Sio kweli Petit sio Abdul jamani Petit alikuwa ana act kwa jina la Mani na Abdul bado yupo na alishiriki Maisha plus msimu wa 3 kama sikosei alikuwa mshiriki kutoka Mwanza hata mkifatilia mtamuona na alitoka mapema tu akiwa kijijini bila kushinda.
Yup binamu ila umaarufu ulikuja sana alipoenda jela na alipotolewa zile pesa na Wema watu wakawa attention kumfatilia na soon akaitwa kwenye Mkasi na urafiki na wema ukazidi kumuweka juu ila alishakuwaga juu enzi za Majani na hata walipoachana na kuolewa ilikuwa story kubwa tu kwenye magazeti ya pale Bamaga.
Hayo mambo ya zamani binamu. Nikikuuliza sasa ivi peti anavyojulikana ni kwa sababu ya shughuli gani? Ukinipa jibu itakuwa poa, maana ata Mimi nimemjulia kupitia wema nadhan na wengine pia hvyo hvyo.
Best umepata exclusive nong'ono la mama ubaya wema?..
Aaaaah nakuona kijana wa zamani una detail zote
alikuwa ni produza wa mawingu rekods(sijui kama bd ipo) , pia alikuwa dj wa clouds tv(sijui km bd ni dj clouds)
Niume sikio basi, ujue leo sijapata umbea wa mjini kabisa....nishukie basi kabla haujapoa
Nasikia wema alienda kujiuza Nairobi kwa dola elfu mbili kwa yule jamaa aliyetokaga na wolper na uwoya ,yule jamaa wa kipindi kile unakumbuka had akina wema wakaanza kumchamba wolper kwenye kipind cha zamarad, anaitwa ababuu Sijui , nasikia wema alimdanganya ndomo anaenda arusha kumbe kaenda kukiuza, mbaya zaidi pesa hajapewa nasikia kila wakat wema anampigia jamaa simu ampe chake, jamaa si unajua kashajilia mzigo hamtak tena , nasikia huyo jamaa yupo double tree chumba no 814 , nasikia anatafuna sana Dada zetu, huyu ndo aliyemtangazia wolper ananuka papuchi
Umaarufu zamani ilikuwa issue siyo kama siku hizi, ukitoka na msanii wa bongo movie au mwanamuziki tayari maarufu, zamani walikuwepo kina Ipi Malecela, Abbas Mwinyi, Idd Janguo, Abdu Msomali ndiyo walikuwa na hela, walikuwa na access ya kumchukua demu yoyote hata kama ni wa mtu.
Nasikia wema alienda kujiuza Nairobi kwa dola elfu mbili kwa yule jamaa aliyetokaga na wolper na uwoya ,yule jamaa wa kipindi kile unakumbuka had akina wema wakaanza kumchamba wolper kwenye kipind cha zamarad, anaitwa ababuu Sijui , nasikia wema alimdanganya ndomo anaenda arusha kumbe kaenda kukiuza, mbaya zaidi pesa hajapewa nasikia kila wakat wema anampigia jamaa simu ampe chake, jamaa si unajua kashajilia mzigo hamtak tena , nasikia huyo jamaa yupo double tree chumba no 814 , nasikia anatafuna sana Dada zetu, huyu ndo aliyemtangazia wolper ananuka papuchi
Binamu si unajua mmbea siku zote hadanganyagi? picha na matukio havifanani, kwanza wewe unamjua huyo team ukweli ni nani? Basi uwe mpole
soon utasikia kimenuka, we kuwa mpole binamu
we nakujua ni team penseli...me team wema kwakweli...uliona penseli alivyokuwa anakatika juzi kwenye maulidi?
Kuna mmoja namuona insta anajiita martinkadinda jamaa wa misifa sana kupiga mapicha kama watotot wa kike kila sehem picha,simjui ni nani huyu?
tema ukweli nahisi ni kajala au penseli hahahahahaha