Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nina ushahidi..nachoma pedi kila mwezi. Wewe ushahidi unao?Zinaunguaje Pedi sio Pampas zile zina mabarafu katikati hata ulichome na nini linatoka mabonge km Sukari haliungui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina ushahidi..nachoma pedi kila mwezi. Wewe ushahidi unao?Zinaunguaje Pedi sio Pampas zile zina mabarafu katikati hata ulichome na nini linatoka mabonge km Sukari haliungui
Subiri bana...ukute anao ushahidiWhen you see two people using different brand arguing ha
Mambo mengine mkuu ni vizuri tukaendelea kupishana mawazo. Ila upande wangu kuokota pedi au kushika ni sawa kabisa hasa kwenye upande wa adhabuUnafananisja kuokota karatasi na kushika pedi chafu iliyotoka chooni. Ni nani asiyeokota karatasi au kufanya usafi mazingira ya nyumbani?
Wote sisi tulifanya usafi mashuleni
Inakuaje bwana afya aje unapofanya kazi, akute mtu mmoja mpuuzi kanya hajasafiksha choo.Mambo mengine mkuu ni vizuri tukaendelea kupishana mawazo. Ila upande wangu kuokota pedi au kushika ni sawa kabisa hasa kwenye upande wa adhabu
Hapana sitaki mbishane. Nataka atambue ya kwamba..pedi zinachomwa moto na zinaungua.Unamtag nibishane na huyo jamaa? Aisee huwa akishiba anakuwa mbishi sana.
Nikubali kushindwa
yaani mijitu inatetea upuuzi, walah Ccm bora iongoze nchi mileleZaidi ya miaka 25 iliyopita. Tulishikishwa pedi na mwalimu Vida, hakuna aliyelalamika na sidhani kama kuna ambae alimsimulia mzazi wake.
Ilisaidia kukomesha tabia ya kutupa pedi hovyo hovyo na vyoo havikuziba tena.
Hakuna ukatili wowote hapo.
Ni kweli CCM itaendelea kuongoza kama wanaoipinga wana akili kama za kwako.Yaani mijitu inatetea upuuzi, walah CCM bora iongoze nchi milele
Wewe kila Mwezi unachoma Pedi au unatupa Chooni?Nina ushahidi..nachoma pedi kila mwezi. Wewe ushahidi unao?
Aina gani ya Pedi unatumia? Maana huku haziungui
Hebu kwanza...Aina gani ya Pedi unatumia? Maana huku haziungui
Nachoma motoWewe kila Mwezi unachoma Pedi au unatupa Chooni?