mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwa spidi hiyo miaka 7 ijayo vyumba vya madarasa vitapelea tukiongeza tuzo msipige kelele
Kelele hatupigi
Nguvu tunazo na uwezo tunao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa spidi hiyo miaka 7 ijayo vyumba vya madarasa vitapelea tukiongeza tuzo msipige kelele
Bado logic ipo make mwenye watoto wengi atakuwa na msalaba mkubwa wa bajeti kuliko mwenye wachacheHujaelewa hoja wewe..!! Wote wanalia maisha magumu. Maana mfumuko wa bei unawagusa wote, wenye watoto na wasionao
Ok sawa, lakini kama huyo mwenye watoto 9 ni Bakhresa, na huyo mwenye watoto wawili ni Pauline Zongo unadhani nani hapo ataona maisha ni magumu?Gharama za mchele wa 3000 kwa watoto 9 haitakua sawa na gharama za mchele kwa watoto 2
Umeshawaza uwezo wa kifedha wa mwenye watoto wengi na huyo mwenye wachache?Bado logic ipo make mwenye watoto wengi atakuwa na msalaba mkubwa wa bajeti kuliko mwenye wachache
Mtu kama Bakhressa kama ana watoto 9, hao aliwapata kutokana na mipango yake mwenyewe na alijua nini anafanya.Ok sawa, lakini kama huyo mwenye watoto 9 ni Bakhresa, na huyo mwenye watoto wawili ni Pauline Zongo unadhani nani hapo ataona maisha ni magumu?
Wewe upo vizuri, tunataka watanzania wawe hivyoKelele hatupigi
Nguvu tunazo na uwezo tunao
Shaka alikazia maneno hayo hayo huko Geita kama sijakoseaMagufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.
Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia
Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
Tuashumu kipato Chao ni Sawa make per capita income haibagui akina baeresa na wauza vitambuaUmeshawaza uwezo wa kifedha wa mwenye watoto wengi na huyo mwenye wachache?
Just go with reality..!! Assumptions kwenye bei ya vyakula haipoTuashumu kipato Chao ni Sawa make per capita income haibagui akina baeresa na wauza vitambua
Natamani niwe kama Marehemu Magufuli huko mbelani.Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.
Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia
Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
The point is, nani atalalamika maisha ni magumu?Mtu kama Bakhressa kama ana watoto 9, hao aliwapata kutokana na mipango yake mwenyewe na alijua nini anafanya.
Ila jamaa yangu kule Mwanambilimbi ambaye uwezo wake ni watoto 3 yeye akisikia rais kasema zaa zaidi, anazaa haswa bila kujua kuna nyakati ngumu za ukame
Wewe upo vizuri, tunataka watanzania wawe hivyo
Shaka sio rais, na hapohapo chap dk Samia hakumkawiza akamwambie Kwa Hilo hapana na akawasisitiza wananchi wazae Kwa mpango.Shaka alikazia maneno hayo hayo huko Geita kama sijakosea
Baadhi ya ahadi ambazo jiwe aliwaaminisha watu wajinga zilikuwa kama zile za Kinjeketile wakati wa vita vya Majimaji. Wanyonge walijilipua kwa ahadi kemkem, kumbe zote zilikuwa ni kamba tupu.Magufuli aliwadanganya watu kuzaa watoto wengi kadri wawezavyo sababu serikali inatoa elimu "bure"
Watanzania wengi wakiambiwa kitu na Rais basi wao hufuata tu.
Matokeo yake ndani ya miaka 7 mtu anazaa watoto 4, na hapo alikuwa na watoto wengine 3, jumla wanakua 7. Ukame kidogo umetokea bei za vyakula zimepanda, watu hawa ndio wanaanza kumpa lawama Samia
Kuna haja ya serikali kurudisha elimu ya uzazi wa mpango iliyofutwa na Magufuli. Wakulima wataendelea kuuza mazao yao nje kwa sababu hawajakutuma uzae hovyo.
Ukiwa laghai mwenye maneno matamu lazima utateka wengi sana kwa jamii yenye wajinga wengi kama Bongo,Natamani niwe kama Marehemu Magufuli huko mbelani.
Jamaa aliwezaje kugain hii popularity? Haiishi siku hajaandikwa yaani.
Natafuta watalaam hili jina liwe linalipiwa familia ile pesa.
Wenye watoto wengi wasioweza kuwalishaThe point is, nani atalalamika maisha ni magumu?
BhalaaWenye watoto wengi wasioweza kuwalisha
Kuna wakati woga unaweza kuwa ndio akili na ujasiri ukawa ndio upumbavuWanaume waoga wanazidi kuongezeka
Mungu nusuru uzao wetu