Tetesi: Walimu wamegeuza Shule za Serikali kuwa Vitega Uchumi vyao

Tetesi: Walimu wamegeuza Shule za Serikali kuwa Vitega Uchumi vyao

Wewe tukupe shule ya umma uendeshe wiki moja tu utatamani ukimbie nchi shule inamambo mengi mdah mwingine ata ako ka mshahara ka feisal inabidi ukatumie huko hili mambo yaende jamani ualimu unachangamoto sana nchi yetu
Hujui kama kuna shule wazazi tunawalipa poso walimu wa kujitolea kitu ambacho sidhani kama serikali yenyewe inajua, hili ni jukumu la Serikali waanze na kule Diwani aliko shikwa akila rushwa Kwa pesa za takokuru
 
Mleta mada hujaweka wazi haswa ni vitu gani mnalipia ambavyo wewe unadhani havina sababu ya kulipiwa?

Orodhesha hapa ili wenye dhamana wajue, weka total ya gharama zote ili wananchi waone na kufanya hitimisho.
Mleta mada hebu tupe mchanganuo Gari Moshi
 
Kipato Chao hakikidhi mahitajii na muda wakufanyaa mambo mengine njee ya shulee pia imekuwa ngumu kwao ,hvyo wameonaa Bora wale huko huko wanakofundisha...
Waombe rasmi tuition maana sasa tunanyonywa sana, kila somo, kila wiki, kila siku tena ni lazima hapa tu ndipo wanapo kosea, waondoe ulazima na kuchapa hovyo watoto maana hawana hatia.
 
Hujui kama kuna shule wazazi tunawalipa poso walimu wa kujitolea kitu ambacho sidhani kama serikali yenyewe inajua, hili ni jukumu la Serikali waanze na kule Diwani aliko shikwa akila rushwa Kwa pesa za takokuru
Sasa hapa kosa la mwalimu au serikali. Kwahiyo unataka wanafunzi wapate zero kwenye masomo yao kisa shule aina walimu wa kutosha wakati mtaani wapo wengi ni kitendo tu cha kuwapa posho kidogo wasaidie. Akuna mwalimu atakayekubali eti shule itoe mazero kisa hicho utakuja jibu nini kwa serikali ety walimu tupo wachache tumejaribu kuwashilikisha wazazi wachangie pesa tutafute walimu wa kujitolea wamekataa autoeleweka .
Ndugu hii tasnia ina mabosi wanagubu sana ninyi wazazi akuna namna tunawaomba mchangie tu tuinue elimu yetu
 
Hujui kama kuna shule wazazi tunawalipa poso walimu wa kujitolea kitu ambacho sidhani kama serikali yenyewe inajua, hili ni jukumu la Serikali waanze na kule Diwani aliko shikwa akila rushwa Kwa pesa za takokuru
Sasa hapa kosa la mwalimu au serikali. Kwahiyo unataka wanafunzi wapate zero kwenye masomo yao kisa shule aina walimu wa kutosha wakati mtaani wapo wengi ni kitendo tu cha kuwapa posho kidogo wasaidie. Akuna mwalimu atakayekubali eti shule itoe mazero kisa hicho utakuja jibu nini kwa serikali ety walimu tupo wachache tumejaribu kuwashilikisha wazazi wachangie pesa tutafute walimu wa kujitolea wamekataa autoeleweka .
Ndugu hii tasnia ina mabosi wanagubu sana ninyi wazazi akuna namna tunawaomba mchangie tu tuinue elimu yetu
 
Kipato Chao hakikidhi mahitajii na muda wakufanyaa mambo mengine njee ya shulee pia imekuwa ngumu kwao ,hvyo wameonaa Bora wale huko huko wanakofundisha...
Waombe rasmi tuition maana sasa tunanyonywa sana, kila somo, kila wiki, kila siku tena ni lazima hapa tu ndipo wanapo kosea, waondoe ulazima na kuchapa hovyo watoto maana hawana hatia.
Hela unazozisemea ukizikusanya kwa Mwezi zinaweza kufika 20,000?

Ungejua tunaosomesha Watoto private schools tunalipa kiasi gani hata usingejali kuhusu hizo 500 mia tano mnazochangishwa.

Waacheni Walimu wapate Morale ya kufundisha, mnataka hata baada ya kazi kubwa ya kuwafundishia watoto wenu wakose hata hela ya Bando ya Kuingia JF?
Karipe wewe, Sisi uwezo wetu kula dagaa hatutaki stress
 
Umekurupuka sana kujibu

Kila mwezi shule zinapokea hela selikal kuu kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kufundishia nankujifunza (shajala)....
Zinapokea sh ngapi na hizo hela zinatosheleza? Shida yako hujui unachokililia,shule ziko hoi........ mpeleke mwanao private kama unataka ale mpaka biriani maana ni hela yako tu, ila Kwa shule za Umma kuleta hizi hoja mfu ni kutojua kinachoendelea Field
 
Karipe wewe, Sisi uwezo wetu kula dagaa hatutaki stress
Muda wenyewe wa Mwl kuweza kumaliza syllabus hautoshi inalazimu atenge muda mwingine wakati wa Weekends kuweza kuwafundisha Vijana wetu.

Hivyo sio vibaya mkiambiwa kuchangia hizo mia 5 kumpa motisha huyo Mwl.

Bila kufanya hivyo Watoto wanaweza kufeli mitihani yao na lawama kurudishwa kwa Waalimu tena
 
aache kwani kuna mtu kasema atoe hela zake, aache kwanza sasa kutakuwa hakuna mitihani mpaka kidato cha nne
Mazingira ya shule za Umma, binafsi huwa nawaonea huruma sana waalimu,ni magumu mno,hizo mia 2 za copy zinawatoa roho wazazi, kupitia wazazi kama mnaona mnaibiwa changieni mnunue photocopy machine na printer shuleni.
 
Kwa vile mtoa mada amesema Kwa Sasa shule za umma ni ghali sana napendekeza ampeleke

mwanae private school
Ili kumpunguzia ukali wa maisha.
Yaani kayumba imshinde ataweza kupeleka mtoto shule zenye magari ya Yanga kweli 🤣
 
Waombe rasmi tuition maana sasa tunanyonywa sana, kila somo, kila wiki, kila siku tena ni lazima hapa tu ndipo wanapo kosea, waondoe ulazima na kuchapa hovyo watoto maana hawana hatia.
Tatizo wabongo mnapenda sana vitu vya bure. Kila kitu unataka upewe bure. Imagine unataka mtoto wako afaulu kwenye mitihahani yake, lakini ukiambiwa kuchangia 200 ya kuchangia huo mtihani, unakuja kuanzisha uzi wa kulalamika.

Nenda ukawaulize kwanza akina mwigulu, ada wanazolipa kwa mwaka, kwa watoto wao wanaosoma Feza schools, halafu uone ni kwa namna gani utaendelea kubakia hapo ulipo; wewe na uzao wako wote.
 
Zinapokea sh ngapi na hizo hela zinatosheleza? Shida yako hujui unachokililia,shule ziko hoi........ mpeleke mwanao private kama unataka ale mpaka biriani maana ni hela yako tu,ila Kwa shule za Umma kuleta hizi hoja mfu ni kutojua kinachoendelea Field
Ndugu nime somesha wanangu watatu, mmoja miaka 10, mwingine miaka 7 na mdogo 3, hizo shule za Private za 3M na zaidi maana nao uweka vitu vingi ambavyo waweza Kuta umelipa hadi 4M Kwa mwaka hivyo si mgeni katika hilo, ila penye haki haki itendeke, sijaona cha ajabu zaidi ya kupata ufaulu wa kupelekwa shule zilezile za Serikali.

Ila zipo Hadi shule za 40M ambazo Magu alishusha ada, maana wengine wao walikuwa wakiiba fedha za Serikali kusomesha watoto wao
 
Hela unazozisemea ukizikusanya kwa Mwezi zinaweza kufika 20,000?

Ungejua tunaosomesha Watoto private schools tunalipa kiasi gani hata usingejali kuhusu hizo 500 mia tano mnazochangishwa.

Waacheni Walimu wapate Morale ya kufundisha, mnataka hata baada ya kazi kubwa ya kuwafundishia watoto wenu wakose hata hela ya Bando ya Kuingia JF?
Kila mtu kazi uomba yeye mwenyewe, ukiona unakwazika una achia ngazi unahamia Airtel
 
Back
Top Bottom