Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwa matokeo waliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa leo, natabiri walimu wa shule hiyo watanyanyaswa mno na wakubwa wao wa kazi.
Yaani watafokewa kuanzia na wazazi,diwani wa kata yao, mbunge, afisa elimu kata, afisa elimu wa wilaya, afisa elimu wa mkoa, wizara za elimu na tamisemi, mkuu wa wilaya ya temeke, mkuu wa mkoa wa dar, kamati ya bunge ya elimu (kama ipo) nk
Kama binadamu wa kawaida nimejikuta nimewaonea huruma, maana wanafunzi karibia 470 wana daraja sifuri.
Poleni sana walimu sio kwahyo mitoto ya temeke!
Yaani watafokewa kuanzia na wazazi,diwani wa kata yao, mbunge, afisa elimu kata, afisa elimu wa wilaya, afisa elimu wa mkoa, wizara za elimu na tamisemi, mkuu wa wilaya ya temeke, mkuu wa mkoa wa dar, kamati ya bunge ya elimu (kama ipo) nk
Kama binadamu wa kawaida nimejikuta nimewaonea huruma, maana wanafunzi karibia 470 wana daraja sifuri.
Poleni sana walimu sio kwahyo mitoto ya temeke!