Tumeletewa taarifa ya watoto kushikishwa pedi,taarifa za kiafya hazikuja na wala mimi sipo huko kuthibitisha.Kwahiyo hao watoto wamepata ugonjwa gani hadi sasa? Unaweza kuthibitisha?
Ila Epidemiologically kuna great chance ya hao kupata magonjwa mbali mbali.