Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bichwa kubwa akili kisoda mada inasema michango na Magufuli alifuta michango,ukiolewa utapunguza ujingaAcha ujinga huyu jamaa ndo alio haribu mfumo na elimu yenyewe tutamkimbuka kwa mabaya yake
Endeleeni kuchanga mimi wanangu hawasomi huko mtajijuaHuyo na wenzie wanaonesha walivyorukwa akili.Watu wanajadili mengine kabisa halafu wao humleta mtu wao bila hata sababu za kuhusiana.
Sijajua wewe upo kiubishani,kama ndivyo Mimi sipo huko hapa hatufukui makaburi.Mwenda zake kafanya yake Kenda, sasa tupo nyakati tofauti, na ni awamu tofauti.Kwa swali lako,umejiandaa kuupokea ukweli au kubishana tu?
Hapa tunazungumzia shule za serikali sio, Sant marry au nyinginezo, ni za akiba Sisi si za akina waoUkitaka elimu ya shilingi 100 ipo, ukitaka elimu ya buku ipo, ukitaia elimu ya buku 10 ipo, ukitaka elimu ya laki Moja ipo , ukitaka elimu ya m1 ipo , ukitake elimu m10 ipo na ukitaka elimu m100 ipo.
Uchaguzi ni wako
Inaelekea nawe ni mwalimu una nifaika.Kwani sasa hatulipi katika nje ya boksi?Kama ya kulipia ni nafuu, kwanini unampeleka shule ya bure? Si umpeleke ya kulipia ambayo unadai ni nafuu?
Umekurupuka sana kujibuMpeleke mwanao shule za Binafsi zipo nyingi tu, unataka waalimu wamnunulie Limu mwanao? Watoe copy Kwa hela zao? We mwenyewe unajua hali ya shule zilivyo............ unakuja kuwasimanga waalimu huku wakati wanapambania watoto wenu Kwa plan B.......wakiamua kuacha mtoto wako hatajua hata kusoma.
NB: Ningekuwa Mwalimu nisingehangaika na toto la mtu hasa hizi shule za Umma,mnawalaumu wakati anafundisha darasa halina hata miundombinu bora na Lina wanafunzi 150
Kaanzishe utatupataUkitaka elimu ya shilingi 100 ipo, ukitaka elimu ya buku ipo, ukitaia elimu ya buku 10 ipo, ukitaka elimu ya laki Moja ipo , ukitaka elimu ya m1 ipo , ukitake elimu m10 ipo na ukitaka elimu m100 ipo.
Uchaguzi ni wako
Unafikiri michango yenyewe ni pesa nyingi ni fikira za ujamaa ndo zinazo wasumbua, na michango yenyewe husaidia watoto lakini wana lalamika unadhani wana lipa laki hawajazoea kusomesha.Mleta mada hujaweka wazi haswa ni vitu gani mnalipia ambavyo wewe unadhani havina sababu ya kulipiwa?
Orodhesha hapa ili wenye dhamana wajue, weka total ya gharama zote ili wananchi waone na kufanya hitimisho.
Kuna shule jirani hapa Kila mwezi unadaiwa buku ya kuingia chooni...Cha ajabu choo kimejengwa na wafadhili kutoka ujerumani.....wanawafool wazaz kuwa ni Hela ya usafi...sasa unajiuliza hivi wanafunz siku hiz hawafanyi usafi kweny mazingira Yao ikiwemo choo?Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?. Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.
Kwani wewe unamjua ni vitu gani ambavyo mzazi anatakiwa kulipia Kwa mwalimu kila siku au wiki?Mleta mada hujaweka wazi haswa ni vitu gani mnalipia ambavyo wewe unadhani havina sababu ya kulipiwa?
Orodhesha hapa ili wenye dhamana wajue, weka total ya gharama zote ili wananchi waone na kufanya hitimisho.
aache kwani kuna mtu kasema atoe hela zake, aache kwanza sasa kutakuwa hakuna mitihani mpaka kidato cha nneMpeleke mwanao shule za Binafsi zipo nyingi tu, unataka waalimu wamnunulie Limu mwanao? Watoe copy Kwa hela zao? We mwenyewe unajua hali ya shule zilivyo............ unakuja kuwasimanga waalimu huku wakati wanapambania watoto wenu Kwa plan B.......wakiamua kuacha mtoto wako hatajua hata kusoma.
NB: Ningekuwa Mwalimu nisingehangaika na toto la mtu hasa hizi shule za Umma,mnawalaumu wakati anafundisha darasa halina hata miundombinu bora na Lina wanafunzi 150
Kama polisi na vituo vya polisi.Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?. Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.
AsanteUmekurupuka sana kujibu
Kila mwezi shule zinapokea hela selikal kuu kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kufundishia nankujifunza (shajala)
Zile capitation ndo kazi yake kununua rim na poa wanapewa fedha za miradi kama ujenzi wa madarasa nk
Kila mwezi
Zinafanya nini?
Kipato akilingani, wewe hata ukiweza fungua shule ndani ya ndege fungua zote ni anasa tu elimu ile ile, bora kichwa kiwe timamu.Kuna wazazi wapo radhi kulipa 3M+ kwa ajili ya Elimu lakini wewe kuchangia pesa ndogo (kiduchu) ya masomo ya ziada na mambo mengine unafungua hadi thread.
Kama unaona Elimu ni ghali basi jaribu ujinga inawezekana usiwe ghali