Inakuwaje shule iwe na wanafunzi zaidi ya 1,000 kidato kimoja?
Mazingira ni rafiki?
Kuna wali na miundombinu muhimu?
Tuanzie hapa
Shida inaanzia hapa
... haina shida wala nini; tumepewa malengo FYATUENI mengine sio kazi yenu. Tunahitaji wapiga kura loyal mjue hilo.Mbona wanafunz weng saana,,1000 kweli
... big results now!Tatizo linaanza darasa la saba siku hizi kila mtu anaenda form one.....
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Serikali imejitakia yenyewe kwa haya matokeoKwa hiyo miaka mine walikua wanafundishwa nini? Wangeweza sema ndio hivyo Watendaji wameitelekeza shule
Nikipta Temeke nataka nikaone hii shule yenye watu 1000 kidato kimoja...... big results now!
Nawaza hiki kizazi miaka 10 ijayo.. Tanzania itakuwa na watu wajinga mno na hiki ndio ccm wanachotakaKwa matokeo waliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa leo, natabiri walimu wa shule hiyo watanyanyaswa mno na wakubwa wao wa kazi.
Yaani watafokewa kuanzia na wazazi,diwani wa kata yao, mbunge, afisa elimu kata, afisa elimu wa wilaya, afisa elimu wa mkoa, wizara za elimu na tamisemi, mkuu wa wilaya ya temeke, mkuu wa mkoa wa dar, kamati ya bunge ya elimu (kama ipo) nk
Kama binadamu wa kawaida nimejikuta nimewaonea huruma, maana wanafunzi karibia 470 wana daraja sifuri.
Poleni sana walimu sio kwahyo mitoto ya temeke!
View attachment 2499396
Dah! hatari sana, wanafunzi buku darasani? nafikiri hapo wamepelekwa kwenda kupitisha miaka waote ndevu na matiti....Nikipta Temeke nataka nikaone hii shule yenye watu 1000 kidato kimoja...
Ya ghorofa nini...
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Mkuu nina hasira nakuuliza maswali magumu samahani bhana ujue umenichekesha sana ujue...... Mkuu hayo aulizwe Waziri TAMISEMI na viongozi wenzake. Mimi kazi yangu ni moja tu; KUFYATUA na kuwapelekea vijana wasomeshe!
Hesabu zinatusumbua mkuu yaani hata kujumlisha tunasumbuka tunawacheka waliopata Zero kweli...Daah kizazi cha dhambi mnawaza mabaya tu?🤣🤣
Huoni T ni total?
Hamna div 0 mkuu.Daah Div 0 wanafunzi wa kiume zaidi ya 400 aisee hizi shule zina wakaguzi kweli maana matokeo hayo sio yamekuja tuu kwa ghafra...
Huko ndiko kunaongoza kwa kupelekwa matamasha ya singeli na wasanii wa bongo fleva mashuleniWilaya ya Temeke ni Wilaya ya hovyo sana
Matokeo yanasema Division performance summary mkuu...Hamna div 0 mkuu.
No div 1 mpaka 4
Sifuri haipo kwenye kundi la div
Jukumu letu n kutimiza wajibu kufundisha.kufuatiloa maendeleo ya mtoto n mzazi na walezi wakeHiyo shule ina wanafunzi wangapi? 5000!!?