Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
wewe ni mpumbavuYaani wewe ni wa ajabu kuliko. ATC mwanza peke yake inasafirisha watu zaidi ya mia 800 kwa siku. Bado Mbeya' Kilimanjaro Dodoma na Kigoma. Ni zaidi ya watu 2000 kwa siku. Unawezaje kusema sio kipaumbele kama siyo ujinga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo hamna hata mtoto mmoja wa mwanasiasaToo sad.
Aiseeeushamba mzigo,huyu jamaa anafanya wasukuma waonekane watu wa ajabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena saaaana
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu kwani kabla dreamliner hazijanunuliwa hali ilikuwaje?Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunajinufaishaje kisiasa! Kula ndizi ukalale!Siasa za Tanzania ni hovyo sana! Wanaokosoa JPM kununua Ndege, wanaokosoa kujinufaisha Kisiasa. Vile vile JPM na CCM amenunua Ndege ni jambo jema sana, lakini wanataka kujinufaisha Kisiasa.
kwa upande wako upo sawa. Ila kwa wenye akili wanachukulia hiyo ni changamoto nyingine. Kwa viakili vyangu vitatu na nusu, ningependekeza kila kijiji kijenge madarasa yake kwa nguvu zao wenyewe kama miaka ya zamani 1960's - 1980's. Kama wanaume wapo 500 kwenye kijiji na wanawake labda 700, wajipange nusu kwa nusu ili kuwe na shift mbili; asubuhi wanaume 250 na wanawake 350 washirikiane kujenga na jion hivohivo. Pesa nyingine za kujengea mnatoa wenyewe wananchi kwa manufaa yenu wenyewe...kwa bidii hii wiki moja tu madarasa kibao. Kila kitu ni mipango! Kila kitu kikiachiwa serikali spidi ya mabadiliko itabakia ni ile ile 60km/h, na ikiongezeka sana 65km/h. Ila umoja ni 120 - 180km/h. Tuipende nchi yetu!!!Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.
Mkuu zinakuzaje uchumu? Tangu zimeanza shirika limepata faida kiasi gani na hasara kiasi gani?
Hata jana kawaambia mablozi kwamba amesha leta tano bado mbili..Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.
Hili jibu la Nyangomboli linaweza kutoka kwenye robot tu na siyo kichwa chenye ubongo. Wewe ukiona Dream liner tu unaona uchumi unakuwa. Kwa taarifa yako hasara ya ATCL mwaka 2017/ 18 ni Tshs 20 Bilioni na 2018/19 ni Tshs 11 Bilioni.Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hela ya kukodi Uber huna, unakaa kusifia madegeSiasa za Tanzania ni hovyo sana! Wanaokosoa JPM kununua Ndege, wanaokosoa kujinufaisha Kisiasa. Vile vile JPM na CCM amenunua Ndege ni jambo jema sana, lakini wanataka kujinufaisha Kisiasa.
The wings of Kilimanjaro...Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app