Walimu wamegeuza pesa ya chakula mashuleni kuwa posho zao wanajilipa

Walimu wamegeuza pesa ya chakula mashuleni kuwa posho zao wanajilipa

Suala la kula shuleni ni la lazima hivyo huo mchango ni lazima pia. Na nina hakika mliupitisha wazazi wenyewe kwenye vikao vyenu, unless ndio nyie hamuhudhurii vikao.

Lakini pesa hizo zipo chini ya usimamizi wa wazazi wenyewe.
Hakuna mzazi aliyepitisha upuuzi kama huo,
Kinachofanyia ni kwamba...

Kunakuwa na kigenge cha wahuni walojivika cheo cha wawakilishi wa wazazi hapo shuleni.

Hawa ndy mwiba mkubwa sn kwa wazazi ,
Hawa ndy wanaotumika kufanya maamuzi mbali mbali kwa kisingizio kwamba wazazi wameridhia.

Kumbe sio kwl.

Na linapotokea suala la vikao ukileta hoja za kupinga Jambo hilo ,
Utashambuliwa na genge la hao wanaojiita wawakilishi wa wazazi ili mradi hoja yao ya ufisadi itimie.

Hivi kulikuwa na ulazima gani ulazimishe mtoto alipe 20000 kwa mwezi wakati akitoka shule Saa 9 anakwenda Kula lunch nyumbani kwao?

Kwann waweke lazima?

Halafu kibaya Zaidi chakula ni kibovu Sana.
 
Hakuna mzazi aliyepitisha upuuzi kama huo,
Kinachofanyia ni kwamba...

Kunakuwa na kigenge cha wahuni walojivika cheo cha wawakilishi wa wazazi hapo shuleni.

Hawa ndy mwiba mkubwa sn kwa wazazi ,
Hawa ndy wanaotumika kufanya maamuzi mbali mbali kwa kisingizio kwamba wazazi wameridhia.

Kumbe sio kwl.

Na linapotokea suala la vikao ukileta hoja za kupinga Jambo hilo ,
Utashambuliwa na genge la hao wanaojiita wawakilishi wa wazazi ili mradi hoja yao ya ufisadi itimie.

Hivi kulikuwa na ulazima gani ulazimishe mtoto alipe 20000 kwa mwezi wakati akitoka shule Saa 9 anakwenda Kula lunch nyumbani kwao?

Kwann waweke lazima?

Halafu kibaya Zaidi chakula ni kibovu Sana.
Waelezeni serikali waliolazimisha hilo maana hata walimu hawalitaki. Lina lawama za ajabu ajabu na kuongezeana kazi kusiko kwa lazima.

Ila mkuu kwa elfu 20 kwa mwezi ulitegemea hapo mtoto ale nini cha maana? Maana hapo kwa wastani anakula shilingi 800 kwa siku. Hapo kuna kulipa wapishi pia na kuni🤣🤣
 
Nasikia mnalipa shilingi ‐----700/= Mia saba tu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Acha chuki punguza roho ya kimasikini. F@@L
serikali itoe ruzuku ili watoto wote wapate chakula shuleni kuliko ilivyosasa, wewe umelipa pita huku na wewe hujalipa pita kule. Hiki kitendo cha kubagua watoto wakati wa msosi kinajenga roho ya ubinafsi na kinakwenda kinyume na malengo ya jumla ya kupeleka mtoto shule.
 
WALIMU WANAIIBA MAHARAGE, WANAIIBA MKAA NA UNGA WA SHULE.


KUNA SHULE ANASOMA MWANANGU WA KIUME ANANIAMBIAGA KUWA WALIMU NA FAMILIA ZAO WANAPANGA FOLENI KULA CHAKULA CHA SHULE


WALIMU NI MASKINI SANA
Masikini wa kwanza ni wewe unayesomesha mtoto shule ya kimasikini kiande wewe.
 
Kero, Waziri wa Elimu liangalie hili hali imezidi kuumiza wazazi.
Chakula chenyewe mtoto ashibi na usipompa mtoto pesa simu nyingi za walimu.
Chakula hakina ubora.
Elimu bure imegeuzwa elimu mchaka mchaka.
TAFUTA HELA WEE FALA HAYA MAMBO YA KULALAMIKA LALAMIKA

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom