Walinzi (Makomandoo) na Wapishi wa Simba SC mliokuwa zamu Derby ya Novemba 5, 2023 Albadiri itatulipia machungu yetu kwa usaliti wenu

Walinzi (Makomandoo) na Wapishi wa Simba SC mliokuwa zamu Derby ya Novemba 5, 2023 Albadiri itatulipia machungu yetu kwa usaliti wenu

Mkuu hiyo ndiyo faraja yao,sasa hivi hawana faraja tena ila wanasingizia Uchawi!
Acheni wapitie hatua zote za Grieving. Sasa hivi bado wapo kwenye hatua ya denial...polepole tu mpaka watafikia kwenye hatua ya acceptance japo inavyoonekana itachukua muda. Wapeni muda.

Kumbe kupigwa Khamsa ni kasheshe aisee. Timu nzima imepotezana kila mtu ana lake. Sad!
 
Raundi ya Pili tutawakung"uta kipigo kingine kitakatifu ili mumfukuze MTU OVYO a.k.a MO

Madunduka nyie!
IMG-20231109-WA0005.jpg
 
Jamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na Asili ya Waliotuadhibu na Mwingine akiwa ni Mwenzetu ila ni mwepesi mno Kuhongeka na mpenda 10% kwenye kila Dili.

Sasa kuonyesha kuwa Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka katika Soka nchini Tanzania walidhamiria kumbe hawakuingia tu kwa Wachezaji na Viongozi bali Safari hii walihamia kwa Walinzi ( Makomandoo ) na Wapishi wa Timu / Klabu.

Kumbe wakati Timu iko Uwanjani inapiga Mbungi ( Kipindi cha Kwanza ) walihesabiwa Walinzi waliokuwepo zamu Uwanjani na Kupigwa Hela ya maana na Kukubali ipulizwe Dawa ya Kulegeza Mwili ( wana Michezo tunaiita 4-4-2 ) Vyumbani huku Mganga wa Kike HATARI Mwenye Ziwa Moja aishie Tegeta akiwa na Watu wa Timu iliyotoa Adhabu ( huku akiwa Kavalia kama Mwanaume ) wakaingia na Kumwaga Dawa za Ndumba ( Ulozi ) Koridoni na Timu ilipotoka Half Time ikauvagaa Mtego.

Kwanini GENTAMYCINE nimewavulia Kofia hawa Jamaa ( Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka 2023 Jumapili iliyomalizika ) kumbe kule kule Kambini tayari Walishapenyeza Watu wao ambao nao walimalizana na Mpishi wa Timu huku Wakilindwa na Kiongozi Mmoja na Wajumbe Wawili ili Chakula ambacho Wachezaji walikula Mchana ule Kiwekwe Dawa ambayo ingewaathiri Wachezaji taratibu ( hasa Kiufanisi ) ndani ya Masaa Manne au Matano ijayo ikichanganyika vizuri Mwilini.

Lile Swali Kubwa ambalo GENTAMYCINE nilikuwa nalo la kwanini Wachezaji wa Team WAADHIBIWA waliporejea Kipindi cha Pili walikuwa Wazito Kukimbia, hawana Nguvu na kama vile Wote Wamechanganyikiwa ila kwa sasa nimeshapata Jibu.

Naionea sana Huruma Team WAADHIBIWA Jumapili kwani WATOA ADHABU Jumapili WAMESHAJIPENYEZA sehemu zote Muhimu na Nyeti ndani yao na wataendelea KUWAADHIBU na kuwashinda KIMAFANIKIO kila mwaka mpaka AKILI ziwaamke na ziwakae sawa.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Kubalini mmezidiwa na timu bora hizo propaganda unazoleta hazifuti matokeo yaliyopita Mkuu
 
Soka la bongo haliwezi kuendelea kama tutakuwa watu wa mfano wa gentamine na imani zetu za ushirikina tu
Hapo ndipo utawajua watu wanaoamini ushirikina Mkuu!
Hivi timu za Ulaya zinazogongwa mabao kibao, pia nazo huwa zimerogwa? au ni bongo tu🤣🤣🤣
 
Dah,utajiri nauona..mkuu nahitaji info kuhusu huyo mganga mwenye titi 1,nimepewa masharti na mganga burundi kua nikifanyiwa blowjob na demu mwenye titi 1 nakua mo a.k.a dangote a.k.a sm
 
Soka la bongo haliwezi kuendelea kama tutakuwa watu wa mfano wa gentamine na imani zetu za ushirikina tu
Ni sahihi na sio huyu tu ila mashabiki wengi wa Simba kama mapunguani. Ni kweli Rage alikuwa sahihi. Man U mwenyewe kapigwa 7, Liver naye kapigwa 7. Sasa nyie kupigwa tano eti wamehongwa. Wamehongwa na nani? Msiturudishe nyuma, tusongeni mbele.
 
Jamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na Asili ya Waliotuadhibu na Mwingine akiwa ni Mwenzetu ila ni mwepesi mno Kuhongeka na mpenda 10% kwenye kila Dili.

Sasa kuonyesha kuwa Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka katika Soka nchini Tanzania walidhamiria kumbe hawakuingia tu kwa Wachezaji na Viongozi bali Safari hii walihamia kwa Walinzi ( Makomandoo ) na Wapishi wa Timu / Klabu.

Kumbe wakati Timu iko Uwanjani inapiga Mbungi ( Kipindi cha Kwanza ) walihesabiwa Walinzi waliokuwepo zamu Uwanjani na Kupigwa Hela ya maana na Kukubali ipulizwe Dawa ya Kulegeza Mwili ( wana Michezo tunaiita 4-4-2 ) Vyumbani huku Mganga wa Kike HATARI Mwenye Ziwa Moja aishie Tegeta akiwa na Watu wa Timu iliyotoa Adhabu ( huku akiwa Kavalia kama Mwanaume ) wakaingia na Kumwaga Dawa za Ndumba ( Ulozi ) Koridoni na Timu ilipotoka Half Time ikauvagaa Mtego.

Kwanini GENTAMYCINE nimewavulia Kofia hawa Jamaa ( Watoa Adhabu Kali ya Kufungia mwaka 2023 Jumapili iliyomalizika ) kumbe kule kule Kambini tayari Walishapenyeza Watu wao ambao nao walimalizana na Mpishi wa Timu huku Wakilindwa na Kiongozi Mmoja na Wajumbe Wawili ili Chakula ambacho Wachezaji walikula Mchana ule Kiwekwe Dawa ambayo ingewaathiri Wachezaji taratibu ( hasa Kiufanisi ) ndani ya Masaa Manne au Matano ijayo ikichanganyika vizuri Mwilini.

Lile Swali Kubwa ambalo GENTAMYCINE nilikuwa nalo la kwanini Wachezaji wa Team WAADHIBIWA waliporejea Kipindi cha Pili walikuwa Wazito Kukimbia, hawana Nguvu na kama vile Wote Wamechanganyikiwa ila kwa sasa nimeshapata Jibu.

Naionea sana Huruma Team WAADHIBIWA Jumapili kwani WATOA ADHABU Jumapili WAMESHAJIPENYEZA sehemu zote Muhimu na Nyeti ndani yao na wataendelea KUWAADHIBU na kuwashinda KIMAFANIKIO kila mwaka mpaka AKILI ziwaamke na ziwakae sawa.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Uko vizuri kwenye fiction stories, andika kitabu tutanunua Mkuu.
 
Kubalini yale maji mlomwaga ndo kila kitu... 😆 😆 😆 🐸 🐸
Sasa kama maji ndo yamesababisha kufungwa kwenu, haya niambie;

1. Wachezaji waliosimamishwa baada ya Simba kufungwa na Yanga, imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?

2. Kocha mmemfungisha virago kisa kufungwa na Yanga, imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?

3. Kama maji ndo kila kitu, Mangungu anashinikizwa kujiuzulu kisa nini.?? Imekuwa hivyo kwa sababu gani na wakati maji ndo tatizo?

MSIPOKUBALI UKWELI KWAMBA MMEZIDIWA UBORA, HAMTAFANYA JUHUDI ZOZOTE ZA KUONGEZA UBORA, NA HIVYO KUPELEKEA KUBAKI MLIVYO.
 
Ila akili nyingine jamani Hapana Its too much...

Kwanini tusikubali yanga Ni bora sana imefunga goli nyingi

Kwanini tusikubali simba ni Mbovu.
Nadhani hii ndio heshima ya mPira.

Otherwide utakuwa unatumika.

Huwezi ukawa na wastaaafu kama.
Saido mstaafu.
Boko mstaafu.
Chama mstaafu.
Miquissone mstaafu
Kapombe.
Shabalala mstaafu

Ukaifunga yanga yenye vijana kama.
Max,azizi,job,yao,nondo,baka,mzinze

AKILI NI MALI
Na ww hebu tupishe huko...unaanza kuboa sasa...Simba mbovu labda ya kwako..kwahyo ubovu ni kufungwa na Yanga tuu??.nilikua naona kuna muda unaandika point ila naona unaanza kupuyanga...kila kocha ana falsafa zake...tuone huyo atakaekuja atawatumiaje wachezaji..
Kama umehama kuishabikia timu yetu ww sepa acha kubeza...
 
Back
Top Bottom