kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
CCM ndio wanao haribu elimu hasa Kwa walimu WA shule za msingi na sekondari kila siku wanaongopewa maslaji Yao wewe unataka wafanye nini!?CCM ni majangili ya nchiNimeliandika mara zote hili. Kero kabisa. hasa hawa walimu wa shule za msingi.
Pesa za serikali hazitoshiHabari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu.Katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na pesa kila siku ambazo WALIMU uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu,je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?. Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote Toka Kwa wenye dhamana juu ya sualq hili, hii inaonyesha wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa
Nawakilisha.
Huwa wanawadai Hela Kwa ajili ya Nini? Huwa wanasema mtoto aende na Hela halafu wanazifanyia Nini?Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?
Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.
Ukiona mtu anamuonea wivu mwalimu napata shida kumuelewaAcha maticha waweze kuishi hali zao ni mbaya, mishahara midogo kwa hiyo wigo wao ni wanafunzi hao tu.
Shule huwa inapokea shilingi ngapi Kila mwezi?Umekurupuka sana kujibu
Kila mwezi shule zinapokea hela selikal kuu kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kufundishia nankujifunza (shajala)
Zile capitation ndo kazi yake kununua rim na poa wanapewa fedha za miradi kama ujenzi wa madarasa nk
Kila mwezi
Zinafanya nini?
Hakuna elimu bureHabari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?
Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.
Mleta hoja ana kitu cha msingi naomba asikilizwe.Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?
Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.
Unajua serikali inapeleka shilingi ngapi shuleni kila mwezi?Hapana umekosea , hoja yake ni nzuri Sana na tunapaswa kui uliza serikali kwanini imekuwa hivi, hiyo michango ni halali ili Hali serikali Ina gharamia . Wazazi wengi Ina waghalimu hii
Wanafanya remedial bure asubuhi na jioni ,hapa katani kwetu wanafanya mock na wanaenda kusahihisha bure,mitihani yote eti wanalipa elfu tano tena kwa mbinde,kuna watu wana moyo mi sifanyi kazi hiyoMpeleke mwanao shule za Binafsi zipo nyingi tu, unataka waalimu wamnunulie Limu mwanao? Watoe copy Kwa hela zao? We mwenyewe unajua hali ya shule zilivyo. Unakuja kuwasimanga waalimu huku wakati wanapambania watoto wenu Kwa plan B. Wakiamua kuacha mtoto wako hatajua hata kusoma.
NB: Ningekuwa Mwalimu nisingehangaika na toto la mtu hasa hizi shule za Umma,mnawalaumu wakati anafundisha darasa halina hata miundombinu bora na Lina wanafunzi 150
Nani kakudanganya, huko nako zipo field extra time n.k zote hizo hulipiwa, nimesonesha huko watoto watatu, mmoja kasoma huko miaka 7, mwingine miaka 10, na wamwishoni miaka 3, katika hizo shule za 3M + sababu nako zipo program ambazo ni nje ya ada, acha kujitia ujinga.Mimi nimejibu hoja yaje kama alivyoileta, nina sababu ya kumuuliza niliyomuuliza.
Mantiki yangu ni kwamba, hizo shule za bure, ubure wake unasababisha maslahi mabovu mno kwa walimu, mwalimu take home ya 50k ataishi vipi? Sasa hao walimu hawawezi kukubali kufa njaa huku wanajiona, lazima watape tape kama mfa maji, sasa badala ya kuendelea kuwarushia kamba kama hizo za michango ili wasife, nyie mnataka serikali izidi kuwazamisha kwenye maji.
kama hizo shule michango ni mingi, mpeleke shule ya kulipia, huko hakuna michango.
Kama una pesa nenda vituo vya watoto yatima jichukulie watoto kadhaa uwasomeshe, hivi ndivyo wafanyavyo wenye pesa.Wanafanya remedial bure asubuhi na jioni ,hapa katani kwetu wanafanya mock na wanaenda kusahihisha bure,mitihani yote eti wanalipa elfu tano tena kwa mbinde,kuna watu wana moyo mi sifanyi kazi hiyo
Sasa si amesema kwamba huko pa kulipia ni nafuu? Sasa kwanini anaacha nafuu anaenda kwenye gharama?Nani kakudanganya, huko nako zipo field extra time n.k zote hizo hulipiwa, nimesonesha huko watoto watatu, mmoja kasoma huko miaka 7, mwingine miaka 10, na wamwishoni miaka 3, katika hizo shule za 3M + sababu nako zipo program ambazo ni nje ya ada, acha kujitia ujinga.
Zingatia haya yako ya mwisho.Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?
Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.
Sasa,si umpeleke huyo Mwanao shule za private.Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?
Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.
Sasa ulitaka waishije mkuu?Nimeliandika mara zote hili. Kero kabisa. hasa hawa walimu wa shule za msingi.
Mbona comment haiendani na nilichoandika?Kama una pesa nenda vituo vya watoto yatima jichukulie watoto kadhaa uwasomeshe, hivi ndivyo wafanyavyo wenye pesa.
Kuna huyu Mkuu wa Oysterbay Primary ni noma kwa mlungulaHabari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?
Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.
Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.
Nawakilisha.