DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Zaidi ya miaka 25 iliyopita. Tulishikishwa pedi na mwalimu Vida, hakuna aliyelalamika na sidhani kama kuna ambae alimsimulia mzazi wake.
Ilisaidia kukomesha tabia ya kutupa pedi hovyo hovyo na vyoo havikuziba tena.
Hakuna ukatili wowote hapo.
 
Kuna namna ya kuwafundisha kwa vitendo. Ila sio kushika pedi ya mtu chafu, yenye damu na imedumbukizwa kwenye maji ya choo

Hakukiwa na alternative way of teaching them?


Unaonaje hapo unapokaa na kutupa pedi chooni, wakushikishe wewe na wenzako wote kama fundisho ?

Gily Gru wewe hujawahi kudondosha hela/au kitu chooni na ukaingiza mkono kuitoa, kisha ukanawa kwa sabuni na maji safi na maisha yakaendelea?

Acheni kudekeza hawa watoto.
 
Serikali inatakiwa iwapime walimu akili kama ziko sawa. Hawa walimu tunawqachia malezi ya watoto badala ya kujenga watoto wakawaharibu


Juzi hapo nilitoka kumwashia moto mwalimu mmoja wa darasa la tano. Aliwatuma watoto walete miti shuleni (ipandwe shuleni), sasa mtoto (related to me) akapeleka ua. Yule mwalimu alimtandika sana mtoto wa darasa la tano kwa kosa la kuleta ua na sio mti

Mtoto kurdish kulalamika kesho nikaamkia saa kumi na mbili kuhoji kwa nini amchape mtoto kwa kukosea kuleta ua baadala ya mti?

Akajiby mbovu, nusu nimkate makofi kama wasingeingilia walimu wengine kati. Nikamwita mwalimu mkuu kumhoji pia.

Nikamweleza kuwa kama mtoto kakosea kuleta mti kwa nini hakunfundisha? Kwa sababu watoto wengi wa mjini hawajui tofauti ya miti na maua.

Nikataka kuitisha shule nzima watoto huku nimeshika mhindi wautambue. Nikamweleza mwalimu mkuu nina uhakika nusu ya shule hawatatambua kama huu ni mhindi. Kama anabisha awaited watoto watambue.

Mwalimu mkuu akasema kweli sina haja ya kuita shule nzima watoto waliokulia mjini hawajui miti kama watoto wa vijijini. Mwalimu alikosea kumchapa mtoto angemfundisha

Yule mwalimu ni mpumbavu sana.
Huyo related wako ni kiazi kama viazi vingine tu. Kwani mjini hakuna maua? hakuna miti? Au hakuna vyote kwa pamoja? Hapo ndyo pa kustuka kumbe hakuna mtu hapo kwa familia
 
Huyo related wako ni kiazi kama viazi vingine tu. Kwani mjini hakuna maua? hakuna miti? Au hakuna vyote kwa pamoja? Hapo ndyo pa kustuka kumbe hakuna mtu hapo kwa familia
Genius unayejua miti na maua. Huu ni mti gani?
Screenshot_20240704_162908_Gallery.jpg
 
Zaidi ya miaka 25 iliyopita. Tulishikishwa pedi na mwalimu Vida, hakuna aliyelalamika na sidhani kama kuna ambae alimsimulia mzazi wake.
Ilisaidia kukomesha tabia ya kutupa pedi hovyo hovyo na vyoo havikuziba tena.
Hakuna ukatili wowote hapo.

Asante sana kwa ushuhuda.
 
Una umri gani Gily Gru ? Sema tu 20's, 30's usitaje umri kamili.
Mr Kiraka. Mambo ya umri wangu yanaingiliana vipi na adhabu ambazo zinamhatarisha mtoto kiafya?

Nimemuliza mmoja hapo juu, kuwa yeye anaishi nyumba ya kupanga na kuna wapangaji wengine wanakunya hawasafishi. Ili iwe funzo anaonaje nyumba nzima wasafishe choo kwa mikono kwa sababu mmoja wao hasafishi kwa maji?

Hili swala nimeliandika straight. Kwa nini watoto washikishwe pedi ambazo zimetota maji ya chooni?
 
Acha upumbavu, ulitaka walimu wao ndio washike na kuondoa hizo pedi chafu?
Watoto wa siku hizi hawasikii kabisa, walimu wapongezwe.
Tena wakirudia upuuzi wa kuchafua vyoo kwa kutupa pedi chooni hizo pedi wazibebe hadi vitandani mwao ndio akili itawakaa vizuri.

Walimu karibuni Marangu mtoni mnywe bia na kula nyama bili yangu
 
Back
Top Bottom