Waliodanganywa na hayati Magufuli wazae watoto wengi ndio leo wanamlilia Rais Samia maisha ni magumu

Waliodanganywa na hayati Magufuli wazae watoto wengi ndio leo wanamlilia Rais Samia maisha ni magumu

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.

Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia

Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
 
Ni rahisi kulaumu ndio maana ni kimbilio la wengi kuliko kutoa suluhisho. Hiyo assumption uliyoiweka ingekuwa ni kweli bhasi ungekuja na data za ongezeko la watu toka kauli imetolewa hadi leo lakini unachofanya ni kutaka kumuangushia mzigo wa lawama kana kwamba aliitoa nchi kwenye developed hadi LDC' status

Naweza nisikubaliane na Magu sehemu nyingi lakini msimtwike mizigo zaidi ya anayostahili
 
Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.

Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia

Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
Mwacheni apumzike kwa amani mzee wa watu, kipenzi cha Watanzania tulio wengi kwani mmezidi kumsingizia mambo hata yasiyomuhusu, mambo ya uzazi ni ya M/Mungu ambapo kwenye vitabu vyake vitukufu ametuambia tuje tuzaliane, tutawanyike na tuijaze dunia full stop.
 
Mwacheni apumzike kwa amani mzee wa watu, kipenzi cha Watanzania tulio wengi kwani mmezidi kumsingizia mambo hata yasiyomuhusu, mambo ya uzazi ni ya M/Mungu ambapo kwenye vitabu vyake vitukufu ametuambia tuje tuzaliane, tutawanyike na tuijaze dunia full stop.
Zaa watoto hata 200 ila ukishindwa kuwalisha usiilaumu serikali
 
Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.

Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia

Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.


December hii nimeongeza twins wamefika 6

Bado watatu

Mwenye kujua vyakula gani vinaongeza chance ya kupata twins hata triplets anisaidie tafadhali

Tunazaa na kutunza vizuri kabisa
 
Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.

Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia

Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
Mathanzua anasemaje kuhusu hili la uzazi wa mpango na NWO ?
 
Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.

Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia

Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
Acha ujinga weweee..!! Aliyezaa na ambaye hana mtoto wote wananunua mchele kilo 1 kwa Tshs 3,000/-
 
December hii nimeongeza twins wamefika 6

Bado watatu

Mwenye kujua vyakula gani vinaongeza chance ya kupata twins hata triplets anisaidie tafadhali

Tunazaa na kutunza vizuri kabisa
Naona unataka kuwa incubator machine.
 
Back
Top Bottom