Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Acheni wapitie hatua zote za Grieving. Sasa hivi bado wapo kwenye hatua ya denial...polepole tu mpaka watafikia kwenye hatua ya acceptance japo inavyoonekana itachukua muda. Wapeni muda.Mkuu hiyo ndiyo faraja yao,sasa hivi hawana faraja tena ila wanasingizia Uchawi!
Timu kubwa ndizo zimeifunga Yanga,timu ndogo zote zimepigwa Kono la nyani a.k.a Khamsa!Hebu huko na ww kwa kitimu gani hiko kinatepeta kila kikikutana na timu ndogo...hebu msitutishe....Vyura nyie...
Raundi ya Pili tutawakung"uta kipigo kingine kitakatifu ili mumfukuze MTU OVYO a.k.a MO
Madunduka nyie!
Kubalini mmezidiwa na timu bora hizo propaganda unazoleta hazifuti matokeo yaliyopita MkuuJamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na Asili ya Waliotuadhibu na Mwingine akiwa ni Mwenzetu ila ni mwepesi mno Kuhongeka na mpenda 10% kwenye kila Dili.
Sasa kuonyesha kuwa Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka katika Soka nchini Tanzania walidhamiria kumbe hawakuingia tu kwa Wachezaji na Viongozi bali Safari hii walihamia kwa Walinzi ( Makomandoo ) na Wapishi wa Timu / Klabu.
Kumbe wakati Timu iko Uwanjani inapiga Mbungi ( Kipindi cha Kwanza ) walihesabiwa Walinzi waliokuwepo zamu Uwanjani na Kupigwa Hela ya maana na Kukubali ipulizwe Dawa ya Kulegeza Mwili ( wana Michezo tunaiita 4-4-2 ) Vyumbani huku Mganga wa Kike HATARI Mwenye Ziwa Moja aishie Tegeta akiwa na Watu wa Timu iliyotoa Adhabu ( huku akiwa Kavalia kama Mwanaume ) wakaingia na Kumwaga Dawa za Ndumba ( Ulozi ) Koridoni na Timu ilipotoka Half Time ikauvagaa Mtego.
Kwanini GENTAMYCINE nimewavulia Kofia hawa Jamaa ( Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka 2023 Jumapili iliyomalizika ) kumbe kule kule Kambini tayari Walishapenyeza Watu wao ambao nao walimalizana na Mpishi wa Timu huku Wakilindwa na Kiongozi Mmoja na Wajumbe Wawili ili Chakula ambacho Wachezaji walikula Mchana ule Kiwekwe Dawa ambayo ingewaathiri Wachezaji taratibu ( hasa Kiufanisi ) ndani ya Masaa Manne au Matano ijayo ikichanganyika vizuri Mwilini.
Lile Swali Kubwa ambalo GENTAMYCINE nilikuwa nalo la kwanini Wachezaji wa Team WAADHIBIWA waliporejea Kipindi cha Pili walikuwa Wazito Kukimbia, hawana Nguvu na kama vile Wote Wamechanganyikiwa ila kwa sasa nimeshapata Jibu.
Naionea sana Huruma Team WAADHIBIWA Jumapili kwani WATOA ADHABU Jumapili WAMESHAJIPENYEZA sehemu zote Muhimu na Nyeti ndani yao na wataendelea KUWAADHIBU na kuwashinda KIMAFANIKIO kila mwaka mpaka AKILI ziwaamke na ziwakae sawa.
ANGALIZO
Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.
Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100, huyu jamaa anatumika na viongozi wa Simba kueneza propaganda humu JF.Anatumika.
Jf sio ile mkuu
Hapo ndipo utawajua watu wanaoamini ushirikina Mkuu!Soka la bongo haliwezi kuendelea kama tutakuwa watu wa mfano wa gentamine na imani zetu za ushirikina tu
Ni sahihi na sio huyu tu ila mashabiki wengi wa Simba kama mapunguani. Ni kweli Rage alikuwa sahihi. Man U mwenyewe kapigwa 7, Liver naye kapigwa 7. Sasa nyie kupigwa tano eti wamehongwa. Wamehongwa na nani? Msiturudishe nyuma, tusongeni mbele.Soka la bongo haliwezi kuendelea kama tutakuwa watu wa mfano wa gentamine na imani zetu za ushirikina tu
Ok,maana kama hata wewe umeiamini basi ,iko sawaNimeshakuwa mkubwa sasa ujue .
Tusoma alibadri wote waliotuhujumu liwakute jamboHebu huko na ww kwa kitimu gani hiko kinatepeta kila kikikutana na timu ndogo...hebu msitutishe....Vyura nyie...
Uko vizuri kwenye fiction stories, andika kitabu tutanunua Mkuu.Jamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na Asili ya Waliotuadhibu na Mwingine akiwa ni Mwenzetu ila ni mwepesi mno Kuhongeka na mpenda 10% kwenye kila Dili.
Sasa kuonyesha kuwa Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka katika Soka nchini Tanzania walidhamiria kumbe hawakuingia tu kwa Wachezaji na Viongozi bali Safari hii walihamia kwa Walinzi ( Makomandoo ) na Wapishi wa Timu / Klabu.
Kumbe wakati Timu iko Uwanjani inapiga Mbungi ( Kipindi cha Kwanza ) walihesabiwa Walinzi waliokuwepo zamu Uwanjani na Kupigwa Hela ya maana na Kukubali ipulizwe Dawa ya Kulegeza Mwili ( wana Michezo tunaiita 4-4-2 ) Vyumbani huku Mganga wa Kike HATARI Mwenye Ziwa Moja aishie Tegeta akiwa na Watu wa Timu iliyotoa Adhabu ( huku akiwa Kavalia kama Mwanaume ) wakaingia na Kumwaga Dawa za Ndumba ( Ulozi ) Koridoni na Timu ilipotoka Half Time ikauvagaa Mtego.
Kwanini GENTAMYCINE nimewavulia Kofia hawa Jamaa ( Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka 2023 Jumapili iliyomalizika ) kumbe kule kule Kambini tayari Walishapenyeza Watu wao ambao nao walimalizana na Mpishi wa Timu huku Wakilindwa na Kiongozi Mmoja na Wajumbe Wawili ili Chakula ambacho Wachezaji walikula Mchana ule Kiwekwe Dawa ambayo ingewaathiri Wachezaji taratibu ( hasa Kiufanisi ) ndani ya Masaa Manne au Matano ijayo ikichanganyika vizuri Mwilini.
Lile Swali Kubwa ambalo GENTAMYCINE nilikuwa nalo la kwanini Wachezaji wa Team WAADHIBIWA waliporejea Kipindi cha Pili walikuwa Wazito Kukimbia, hawana Nguvu na kama vile Wote Wamechanganyikiwa ila kwa sasa nimeshapata Jibu.
Naionea sana Huruma Team WAADHIBIWA Jumapili kwani WATOA ADHABU Jumapili WAMESHAJIPENYEZA sehemu zote Muhimu na Nyeti ndani yao na wataendelea KUWAADHIBU na kuwashinda KIMAFANIKIO kila mwaka mpaka AKILI ziwaamke na ziwakae sawa.
ANGALIZO
Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.
Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Hivi Mshana Jr naye ni Simba?Soka la bongo haliwezi kuendelea kama tutakuwa watu wa mfano wa gentamine na imani zetu za ushirikina tu
Hapana mzee. Inabidi ahamie Bagamoyo au Sumbawanga kabisa kwa sababu huko ndiko waliko "waganga wa kienyeji" kama yeye.Uko vizuri kwenye fiction stories, andika kitabu tutanunua Mkuu.
Sasa kama maji ndo yamesababisha kufungwa kwenu, haya niambie;Kubalini yale maji mlomwaga ndo kila kitu... π π π πΈ πΈ
Kama nyie mlivyopigwa khamsa na sixha...na foxha kama zote....hamna jipyaTimu kubwa ndizo zimeifunga Yanga,timu ndogo zote zimepigwa Kono la nyani a.k.a Khamsa!
Na ww hebu tupishe huko...unaanza kuboa sasa...Simba mbovu labda ya kwako..kwahyo ubovu ni kufungwa na Yanga tuu??.nilikua naona kuna muda unaandika point ila naona unaanza kupuyanga...kila kocha ana falsafa zake...tuone huyo atakaekuja atawatumiaje wachezaji..Ila akili nyingine jamani Hapana Its too much...
Kwanini tusikubali yanga Ni bora sana imefunga goli nyingi
Kwanini tusikubali simba ni Mbovu.
Nadhani hii ndio heshima ya mPira.
Otherwide utakuwa unatumika.
Huwezi ukawa na wastaaafu kama.
Saido mstaafu.
Boko mstaafu.
Chama mstaafu.
Miquissone mstaafu
Kapombe.
Shabalala mstaafu
Ukaifunga yanga yenye vijana kama.
Max,azizi,job,yao,nondo,baka,mzinze
AKILI NI MALI