linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,724
- 4,381
Wanachanga sh 700-1,000..Mia saba hadi elfu moja tena kwa mbinde.Halafu uweke wazi huwa mnachangia shilingi ngapi ya chakula kiasi cha kutaka mtoto wako ale chakula chenye ubora, na mtoto wako ashibe?
Na hicho chakula anachokula huko shuleni ni chakula gani? Je, matumbo yanalingana?
Ushauri wangu kwako;
1. Acha malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu.
2. Jitahidi kuhudhuria vikao vya wazazi na walimu shuleni (PTA)
3. Usipende kuwalea watoto wako kama mayai! Utawaharibu. Yaani kwa sababu mtoto anakula wali nyama kila siku nyumbani, basi unataka na shuleni ale chakula cha aina hiyo hiyo. Jambo hilo haliwezekani.
Na msimamizi ni kamati ya wazazi waliyoichagua wenyewe.
Walimu walishapigwa marufuku kupokea hela za wanafunzi.
Mpaka mchango unaitishwa huko shule za kata lazima wawe wamefanya kikao na kamati iombe kibali manispaa cha kuitisha mchango.
Huyu alipata duara.