Waliodanganywa na hayati Magufuli wazae watoto wengi ndio leo wanamlilia Rais Samia maisha ni magumu

Waliodanganywa na hayati Magufuli wazae watoto wengi ndio leo wanamlilia Rais Samia maisha ni magumu

Una akili ndogo sana .

Kwani ugumu wa maisha una chagua watu??
 
Halafu kwenye hiyo trip nairobi hakuzungumzia kuhusu population only that$7B ni pamoja na vitu kama hunger, poverty, disease, gender inequality na vinginevyo niliisikiza na nikaisoma. Umekuja hapa na hoja moja kwamba ni population alafu muuaji BADO huna content. Pumzika
Kumbuka kwamba kaongelea health issues.Sasa wewe kama unajua mambo,ni rahisi kujua kwamba issues za abortion na depopulation zinaingizwa kwenye programmes za afya,ingawa Climate Change nayo Ni big player kwenye depopulation,and he talked about it when he was in Nairobi.

Unajua,binadamu tupo wajinga sana.Bill Gates is supposed to be in jail,because his programmes are not for developing humanity,but rather to kill people.So for me he is not supposed to get a VIP reception as in Kenya,but to be captured and jailed as a murderer.
 
Kumbuka kwamba kaongelea health issues.Sasa wewe kama unajua mambo,ni rahisi kujua kwamba issues za abortion na depopulation zinaingizwa kwenye programmes za afya,ingawa Climate Change nayo Ni big player kwenye depopulation,and he talked about it when he was in Nairobi.

Unajua,binadamu tupo wajinga sana.Bill Gates is supposed to be in jail,because his programmes are not for developing humanity,but rather to kill people.So for me he is not supposed to get a VIP reception as in Kenya,but to be captured and jailed as a murderer.
Ndo mana nakwambiaje wewe hujasoma taarifa KWA usahihi mkuu. Kwanza hajawahi kuzungumzia kuhusu abortion hapa africa hiyo issue ilikuwa ni marekani ROE VS WADE kipindi raia wanaandamana ipitishwe sheria ya abortion. Bill gates hajawahi kufund abortion yoyote ile kupitia foundation zake. Ila alisema hivi" every women have the right to decide whether and when to have children" hapo hapo ex- wife wake melinda kwenye interview alipoulizwa alisema hatuwezi kusapoti abortion kwasababu ni issue ya kisisasa zaid hivyo hatutaki kuingia kwenye migogoro. Ila wapo baadhi ya prominent na rich people kama Mackenzie scott ex wife wa Jeff bezos yeye alisapoti takirbani $275M, michael bloomberg n.k. ulichofanya wewe ni kuchanganya mafile huna lolote hajawahi kuzungumzia issue za abortion africa hiyo issue ilikuwa marekani. ACHA kusikiliza maneno ya vijiwe vya kahawq
 
December hii nimeongeza twins wamefika 6

Bado watatu

Mwenye kujua vyakula gani vinaongeza chance ya kupata twins hata triplets anisaidie tafadhali

Tunazaa na kutunza vizuri kabisa
Kuna kijiji huko Katavi kuna chemchem ukinywa maji yake miezi 3 lazima upate twins.
 
Ndo mana nakwambiaje wewe hujasoma taarifa KWA usahihi mkuu. Kwanza hajawahi kuzungumzia kuhusu abortion hapa africa hiyo issue ilikuwa ni marekani ROE VS WADE kipindi raia wanaandamana ipitishwe sheria ya abortion. Bill gates hajawahi kufund abortion yoyote ile kupitia foundation zake. Ila alisema hivi" every women have the right to decide whether and when to have children" hapo hapo ex- wife wake melinda kwenye interview alipoulizwa alisema hatuwezi kusapoti abortion kwasababu ni issue ya kisisasa zaid hivyo hatutaki kuingia kwenye migogoro. Ila wapo baadhi ya prominent na rich people kama Mackenzie scott ex wife wa Jeff bezos yeye alisapoti takirbani $275M, michael bloomberg n.k. ulichofanya wewe ni kuchanganya mafile huna lolote hajawahi kuzungumzia issue za abortion africa hiyo issue ilikuwa marekani. ACHA kusikiliza maneno ya vijiwe vya kahawq
Ndugu tuachane,utasemaje ha-support abortion na nimekuletea ushahidi unao onyesha wazi kwamba atatoa hela za population control and abortion 7 billion.Bill Gates supports anything which leads to killing people.Nina ushahidi mwingi mwingi,mwingi sana unaonyesha wazi kwamba Bill Gates is a murderer.Wewe endelea kula hela zake chafu.
 
Ndugu tuachane,utasemaje ha-support abortion na nimekuletea ushahidi unao onyesha wazi kwamba atatoa hela za population control and abortion 7 billion.Bill Gates supports anything which leads to killing people.Nina ushahidi mwingi mwingi,mwingi sana unaonyesha wazi kwamba Bill Gates is a murderer.Wewe endelea kula hela zake chafu

Nenda kasome hiyo taarifa. Una kichwa kigumu cha kuelewa embu kaa chini usome hiyo taarifa maana ndani ya articles moja kuna zaidi ya event tatu za kwake tofauti tofauti soma tena acha ushabiki maandazi soma tena
 
Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.

Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia

Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.

Kauli ya zaeni jpm kaitoa 2019,mpaka leo ni miaka 7!!!!

Miaka minee toka 2019 dada yako kashaongeza watoto wanne,mkumbushe kwamba kuna kazi nyingine za kufanya tofauti na kuzalishwa na shemeji yako kama panya.
Asimlaumu samia wala wewe kaka yake usimlaumu JPM ni ujinga wake.
 
Back
Top Bottom