Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Wapinzani walikuwa wanatuchelewesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye kawawaisha kwenye.......
Yeye kawawaisha kwenye.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashujaa wa nyuma ya keyboard wakikosa cha kuandika wanakuja na nyuzi za kitoto kama hizi.Ni rahisi kulaumu ndio maana ni kimbilio la wengi kuliko kutoa suluhisho. Hiyo assumption uliyoiweka ingekuwa ni kweli bhasi ungekuja na data za ongezeko la watu toka kauli imetolewa hadi leo lakini unachofanya ni kutaka kumuangushia mzigo wa lawama kana kwamba aliitoa nchi kwenye developed hadi LDC' status
Naweza nisikubaliane na Magu sehemu nyingi lakini msimtwike mizigo zaidi ya anayostahili
Sasa wewe unajiona mjanja kisa umekuwa CHAWA? HahahhaaUkiwa laghai mwenye maneno matamu lazima utateka wengi sana kwa jamii yenye wajinga wengi kama Bongo,
Mwamposa alijaza uwanja wa taifa watu wanaamini miujiza yake
Sasa mimi chawa?😂😂Sasa wewe unajiona mjanja kisa umekuwa CHAWA? Hahahhaa
Hata maandiko yanasema kila jambo kwa kiasiShaka sio rais, na hapohapo chap dk Samia hakumkawiza akamwambie Kwa Hilo hapana na akawasisitiza wananchi wazae Kwa mpango.
InasikitishaMashujaa wa nyuma ya keyboard wakikosa cha kuandika wanakuja na nyuzi za kitoto kama hizi.
Hiyo sample umeipata wapi? Mbona kuna wengine hatujawahi kuongeza hata mtoto mmoja tangu Magu aingie madarakanj hadi leo lkn life liko tight? Hebu tusolve matatizo yaliyopo badala ya kumkalia vibarazani Magu na huyo mama yenu kumpa kila lililo bayaMagufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.
Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia
Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
Acha porojo, weka data za kuthibitisha uongo wako!Na misukule je? Maana nyie wafuasi wa mwendawazake hamna tofauti na misukule, ile ya mfalme zumaridi ina nafuu
Kama huweki takwimu utabaki kuwa mjinga tu.Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.
Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia
Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
Kawaida sana huku usukumaniNdan ya miakaa sabaa watt wanne???hii hata kiafyaa cdhan km wataalamu wanaruhusu mwanamke afanye hvyoo n hatariii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu badala ya kuzalisha mazao wakawa bizw kuzaa watoto,mtoa mada yuko sahihi asilimia mia mojaWe mtu ni mpumbavu sana!
Kwamba hao watoto ndio wamesababisha haya?
[emoji116]View attachment 2483919
Atajulia wapi mkuu?Punguza dharau kijana, unamaanisha maisha yamekuwa magumu sababu watu wamezaa watoto wengi?
Unajua hata bei kilo ya maharage?
Ondoka hapo kwa shemeji yako ndio utaelewa kama una koment ujinga ama laWatu badala ya kuzalisha mazao wakawa bizw kuzaa watoto,mtoa mada yuko sahihi asilimia mia moja