Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Kila mtu pale anakazi yake,kuna wa karibu,kuna wa mbele,nyuma na kila upande. Na wengi ni secret.Kumbe bila shaka wewe unaona aliekaribu unahukumu. Ngoma nzito hiyo mzee jaribu uone.
Mara nyingi haya ni maneno ya kuaminishwa na mnayameza na kuyaishi Bila hata kutumia critical mind,Yan hamtak kufikiri zaidi ya pale mlipoaminishwa
 
Mtu Ana kitambi na umri umesogea bado una Imani nae kwamba yuko fiti?ama kwel Kuna watu mna imani
 
Kwa hiyo umeleta Mada bila utafiti? Kwani si ujaribu kukatisha mbele yao kihasarahasara kisha utuletee mrejesho!
Huo ni uvivu wa kufikiri,sio lazima Kila kitu ukijaribu,nikijaribu naweza kuprove point yangu kwamba hawapo fiti lakini mwisho wa siku hayaishii hapo nitakumbana na mkono wa sheria pia
 
Ulinzi wa raisi sio mchezo kama wengine wanavyochukulia hapa hao wanaoonekana ni sehemu tu, raisi anaweza kwenda sehemu watu wakajaa wewe ukachukulia wale wote waliojaa ni wa kuja tu kumbe nusu yao ni walinzi wa raisi.
Ni kwel lakini wale wanaomzunguka ndio muhimu zaid sababu ndio wanaweza kukutana na threat wakiwa watu wa mwisho kabisa
 
Wamasai tena wametoka wap Acha ubwege wewe jadili mada husika bac wapelekee mkewo kama unaona ngombe wanafaidi

Mkuu;
Mbona tena unatoka nje ya mada?? Siasema wapelekwe wamasai. Jina tu lisikutoe ufaham mkuu. Soma tu taratiib utauona mchango wangu hapo. Siazungumzia wamasai kuwa bora nimesema; Kama mtu anatafuta wakimbiaji wawe walinzi wa rais, basi Tz kabila bora lenye mbinu ni wamasai. Sijasema walinzi wawe wamasai mkuu tafadhali sana. Tena mke wangu katokapi humu jf??
 
bodyguards sifa yao kuu ni kukubali kuutumia mwili wao kama kinga dhidi ya wanayemlinda!!anatakiwa awe tayari kufa yeye badala ya anayemlinda!!mamlaka husika zimekubali hao unaowaona wana sifa hizo stahiki!!jukumu lao sio kukimbizana na mhalifu!Binafsi Tanzania hii naweza kuhofia mambo mengine yooooooote lakini sio mambo ya ulinzi na usalama!Hapo dunia inaweza kuja kujifunza kutoka kwetu.
 
Kwahyo unataka tuamini mtu mwenye kitambi na ambae umri wake umesogea kama hawa jamaa wetu ni wepes mno kuliko watu wasio na vitambi na wenye mazoezi?umeanza vizuri lakini umemaliza kienyeji sana Kwa mtazamo wako binafsi tu tena dhaifu ambao Haujazingatia data za kitaalam kama ulizotoa huko juu
 
Probably kitambi sio issue. Yule Comandoo wa JWTZ mmemsahau?!😀
Yule ni mtoa show tu kaka na mkufunzi,hatumwi kwenye majukumu ya Ana Kwa Ana ktk uwanja wa mapambano,umri wake umeenda na amezembea kujiweka fiti mpaka amefuga tumbo
 
Huo ni uvivu wa kufikiri,sio lazima Kila kitu ukijaribu,nikijaribu naweza kuprove point yangu kwamba hawapo fiti lakini mwisho wa siku hayaishii hapo nitakumbana na mkono wa sheria pia
Mimi mvivu wa kufikiri! Uko sahihi kwa uelewa wako na ndo maana umeleta wazo ambalo umeshalipangia jibu.

Kwamba wewe ni kapuku katika masuala ya ULINZI halafu unahoji uwezo wa watu waliozurura duniani kwa miaka yote ya maisha yao wakisomea masuala hayo halafu unaona wewe ni mwerevu wa kufikiri.

Kwamba mada yako imeelemea upande wa vurugu, eti asiye na kitambi ndiyo mlinzi mahiri wa mkulu kama kwamba ulinzi pekee wa Rais ni wa mapigano ya kimasai na wasonjo

Kwamba umetoa picha nyingi za mkulu ukionyesha unachodhani kwa uelewa wako wa kushabikia siasa ndo ulinzi wa mkulu bila kujua mazingira ya ulinzi wenyewe halafu unaona una uelevu wa kufikiri!

ASALALLEH!
 
Tatzo nitakuwa nimeijaribu na sheria pia
Sasa unataka kujua utamu wa asali bila kuonja wewe nenda chezea mzinga utawaona wenye mzinga (hapo sina wasiwasi hata akitembea kwa miguu toka dsm hadi tabora atakuwa salama kuliko unavyodhani)
 
Tunaishi Kwa mazoea na Imani ndani ya nchi hii,mara nyingi wadadisi wanaoenda mbali zaid ya Iman ya mazoea ndio hugundua mambo na kufichua uozo ktk mambo mengi,ulinzi ule unajumuisha mengi sio kujiwka kupigwa risasi tu
 
Uvivu wako wa kufikiri nimeugundua kutokana na Aina ya jibu ulilotoa ambalo halikuchangia chochote zaid ya kusema eti nikawajaribu,ina maana hukufikiri kwamba nikiwajaribu nitakuwa nimeijaribu na sheria pia?Kuna watu kwl wanachangia vizur Kwa kuweka data na uzoefu mbalimbali lakini wavivu wanaishia kusema kawajaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…