Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... garbage in, garbage out! Hiyo ndio kanuni. Wasiojua kusoma, kuandika, wala kuhesabu wanachaguliwa kuingia kidato cha kwanza unategemea nini? Tusipoboresha kule chini tusitegemee tofauti!Daah Div 0 wanafunzi wa kiume zaidi ya 400 aisee hizi shule zina wakaguzi kweli maana matokeo hayo sio yamekuja tuu kwa ghafra...
Atawasimanga mpaka waite chaki "khakee"!
... hakuna mahali panaweza kuwa hovyo kwa kila kitu Chief. The best mchiriku and mdumange shows utazikuta Temeke! Wana vipaji vingi sana kwa upande wa sanaa; vikiibuliwa vitalipeleka taifa mbele.Wilaya ya Temeke ni Wilaya ya hovyo sana
Ina maana kwamba miaka yote minne shule ya mjini kabisa walimu wazuri wapo mtaaani wengine wana Center zao wameshindwa kufanya kitu hapo au Utani huu Mkuu...unakuta shule ipo Nanjirinji huko inatoa Div 1 ya mjini wanajazana na Zero kweli yaani Necta wanenda kwa kupanda bus moja tuu...... garbage in, garbage out! Hiyo ndio kanuni. Wasiojua kusoma, kuandika, wala kuhesabu wanachaguliwa kuingia kidato cha kwanza unategemea nini? Tusipoboresha kule chini tusitegemee tofauti!
Tuilaumu Serikali kwa kulazimisha watu waende Sekondari bila kujua kusoma na kuandikaDaah Div 0 wanafunzi wa kiume zaidi ya 400 aisee hizi shule zina wakaguzi kweli maana matokeo hayo sio yamekuja tuu kwa ghafra...
Huwezi tokomeza 0 kwa wasiojua andika na kusoma... kumbe hii shule iko Temeke? Nilijuwa iko Zanzibar huko! Yule mdada nakumbuka alikuwa na mkakati kabambe wa kutokomeza 0's haukuonesha matokeo? Au ilikuwa hadaa aka uchawa?
Kwa walimu mashuleni na muda wa shule... mwongozo wa Wizara ya Elimu unakataza tution; ukikamatwa unafundisha hiyo kitu! Ole ni wako! Tena unasisitiza wakati wa likizo ni kwa ajili ya watoto kupumzika ni kosa kupewa kazi za kufanya kipindi cha likizo! Bongolala!
... iko hivi, mwongozo wa Wizara unaharamisha kabisa tuition au watoto kurundikiwa kazi za kufanya wakati wa likizo! Mmesahau maelekezo ya Waziri Ummy Mwalimu akiwa TAMISEMI? Likizo ni wakati wa watoto wetu wapendwa kupumzika na kupumzisha akili zao na sio vinginevyo. Ni kosa kabisa walimu kufundisha tuition!Ina maana kwamba miaka yote mine shule ya mjini kabisa walimua wazuri wapo mtaaani wengine wana Center zao wameshindwa kufanya kitu hapo au Utani huu Mkuu...unakuta shule ipo Nanjirinji huko inatoa Div 1 ya mjini wanajazana na Zero kweli yaani Necta wanenda kwa kupanda bus moja tuu...
Kwa hiyo miaka mine walikua wanafundishwa nini? Wangeweza sema ndio hivyo Watendaji wameitelekeza shuleHuwezi tokomeza 0 kwa wasiojua andika na kusoma
Inakuwaje shule iwe na wanafunzi zaidi ya 1,000 kidato kimoja?Kwa matokeo waliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa leo, natabiri walimu wa shule hiyo watanyanyaswa mno na wakubwa wao wa kazi.
Yaani watafokewa kuanzia na wazazi,diwani wa kata yao, mbunge, afisa elimu kata, afisa elimu wa wilaya, afisa elimu wa mkoa, wizara za elimu na tamisemi, mkuu wa wilaya ya temeke, mkuu wa mkoa wa dar, kamati ya bunge ya elimu (kama ipo) nk
Kama binadamu wa kawaida nimejikuta nimewaonea huruma, maana wanafunzi karibia 470 wana daraja sifuri.
Poleni sana walimu sio kwahyo mitoto ya temeke!
View attachment 2499396
... wazazi walishaelezwa kazi yao ni moja tu; KUFYATUA. Baada ya hapo serikali ita-take responsibilities nyingine zote. Wazazi wasilaumiwe kwa hili; wametekeleza jukumu lao la kufyatua vizuri sana. Mashule yamejaa hadi vyumba vya madarasa havitoshi tena kwa muda mfupi sana.Tuilaumu Serikali kwa kulazimisha watu waende Sekondari bila kujua kusoma na kuandika
Tuwalaumu wazazi kwa kutoweka muda wao kufatilia maendeleo ya watoto
OK tuition ni kosa kwa hiyo walikua wanasoma nini kwa miaka minne mkuu na pia hiyo shule ipo mlangoni kwao hata hao Baraza ina maana walikua hawajui kinachoendelea hapo mpaka kipindi cha Mtihani umewahi ona wapi Div 0 karibu 600 huko..... iko hivi, mwongozo wa Wizara unaharamisha kabisa tuition au watoto kurundikiwa kazi za kufanya wakati wa likizo! Mmesahau maelekezo ya Waziri Ummy Mwalimu akiwa TAMISEMI? Likizo ni wakati wa watoto wetu wapendwa kupumzika na kupumzisha akili zao na sio vinginevyo. Ni kosa kabisa walimu kufundisha tuition!
Shida inaanzia hapaWatoto 1000
Duuh
... Mkuu hayo aulizwe Waziri TAMISEMI na viongozi wenzake. Mimi kazi yangu ni moja tu; KUFYATUA na kuwapelekea vijana wasomeshe!OK tuition ni kosa kwa hiyo walikua wanasoma nini kwa miaka minne mkuu na pia hiyo shule ipo mlangoni kwao hata hao Baraza ina maana walikua hawajui kinachoendelea hapo mpaka kipindi cha Mtihani umewahi ona wapi Div 0 karibu 600 huko..
Daah kizazi cha dhambi mnawaza mabaya tu?🤣🤣Hapo kwenye sex naomba kuuliza T ni transgender ama?