wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,293
- 3,945
Kwahyo hata wewe hayo unayojibu umejitia ujuaji pia?maana nawewe umechambua bodyguard Ana sifa zipi,kwahyo rais hawez kushambuliwa Kwa karibu?naona kama umelitazama hili suala Kwa fikra fupi mno mwisho ukajitia ujuaji zaidTatizo la wabongo wengi ni ujuaji,mtu kaangalia muvi mbili tatu anakuwa mchambuzi,bodyguard moja ya sifa zake kubwa ni shabaha,mtu wa kumuattack rais hakabiliwi na ngumi wala karate,hakuna huo muda wa kukunjana
Duh ni wakati gani kisheria unatakiwa upigwe Tanganyika jeki?Hiyo ilikuwa ndio kiboko yao basi ikabatizwa jina hilo lazima utembelee kucha. Ni jina tu halina uhusiano na muungano wala nchi jirani
Wakati mwingi huwa ni mkwara tu wa mandata unakuta mtu mpole kabisa ila njagu anataka kuonyesha ugangwe wake basi ndio hivyo tena lazima kucha zichukue nafasi ya nyayo.Duh ni wakati gani kisheria unatakiwa upigwe Tanganyika jeki?
Mana unakuta mtu kapigwa Tanganyika jeki lakini hasumbui
Wewe kama una shaka wajaribu jifanye mwehu utake kumdhuru rais ndo ulete mrejesho kama ukiwa hai lakiniKwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine
Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.
Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.
Huyu jamaa GENTAMYCINE kila mtu anamsifia mwenye haya mambo, yupo idarani TISS kumbe
Je kukataa kupigwa tanganyika jeki inaweza kutafsirika kua umekataa kutii sheria bila shuruti?Wakati mwingi huwa ni mkwara tu wa mandata unakuta mtu mpole kabisa ila njagu anataka kuonyesha ugangwe wake basi ndio hivyo tena lazima kucha zichukue nafasi ya nyayo.
Yaah virungu vya ugoko vilihusika sana miaka hiyo range rover haipaki benkiJe kukataa kupigwa tanganyika jeki inaweza kutafsirika kua umekataa kutii sheria bila shuruti?