DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu, usihamaki take it easy.
Unazingua sana. Unaandika nakaa kwa shemeji. What is that about?

Aliyekuambia nachukia walimu ni nani?
Kama jambo limetokea shule tusi report?

Bongo kuna kasumba, unaenda ku report polisi kwa tukio unakamatwa wewe unawekwa ndani two years. Unapelekwa mahakamani kama mtuhumiwa

Disappointed
 
Unaropoka as always.
We una uhakika gani kama sikuwahi kufundisha!?
Una uhakika gani kama siwapongezagi walimu!?
Hii ni dalili ya mtu ambaye mfupi wa maarifa na busara/hekima.
Niliwahi kufundisha shule inaitwa Almustaqiim sasa hivi inaitwa Al nahdhwa Temeke pale kwa Aziz Ally.
5&6 kipindi hicho ndio natafuta maisha niendelee kujisomesha kozi yangu ya Medicine.
Sikuwahi kuinua mkono kumchapa mwanafunzi,hadi leo ukipita ukiuliza pale mwalimu Kippaya alikuaje watakwambia.
Na watoto walikua wananielewa vibaya mno.
Mtu huelekezwa kwa upendo na busara sio nguvu.

Sina haja ya kwenda PM.

Huna unalolijua kuhusu UALIMU wew, endelea kujidanganya humu mwenyewe.
Kuna Namna ya kupresent hoja ila sio Kwa kutishia watu Mkuu. Hii anonymity ya JF inawapaga kibri sana mnajikuta Shit talkers..
Anyways, sinaga hulka ya kukashifu watu hata iweje kama binadam nimeteleza hapo juu sababu ya kuguswa na Hustle za Walimu wetu hapa TZ, let me use this last text to apologize, Pole sana Mwl.Kapaya.
 
Serikali inatakiwa iwapime walimu akili kama ziko sawa. Hawa walimu tunawqachia malezi ya watoto badala ya kujenga watoto wakawaharibu


Juzi hapo nilitoka kumwashia moto mwalimu mmoja wa darasa la tano. Aliwatuma watoto walete miti shuleni (ipandwe shuleni), sasa mtoto (related to me) akapeleka ua. Yule mwalimu alimtandika sana mtoto wa darasa la tano kwa kosa la kuleta ua na sio mti

Mtoto kurdish kulalamika kesho nikaamkia saa kumi na mbili kuhoji kwa nini amchape mtoto kwa kukosea kuleta ua baadala ya mti?

Akajiby mbovu, nusu nimkate makofi kama wasingeingilia walimu wengine kati. Nikamwita mwalimu mkuu kumhoji pia.

Nikamweleza kuwa kama mtoto kakosea kuleta mti kwa nini hakunfundisha? Kwa sababu watoto wengi wa mini hawajui tofauti ya miti na maua.

Nikataka kuitisha shule nzima watoto huku nimeshika mhindi wautambue. Nikamweleza mwalimu mkuu nina uhakika nusu ya shule hawatatambua kama huu ni mhindi. Kama anabisha awaited watoto watambue.

Mwalimu mkuu akasema kweli sina haja ya kuita shule nzima watoto waliokulia mjini hawajui miti kama watoto wa vijijini. Mwalimu alikosea kumchapa mtoto angemfundisha

Yule mwalimu ni mpumbavu sana.
Swala la kucheka tu na kumwambia mtoto kuwa huo sio mti sasa hasira za kuchapa zinatoka wapi?
 
Swala la kucheka tu na kumwambia mtoto kuwa huo sio mti sasa hasira za kuchapa zinatoka wapi?
Mwanafunzi alichapwa fimbo nyingi bora hata angepigwa fimbo moja. Yule ticha nilimwakia sana

Humu ndani kuna watu wazima hata ukimuliza mti wa mpera unafananaje hajui, au fenesi mti wake ukoje hajui

Swala la kumfundisha tu
 
Wasalaam

Jana jioni nimesikia kisa cha kushangaza sana. Wakati nikiwa kwenye simu naongea na aunt, mtoto wa form one (mtoto wa aunt) alirudi analia. Kumuliza analia nini? Akajibu shuleni wameshikishwa pedi chafu

Kisa kenyewe ni hiki kilichotokea shule ya Rasesa Secondary School huko Rawia Marangu
Choo cha shule kiliziba, na hii inatokana na watoto wa kike kutupa pedi chooni. Walimu walikerwa na hili sana sana

Muhusika wa kauzibua choo aliitoa ile pedi ikawekwa kwenye ndoo. Watoto wote wa kike kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne wakaitwa kwa majina hadharani.

Waalimu wakaamrisha kila mtoto wa kike ashike ile pedi iliyopo kwenye ndoo na mkono wa kulia kama adhabu siku nyingine wasirudie kutupa chooni.

Nimemshauri mama mdogo alifikoshe holi swala kwa afisa wa elimu.
ni adhabu nzuri naiunga mkono kwa 100% tena ingewezekana walitakiwa waambiwe wakiishika ilivyo na wainuse pia
 
Kumbe ni jambo ambalo linafanyika? Kiafya imeakaje Lee? Unamshikishaje mtoto pedi chafu tena iliyotoka chooni ina maji taka umwambie akamue?

Kuna kitu kinaitwa mafunzo kwa vitendo huko shuleni, sasa hii ni part moja wapo. Watoto hawa kuna muda ni wajinga na wana kiburi sana, sasa unakuta mtoto choo kisicho cha shimo anatupa pedi, hili ni tatizo hata kwa baadhi ya wapangaji kwenye nyumba za kupanga. Majitu mazima kabisa.

Hawa watoto wamefanyiwa hivyo nakuhakikishia hawata rudia na wakitoka hapo watanawa mikono yao kwa sabuni vizuri tu kwa kutumia maji yanayo tiririka.

Usipoteze muda wako bure mkuu.
Tuwaunge mkono walimu wetu walio katika mazingira magumu sana ya kufanya kazi.
 
Kuna kitu kinaitwa mafunzo kwa vitendo huko shuleni, sasa hii ni part moja wapo. Watoto hawa kuna muda ni wajinga na wana kiburi sana, sasa unakuta mtoto choo kisicho cha shimo anatupa pedi, hili ni tatizo hata kwa baadhi ya wapangaji kwenye nyumba za kupanga. Majitu mazima kabisa.

Hawa watoto wamefanyiwa hivyo nakuhakikishia hawata rudia na wakitoka hapo wanatanawa mikono ya kwa sabuni vizuri tu kwa kutumia maji yanayo tiririka.

Usipoteze muda wako bure mkuu.
Tuwaunge mkono walimu wetu walio katika mazingira magumu sana ya kufanya kazi.
ni adhabu nzuri naiunga mkono kwa 100% tena ingewezekana walitakiwa waambiwe wakiishika ilivyo na wainuse pia
 
ni adhabu nzuri naiunga mkono kwa 100% tena ingewezekana walitakiwa waambiwe wakiishika ilivyo na wainuse pia
Kabisa, hawa hawa wanakojoa na kukaa na mapedi na mikojoo, kinyesi kwenye ndoo.. leo unaogopa ameshikishwa tu....
 
Kuna kitu kinaitwa mafunzo kwa vitendo huko shuleni, sasa hii ni part moja wapo. Watoto hawa kuna muda ni wajinga na wana kiburi sana, sasa unakuta mtoto choo kisicho cha shimo anatupa pedi, hili ni tatizo hata kwa baadhi ya wapangaji kwenye nyumba za kupanga. Majitu mazima kabisa.

Hawa watoto wamefanyiwa hivyo nakuhakikishia hawata rudia na wakitoka hapo watanawa mikono yao kwa sabuni vizuri tu kwa kutumia maji yanayo tiririka.

Usipoteze muda wako bure mkuu.
Tuwaunge mkono walimu wetu walio katika mazingira magumu sana ya kufanya kazi.
Kuna namna ya kuwafundisha kwa vitendo. Ila sio kushika pedi ya mtu chafu, yenye damu na imedumbukizwa kwenye maji ya choo

Hakukiwa na alternative way of teaching them?


Unaonaje hapo unapokaa na kutupa pedi chooni, wakushikishe wewe na wenzako wote kama fundisho ?
 
walifagia madarasa na Kudeki vyoo na hujawahi kusikia wamelalamika maana wanajua bila maarifa Yale wasingekua na nidhamu ya kuwafikisha hapo walipo.
kwenye hili hapana viongozi wengi hawana nidhamu ni wa ovyo na taia zao zinonekana kwenye utendaji wao na mambo ya ovyo wanayoyafanya hivyo naamini malezi na nidhamu za woga waliopitia kipindi wakiwa wanasoma ndio unaonekana sasa.
Unajua mziki wa kukaa na watoto 1200 kutoka familia tofauti Mkuu, Kila mtoto ana Kuja na tabia yake kutoka nyumbani kwao na unatakiwa uwasimamie wote wawe sawa, hiyo kazi ungepewa wew unafkiri ungekua hautelezi kwenye maamuzi yako as a human??
ndio kazi yao hiyo hata kama watoto wangekuwa elfu 5000 bado walimu wanapaswa kuwaelimisha tena na tena na tena umuhimu wa usafi binafsi na wa mazingira na sio kuwafundisha kwa njia ya ukatili hivyo au kuwapa adhabu kama hizo ambazo ni hatarishi kwa afya za hao watoto!
Wanaweza wasiwe sahihi kwenye hilo lakini kabla hujawaanika hapa hebu vaa Viatu vyao kwanza...
kukosea kwao hakujustify sababu eti wanawatoto wengi hivyo wanateleza kwenye kufanya maamuzi vipi nae askari magereza ni sawa akiuwa magereza sababu atakuwa ametereza tu kwenye kazi yake, na muhudumu wa ank nae ni sawa hasipoweka hesabu zako vizuri za account yako ungeridhika angekwambia kuwa alipitia sababu ya kazi nyingi sana!
 
Acha upumbavu, ulitaka walimu wao ndio washike na kuondoa hizo pedi chafu?
Watoto wa siku hizi hawasikii kabisa, walimu wapongezwe.
Tena wakirudia upuuzi wa kuchafua vyoo kwa kutupa pedi chooni hizo pedi wazibebe hadi vitandani mwao ndio akili itawakaa vizuri.

Walimu karibuni Marangu mtoni mnywe bia na kula nyama bili yangu nalipa.
bongo inawagonjwa wengi wa akili wasiojijua!
 
Kuna namna ya kuwafundisha kwa vitendo. Ila sio kushika pedi ya mtu chafu, yenye damu na imedumbukizwa kwenye maji ya choo

Hakukiwa na alternative way of teaching them?
Hapana hakuna alternative way ambayo wataikumbuka vizuri. Utakuta hivi vyoo vinaziba every day, wakiulizwa wanakataa wote, halafu wazazi mkija mnalalamika kuwa shulke ni chafu. Hii ni adhabu mujarabu kabisa, believe me you, hawa watoto hawatarudia tena, na watamkemea yeyote wataye ona amefanya hivi.

Usicheze na mafunzo kwa vitendo, ndio njia bora zaidi ya kufundisha vijana wetu mahiri.
 
Kuna namna ya kuwafundisha kwa vitendo. Ila sio kushika pedi ya mtu chafu, yenye damu na imedumbukizwa kwenye maji ya choo

Hakukiwa na alternative way of teaching them?


Unaonaje hapo unapokaa na kutupa pedi chooni, wakushikishe wewe na wenzako wote kama fundisho ?
ni adhabu nzuri naiunga mkono kwa 100% tena ingewezekana walitakiwa waambiwe wakiishika ilivyo na wainuse pia
 
Kwanza, tukubaliane kuwa jambo lililofanyika ni kinyume kabisa na taratibu. Huo ni upuuzi usiopaswa kuungwa mkono hata na mtu asiye na akili.

Ni hatari sana kwa afya ya wanafunzi na hata walimu wenyewe.

Lakini pia, lazima tukubaliane kama wazazi na walezi kuwa tuna wajibu wa kuwalea watoto wetu katika maadili na uwajibikaji.

Kutupa taka chooni ni hatari sana. Vyoo vikiziba vinaleta uwezekano mkubwa sana wa mlipuko wa kipindupindu. Na kwa jamii yenye mkusanyiko mkubwa kama shule, basi ni janga litatokea.

Pamoja na kuwalalamikia walimu, sisi kama wazazi tukae chini na watoto wetu. Tuwafundishe kitu gani kikae wapi na kwa sababu gani. Kwa nini si vema pedi zitupwe chooni. Tuwafundishe. Tukianza tu kuwasema walimu tunalet jeuri kwa watoto na kuona walichofanya ni sahihi.

Wazazi ndiyo hao, siku hizi hatutaki watoto wetu wachapwe. Tukiambiwa tulipe hela ya kutoa uchafu, tunakimbilia walimu wamefanya mradi wa kujiokotea. Oooh Michango imezidi.

Kila mmoja kwa nafasi yake awajibike ipasavyo.
 
Back
Top Bottom