Walimu wa Taifa Secondary watanyanyaswa sana na wakubwa wao wa kazi

Nawaza hiki kizazi miaka 10 ijayo.. Tanzania itakuwa na watu wajinga mno na hiki ndio ccm wanachotaka
 
Badala ya kuboresha elimu wanakimbilia kuficha ranking.......hivi hii nchi itakalika kama watajaa vilaza watupu, maana kustaarabika kunaendana na uwezo wa kiakili.
 
Waalimu Wana kazi kweli lawama zote zitashushwa kwao!!bila kuangaliwa Mambo mengine nje ya waalimu ,jamani hata maadili kwa watt ni shida siku hizi,mwalimu akitoa adhabu kwa mwanafunzi (sio zile zilizo kinyume) mzazi anakuja juu na wakati mwingine atamtafutia zengwe Hadi kwenye mitandao ,waalimu inafikia mahali wanawaogopa wanafumzi kuwapa adhabu hata zile zinazoruhusiwa ,watt wanakuwa na kiburi,nidhamu kwa waalimu wao zero,matokeo yake mwalimu anaamua kutimiza tu wajibu wa kuingia kwenye vipindi Basi,hajisumbui na kutumia weledi wa ziada juu ya wanafunzi wake.tutegemee taifa la watt wa ajabu kweli.Kuna Mambo kweli yamepitwa na wakati,lakini yapo Mambo sio ya kusema yamepitwa na wakati,hasa elimu na malezi ya mtt kielimu.mfano zamani s/msingi unaletewa paper ya mathematics maswali 50 ,ukokotoe yote mwenyewe ,upate majibu sahihi,unadhani tuliweza hvhv ,NI nidhamu kwa waalimu ilikuwa ya Hali ya juu mno.yaani unalazmika wakati mwingine ulirudi home unatorika nyumbani kukwepa wazaz wasikupe kazi ,halafu unaenda kupanda juu ya mti na vitabu vyako au maswali ya mitihani ,una solve huko juu ,kujikumbusha ,ili tu kujihami na bakora za shuleni ,maana ilikuwa kila kosa moja kwenye mtihani,fimbo moja .watt wetu wa Leo wangeyaweza haya !!!
 
... Mkuu hayo aulizwe Waziri TAMISEMI na viongozi wenzake. Mimi kazi yangu ni moja tu; KUFYATUA na kuwapelekea vijana wasomeshe!
Mkuu nina hasira nakuuliza maswali magumu samahani bhana ujue umenichekesha sana ujue...
 
Matokeo unayaona leo n zao la kazi ya miaka minne
 
Daah Div 0 wanafunzi wa kiume zaidi ya 400 aisee hizi shule zina wakaguzi kweli maana matokeo hayo sio yamekuja tuu kwa ghafra...
Hamna div 0 mkuu.
No div 1 mpaka 4
Sifuri haipo kwenye kundi la div
 
Wakufunzi/walimu tupo tayari kupokea lawama zote ila wakumbuke wakati wakuja kutulaumu je wamafanyia kazi maoni/mapendekezo yetu?
Tupo tauari kwenda watakapotuhamishia kama adhabu ila hata hao watakaoletwa hapa watafanya kama sisi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…