Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Hao walikuwa wanapandianaKwa matokeo waliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa leo, natabiri walimu wa shule hiyo watanyanyaswa mno na wakubwa wao wa kazi...
Watoto wamekuwa nunda,Kwa matokeo waliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa leo, natabiri walimu wa shule hiyo watanyanyaswa mno na wakubwa wao wa kazi...
Feza school 3mamaee darasa moja watu buku.. si idadi ya shule nzma kabsa hyo
kwa idadi hiyo ya wanafunzi, unaona kabisa hakutakuwa na uwiano na idadi ya walimu waliopo...Kwa matokeo waliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa leo, natabiri walimu wa shule hiyo watanyanyaswa mno na wakubwa wao wa kaz...
... kumbe hii shule iko Temeke? Nilijuwa iko Zanzibar huko! Yule mdada nakumbuka alikuwa na mkakati kabambe wa kutokomeza 0's haukuonesha matokeo? Au ilikuwa hadaa aka uchawa?mkuu wa wilaya ya temeke
... mwongozo wa Wizara ya Elimu unakataza tution; ukikamatwa unafundisha hiyo kitu! Ole ni wako! Tena unasisitiza wakati wa likizo ni kwa ajili ya watoto kupumzika ni kosa kupewa kazi za kufanya kipindi cha likizo! Bongolala!Mitoto yoote hio hakuna give 1 hata moja na ni Dar salaam sehemu wanasoma tuition really?