DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mr Kiraka. Mambo ya umri wangu yanaingiliana vipi na adhabu ambazo zinamhatarisha mtoto kiafya?

Nimemuliza mmoja hapo juu, kuwa yeye anaishi nyumba ya kupanga na kuna wapangaji wengine wanakunya hawasafishi. Ili iwe funzo anaonaje nyumba nzima wasafishe choo kwa mikono kwa sababu mmoja wao hasafishi kwa maji?

Hili swala nimeliandika straight. Kwa nini watoto washikishwe pedi ambazo zimetota maji ya chooni?

Nimeuliza umri ili niweze kujua una experience gani katika maisha na niweze kuacha kupoteza muda. Kuna hatari nyingi sana katika maisha kama vile za gari, boda boda na nyingi nyingine zote ni hatari tu.

Watoto wetu lazima wafundishwe na kuna njia mbali mbali. Moja wapo walioamua walimu kuitumia ni hiyo na nakuhakikishia ni most effective kwa watoto hao ambao walikuwa wanaona aibu kutupa pedi zao sehemu tengefu na kuamua kutumbukiza chooni.

Maana kuna ambao walikuwa wanazitoa pedi hizo hizo walizotupa hao watoto kwa mikono.
Je mpaka leo huyo mtoto amepata madhara gani?
Unadhani atatupa tena pedi chooni au kumuona mwenzake anatupa na kukaa kimya?
 
Nimeuliza umri ili niweze kujua una experience gani katika maisha na niweze kuacha kupoteza muda. Kuna hatari nyingi sana katika maisha kama vile za gari, boda boda na nyingi nyingine zote ni hatari tu.

Watoto wetu lazima wafundishwe na kuna njia mbali mbali. Moja wapo walioamua walimu kuitumia ni hiyo na nakuhakikishia ni most effective kwa watoto hao ambao walikuwa wanaona aibu kutupa pedi zao sehemu tengefu na kuamua kutumbukiza chooni.

Maana kuna ambao walikuwa wanazitoa pedi hizo hizo.
Je mpaka leo huyo mtoto amepata madhara gani?
Unadhani atatupa tena pedi chooni au kumuona mwenzake anatupa na kukaa kimya?
You are right, tusipotezeane mda unawaza kushoto nawaza kulia.


Kosa la mjinga mmoja unaadhibu wengine tena unahatarisha maisha yao. Unaaanza kuzungunzia hatari za magari, vitu ambavyo viko.nje ya mada husika
 
Mr Kiraka. Mambo ya umri wangu yanaingiliana vipi na adhabu ambazo zinamhatarisha mtoto kiafya?

Nimemuliza mmoja hapo juu, kuwa yeye anaishi nyumba ya kupanga na kuna wapangaji wengine wanakunya hawasafishi. Ili iwe funzo anaonaje nyumba nzima wasafishe choo kwa mikono kwa sababu mmoja wao hasafishi kwa maji?

Hili swala nimeliandika straight. Kwa nini watoto washikishwe pedi ambazo zimetota maji ya chooni?
Fundisheni watoto wenu jinsi ya kuhifadhi pedi zilizotumika..solution ndio hiyo tusikwepe majukumu.
 
Fundisheni watoto wenu jinsi ya kuhifadhi pedi zilizotumika..solution ndio hiyo tusikwepe majukumu.
I can't argue with you Demi, kwa sababu uliona sawa kushikishwa pedi shuleni.

Binafsi sijapenda pedi itupwe chooni na asiyejulikana, anaweza akawa mmoja wa hao walimu. Uitishe watoto shule nzima uwape adhabu ya kushika pedi yenye maji ya chooni plus damu


Sio sawa hata kidogo. Kiafya watoto unawahatarisha kesho anakuja kuwa mkubwa anafabya haya kwa watu wengine.
 
I can't argue with you Demi, kwa sababu uliona sawa kushikishwa pedi shuleni.

Binafsi sijapenda pedi itupwe chooni na asiyejulikana, anaweza akawa mmoja wa hao walimu. Uitishe watoto shule nzima uwape adhabu ya kushika pedi yenye maji ya chooni plus damu


Sio sawa hata kidogo. Kiafya watoto unawahatarisha kesho anakuja kuwa mkubwa anafabya haya kwa watu wengine.
Mfano ni bweni la wanafunzi..utasemaje inawezekana ni mwalimu?
Hakuna ugonjwa wowote wanapata unakuza tu mambo mkuu.
Hiyo adhabu inasaidia kukomesha tabia mbaya.
 
Mfano ni bweni la wanafunzi..utasemaje inawezekana ni mwalimu?
Hakuna ugonjwa wowote wanapata unakuza tu mambo mkuu.
Hiyo adhabu inasaidia kukomesha tabia mbaya.
Unatolea kwa mfano sasa hapo kama iko bwenini.

Humu ndani nishaona mind-set za watu wengi. Unakuta mtoto wa kike anabakwa tena wanawake wenzake wanakuwa wa kwanza kusema kataka mwenyewe

Sikuzi mambo. Kuna magonjwa mengi sana yanapatikana kwenye damu. Leo hii huwezi kumshikisha mtu damu ya mwingine. Haliwezi kuwa jambo la kawaida hata kidogo

I see no body is answering my previous question. Dunia ya sasa ya magonjwa sio sawa
 
Walimu wapo sahihi.

Sasa akitupa chooni nani aje aishike?

Hiyo adhabu ipo sawa ili kusudi wajue ubaya wa kutupa chooni.

Hapo wamefundishwa kwa vitendo.

Hiyo Pedi lazima ametupa mmoja wao hivyo walipaswa wamtajekama alikosekana basi inakuwa adhabu ya wote.

Hivyo sioni tatizo hapo kama wakiona ni kimyaa basi wasingetupa.

Sasa ulitaka nani ateuliwe kwenda kuitupa? Na kigezo kipi hao Walimu wangekitumia Kuteua ?

Huyo mfanyakazi yeye ndo Kila siku ashike Pedi?
 
Unatolea kwa mfano sasa hapo kama iko bwenini.

Humu ndani nishaona mind-set za watu wengi. Unakuta mtoto wa kike anabakwa tena wanawake wenzake wanakuwa wa kwanza kusema kataka mwenyewe

Sikuzi mambo. Kuna magonjwa mengi sana yanapatikana kwenye damu. Leo hii huwezi kumshikisha mtu damu ya mwingine. Haliwezi kuwa jambo la kawaida hata kidogo

I see no body is answering my previous question. Dunia ya sasa ya magonjwa sio sawa
Kubakwa kwa kutaka mwenyewe inategemea umri na mazingira aliyobakwa.
 
Mfano ni bweni la wanafunzi..utasemaje inawezekana ni mwalimu?
Hakuna ugonjwa wowote wanapata unakuza tu mambo mkuu.
Hiyo adhabu inasaidia kukomesha tabia mbaya.
Hajielewi huyo achana nae.

Vyoo vya Walimu hawashehi na Wanafunzi.

Yaani Mwalimu wasitupe kwenye vyoo vyao waende kutupa vya Wanafunzi huyo anajielewa kweli?

Aadhabu walipewa ni sahihi ili wajifunze na wasirudie tena na Kila mmoja atakuwa mlinzi wa mwenzako.

Nawewe ulienda kufanya fujo shuleni ulikuta Walimu wa like peke Yao ungekutana nawalimu waliopinda na madaraja hawajapandishwa wangekufunga kamba na kukuitia polis na kukupa kesi ya kuvamia taasisi na kufanya fujo
 
Mie nashukuru nimesoma shule za aina zote hizi mbili.
Nilipomaliza la 7 nilichagua kusoma government Temeke sekondari,niliona utofauti sana,kwanza walimu ni watu wa matumizi ya nguvu,busara hawana pia ni wakandamizaji.
Wanafunzi waoga,hawajui kujitetea na pia hawafahamu haki zao hata wakifahamu ni waoga kujitetea kisa uoga wa walimu.
Niliwanyoosha pale Temeke sekondari mpaka naondoka walimu walisema kweli tulipata mwanafunzi mtukutu.
Ufaulu wako mkuu ulikuwaje hapo temeke maana wewe ulikuwa unajitambua?
 
Mfano ni bweni la wanafunzi..utasemaje inawezekana ni mwalimu?
Hakuna ugonjwa wowote wanapata unakuza tu mambo mkuu.
Hiyo adhabu inasaidia kukomesha tabia mbaya.
Kuhusu vyoo uko sahihi ila kuhusu maradhi wanapata.
Tazama hiyo pedi ambayo ina damu iloganda pamoja na uchafu mwingine maji maji yake yakipita katika mikono ya huyo mwanafunzi yatazalisha ugonjwa gani.
Kuna FUNGAL,BACTERIAL NA VIRUS INFECTIONS wanaweza kupata.
Msilete ubishi wa kitoto.
 
I can't argue with you Demi, kwa sababu uliona sawa kushikishwa pedi shuleni.

Binafsi sijapenda pedi itupwe chooni na asiyejulikana, anaweza akawa mmoja wa hao walimu. Uitishe watoto shule nzima uwape adhabu ya kushika pedi yenye maji ya chooni plus damu


Sio sawa hata kidogo. Kiafya watoto unawahatarisha kesho anakuja kuwa mkubwa anafabya haya kwa watu wengine.
Yaani mwalimu atupe pedi kwenye vyoo vya wanafunzi? Umesomea wapi wewe ambapo walimu na wanafunzi walitumia choo kimoja?
 
Yaani mwalimu atupe pedi kwenye vyoo vya wanafunzi? Umesomea wapi wewe ambapo walimu na wanafunzi walitumia choo kimoja?
Shule za government walimu wanatumia vyoo na wanafunzi kwa asimilia kubwa huko vijijini.

Ila kwa sababu unapenda ugomvi tusipoteze mda tumalize mjadala umeshinda wewe
 
Kuhusu vyoo uko sahihi ila kuhusu maradhi wanapata.
Tazama hiyo pedi ambayo ina damu iloganda pamoja na uchafu mwingine maji maji yake yakipita katika mikono ya huyo mwanafunzi yatazalisha ugonjwa gani.
Kuna FUNGAL,BACTERIAL NA VIRUS INFECTIONS wanaweza kupata.
Msilete ubishi wa kitoto.
Kwahiyo hao watoto wamepata ugonjwa gani hadi sasa? Unaweza kuthibitisha?
 
Wasalaam

Jana jioni nimesikia kisa cha kushangaza sana. Wakati nikiwa kwenye simu naongea na aunt, mtoto wa form one (mtoto wa aunt) alirudi analia. Kumuliza analia nini? Akajibu shuleni wameshikishwa pedi chafu

Kisa kenyewe ni hiki kilichotokea shule ya Rasesa Secondary School huko Rawia Marangu
Choo cha shule kiliziba, na hii inatokana na watoto wa kike kutupa pedi chooni. Walimu walikerwa na hili sana sana

Muhusika wa kauzibua choo aliitoa ile pedi ikawekwa kwenye ndoo. Watoto wote wa kike kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne wakaitwa kwa majina hadharani.

Waalimu wakaamrisha kila mtoto wa kike ashike ile pedi iliyopo kwenye ndoo na mkono wa kulia kama adhabu siku nyingine wasirudie kutupa chooni.

Nimemshauri mama mdogo alifikoshe holi swala kwa afisa wa elimu.
 
Kuhusu vyoo uko sahihi ila kuhusu maradhi wanapata.
Tazama hiyo pedi ambayo ina damu iloganda pamoja na uchafu mwingine maji maji yake yakipita katika mikono ya huyo mwanafunzi yatazalisha ugonjwa gani.
Kuna FUNGAL,BACTERIAL NA VIRUS INFECTIONS wanaweza kupata.
Msilete ubishi wa kitoto.
Vyoo vya shule hudekiwa kwa sabuni kila siku na sabuni huua bacteria na vijidudu vingi vya magonjwa. Kwa akili ya kawaida ilikuwa sawa mwalimu angezitoa hizo pedi na asifanye chochote kwa wanafunzi?
 
Back
Top Bottom