kazi nzuri, kumtuma tu Afisa Elimu Wilaya ni hatua, tunashukuru kwa kutuonesha lakini kilichobaki tutashughulikia sisi.
"Kazi yenu ni kutoa taarifa kama hivyo, mkituambia tu tunafanyia kazi ndio maana nikamtuma D.O akafanyie kazi.
"Ulivyoniuliza nilimjulisha RAS (Katibu Tarafa), Mkurugenzi na Afisa Elimu Wilaya, hivyo kama unataka kujua kilichoendelea baada ya hapo muulize source wenu aliyewapa hiyo taarifa."