DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa hao waliaamu kama ni kweli wanatofauti Gani na nguruwe vichwani?Nimetapika sana
Walimu wa hovyo. Huwezi kupenda ukiona mwanao anafanyiwa hivi

Sio kitendo cha kibinadamu. Adhabu ziko nyingi sana


Chunguza sana humu mtandaoni kina watu vichwa maji
 
Hakuna mwenye chuki na walimu


Naona walimu mnatetea sana makosa ya walimu wenzako

Ni sahihi watoto kipewa adhabu, ila kwa yule mwenye kosa. Shuleni ni sehemu ya kwenda kujifunza, na sio masomo ya darasani tu hata usafi ni somo

Namna ya kuwafundisha watoto lwa kushika pedi yenye damu ni ya kijinga. Kuna watoto hapo hawajanawa mikoko na sabuni, hii unamhatarishia maisha yake

Kosa limefanywa na walimu hapo Rasesa. Inapobidi kupongezwa itapongezwa na pa kukosoa tutakosoa


Low level minded teacher
 
So far swala like reported kwa vyombo husika nadhani taratibu nyingine zinafatwa.

Thread closed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…