Walinzi wa Rais Samia wanajisahau, uko wapi usalama wa Rais hapo?

Walinzi wa Rais Samia wanajisahau, uko wapi usalama wa Rais hapo?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Picha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.

AEC8A5D7-AAF5-4291-8461-20B434826667.jpeg
 
Kwamba yeye hawezi kujizuia hapo mpk walinzi wawepo,!! Acha zako, labda umri ungekuwa umemtupa sana kama the late Mugabe
Angalia walinzi wameweka umakini sehemu gani?
Kwa mfano akajisikia vibaya kama ilivyotokea kwa Kikwete jukwaani au kwa Magufuli alipoona moshi kule Ruangwa nani angemdaka Mh.Samia?
Hujawai kujisikia kizunguzungu ghafla?
Walinzi wote hadi mpambe (Aide de camp) wametazama pembeni , hapa walinzi wa jinsia ya kike wamewaangusha wanawake wenzao.
 
Back
Top Bottom