Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
HatariFom 4 tu ina wanafunzi buku 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariFom 4 tu ina wanafunzi buku 😆
Tuishi maishi ya ki zero zero kila kona, hata kushughulisha akili hata kidogo ni zeroHesabu zinatusumbua mkuu yaani hata kujumlisha tunasumbuka tunawacheka waliopata Zero kweli...
Sasa secondary mwalimu aanze kufundisha a, e i o u. Mwalimu anafundisha muelewe msielewe mtajua wenyewe kwa sababu kosa si la mwalimu .Kwa hiyo miaka mine walikua wanafundishwa nini? Wangeweza sema ndio hivyo Watendaji wameitelekeza shule
Hapana Mkuu mimi niliwahi fanya kazi Handeni hapo Halmashauri ila kwa kuwa napenda vijana wapende hesabu nikawa muda wa jioni naenda kuwapa Darasa la hesabu kidato cha Tatu na cha Nne nilikaa pale miaka miwili tuu ila niliona tofauti maana tulikuwepo kama wahasibu wanne baada ya mazoezi ya Mpira tunawapiga darasa vijana mpaka Geog na English ili waone urahisi wa shule wapo waliofanya vizuri na waliobadilika ndio maana najiuliza hao miaka yote minne walikua wanasoma nini?Sasa secondary mwalimu aanze kufundisha a, e i o u. Mwalimu anafundisha muelewe msielewe mtajua wenyewe kwa sababu kosa si la mwalimu .
Watoto wenyewe wa TMK unaweza kukuta t stands for transgender hawaaminiki 😂Daah kizazi cha dhambi mnawaza mabaya tu?🤣🤣
Huoni T ni total?
ipo maeneo gani, karibu na uwanja wa Taifa?Mazingira mabovu watoto 1000 ni wengi sana...harafu hiyo shule nimeikumbuka aisee daah...
Na hawa ni waliofika form four wengi wameacha wakiwa madara ya form 1,2,3Inakuwaje shule iwe na wanafunzi zaidi ya 1,000 kidato kimoja?
Mazingira ni rafiki?
Kuna wali na miundombinu muhimu?
Tuanzie hapa
Hatari sanaNa hawa ni waliofika form four wengi wameacha wakiwa madara ya form 1,2,3
Na kufel form 2
Ukienda hapo diplomacia watoto nyomi mwalimu wa physics
Form 1 hadi four...mpaka mwaka jana labda kama mwaka huuwameongeza.
Ni msiba
Kwa matokeo waliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa leo, natabiri walimu wa shule hiyo watanyanyaswa mno na wakubwa wao wa kazi.
Yaani watafokewa kuanzia na wazazi,diwani wa kata yao, mbunge, afisa elimu kata, afisa elimu wa wilaya, afisa elimu wa mkoa, wizara za elimu na tamisemi, mkuu wa wilaya ya temeke, mkuu wa mkoa wa dar, kamati ya bunge ya elimu (kama ipo) nk
Kama binadamu wa kawaida nimejikuta
Binafsi siwezi mlaumu Mwalimu.Wakufunzi/walimu tupo tayari kupokea lawama zote ila wakumbuke wakati wakuja kutulaumu je wamafanyia kazi maoni/mapendekezo yetu?
Tupo tauari kwenda watakapotuhamishia kama adhabu ila hata hao watakaoletwa hapa watafanya kama sisi tu
TotalHapo kwenye sex naomba kuuliza T ni transgender ama?
Nilikua nachangamsha genge tu mkuu.Total