DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Me, sema sasa
Pedi aina zote zinachomeka. Na tunafundishwa hivyo kuanzia shule ya msingi kwamba tuchome moto na si kuzitupa jalalani wala kutupa ndani ya choo labda tu iwe ni choo cha shimo.

Kwani huko pande zenu wanatumia aina gani ambazo hazichomeki?
 
Itoshe kusema mleta Mada wew ni mjinga, kwaiyo ulitaka Walimu wawachekee tu hao wanafunzi wajinga?
Kwani wew unajikuta ni nan adi utake kuita wanafunzi wote mstarini? Natamani nikutane na mjinga kama wew
 
Hao walimu mnawaonea bure. Kwa nini mtoa mada usishauri miundombinu mf sehemu ya kuchomea taka ijengwe kama haipo au wanafunzi waelimishwe madhara utupaji horera ya ped iliyotumika.

Tujiulize pia kuwa, mwalimu afanye nini kama sehemu sahihi ya kuweka hizo ped chafu ipo na wanafunzi kwa makusudi wanatupa huo uchafu sehemu isivyostahili?

Kama ulisoma shule za bweni tena za serikali, utakuwa unaelewa usumbufu wa wanafunzi unaofanywa kwa makusudi ili kuwakomoa walimu au kujitafutia umaarufu.

Tusikose fadhila kwa walimu kwa kukosoa na kubeza kazi nzuri wanazofanya licha ya kuandamwa na changamoto lukuki za kimaisha.
 
Serikali inatakiwa iwapime walimu akili kama ziko sawa. Hawa walimu tunawqachia malezi ya watoto badala ya kujenga watoto wakawaharibu


Juzi hapo nilitoka kumwashia moto mwalimu mmoja wa darasa la tano. Aliwatuma watoto walete miti shuleni (ipandwe shuleni), sasa mtoto (related to me) akapeleka ua. Yule mwalimu alimtandika sana mtoto wa darasa la tano kwa kosa la kuleta ua na sio mti

Mtoto kurdish kulalamika kesho nikaamkia saa kumi na mbili kuhoji kwa nini amchape mtoto kwa kukosea kuleta ua baadala ya mti?

Akajiby mbovu, nusu nimkate makofi kama wasingeingilia walimu wengine kati. Nikamwita mwalimu mkuu kumhoji pia.

Nikamweleza kuwa kama mtoto kakosea kuleta mti kwa nini hakunfundisha? Kwa sababu watoto wengi wa mjini hawajui tofauti ya miti na maua.

Nikataka kuitisha shule nzima watoto huku nimeshika mhindi wautambue. Nikamweleza mwalimu mkuu nina uhakika nusu ya shule hawatatambua kama huu ni mhindi. Kama anabisha awaited watoto watambue.

Mwalimu mkuu akasema kweli sina haja ya kuita shule nzima watoto waliokulia mjini hawajui miti kama watoto wa vijijini. Mwalimu alikosea kumchapa mtoto angemfundisha

Yule mwalimu ni mpumbavu sana.
Unapelekaje mtoto kwenye shule ya mwalimu mpumbavu kwa mujibu wako lakini , ushauri ni huu tafuta hela hakuna shule ya maana mtoto anatumwa ua wala mti ,tafuta pesa,unatuletea hadithi za uvivu wa kufikiri eti nililuwashia mwalimu moto,katafute hela shule zipo za ada hata laki mbili kwa miezi mitatu hawatumi maua na miti.
 
Wasalaam

Jana jioni nimesikia kisa cha kushangaza sana. Wakati nikiwa kwenye simu naongea na aunt, mtoto wa form one (mtoto wa aunt) alirudi analia. Kumuliza analia nini? Akajibu shuleni wameshikishwa pedi chafu

Kisa kenyewe ni hiki kilichotokea shule ya Rasesa Secondary School huko Rawia Marangu
Choo cha shule kiliziba, na hii inatokana na watoto wa kike kutupa pedi chooni. Walimu walikerwa na hili sana sana

Muhusika wa kauzibua choo aliitoa ile pedi ikawekwa kwenye ndoo. Watoto wote wa kike kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne wakaitwa kwa majina hadharani.

Waalimu wakaamrisha kila mtoto wa kike ashike ile pedi iliyopo kwenye ndoo na mkono wa kulia kama adhabu siku nyingine wasirudie kutupa chooni.

Nimemshauri mama mdogo alifikoshe holi swala kwa afisa wa elimu.
Ingekuwa shule ya wakatoliki wanashika vizuri tu na ukilalamika chukua mtoto wako peleka kokote utakapojisikia hawafugi ujinga ,uliza watoto waliosoma shule za katoliki wakifanya ujinga wa kuziba choo kwa pedi wanazibua wenyewe na hakuna wa kulalamika ,ndio maana watoto wanatoka shule wanajua kulima ,ikibidi kufuga ,na division one ipo.Masister na mapadre wako mbele ya muda sana .
 
Unapelekaje mtoto kwenye shule ya mwalimu mpumbavu ,tafuta hela hakuna shule ya maana mtoto anatumwa ua wala mti ,tafuta pesa
Shule za kishua hazina mambo ya kipuuzi. Ngoja wake wafunguke
 
Back
Top Bottom