Jizungumzie ww binafsi.wengine humu unaowaona wana mind ndio hao hao makamanda waliopo field daily.Wewe kama ni keyboard worror usidhan wote ni kama ww.
200m kila mmojaHivi kwani wamepiga sh ngapi wote kwa ujumla wao hasa wale wawili wanaofuatana mpaka chooni
Njaa; Halima ana tamaa ya fedha, baada ya kukosa ubunge alikuwa hana pa kushikia!! Fursa ya viti maalum ilipojitokeza akatumbukia moja kwa moja!Kweli kabisa mkuu, watu walimpigania kwenye chaguzi tatu tofauti jimboni Kawe buree, kwa mapenzi yao tu.
Sijajua ni tamaa ya aina gani aliyonayo kiasi cha kuusaliti uma!!?
Ushauri mzuri sana kwa hao wa huko kwenuObviously, political maturity sio idadi ya miaka kwenye political arena bali ni uwezo wa kuwa na fikra sahihi na kufanya maamuzi sahihi kwenye maswala ya kisiasa!
Ng'awethuAlthough the first one is true for most politicians, Lissu has never claimed that he is intellectually superior to most of us mere mortals. On the other hand.....
And the second one is moot because Chadema and Lissu have never won a presidential election.
Amandla...
Umeshasema ni tetesi tu hazina ukweli wowote. Subirini Ndugai awatoe knock out muda si mrefuHabari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Aliyeikamatwa na begi la kura kwenye kituo cha kupigia kura kesi yake imefikia wapi pale mahakama ya kinondoni?Kazi ya hivi vyombo ni kusimamia sheria. Kama hutaki kuingia matatani, just play by the rule.
Tupo wengi ambao hatuna hata chama, lakini hatujawahi kupendelewa au kukandamizwa na hivi vyombo!
Kuna wakati nawashangaa watu kama wewe. Ktk nchi hii siasa si kazi ya lazima. Kama shida ni kubwa kiasi hicho unachoeleza, kwa nini hawaachani na siasa? Kinachowavutia kuendelea na siasa ktk mazingira kama hayo ni juu yao, Iwe ni ushujaa au ujinga wao, ni juu yao!!Try to be very understanding and mature-kwenye hili tumia busara na hekima kuliko mihemuko,Je,unaelewa machungu wanayopitia baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani kwa kupoteza ndugu,jamaa,na marafiki kwa vifo? Je,Unaona ni jambo dogo wafuasi wa vyama vya upinzani kuozea kwenye jela pasina haki angali COVID 19 walikuwa viongozi wao? Je,Unadhani ni sahihi COVID 19 kushiriki tafrija kwa namna ya dhuluma wakati hata wafiwa hawajamaliza arobaini ya misiba? sometimes we need to be human....Kiongozi bora lazima ajua machungu na maumivu ya anaowaongoza na sio tamaa zake binafsi-kiongozi lazima uwe good comforter.
MATAGA wana roho ya ibilisi haya unayosema yanaingia sikio hili yanatokea kule, Huwa unaweza jiuliza hawa ni Watanzania ama wanyarwanda?Try to be very understanding and mature-kwenye hili tumia busara na hekima kuliko mihemuko,Je,unaelewa machungu wanayopitia baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani kwa kupoteza ndugu,jamaa,na marafiki kwa vifo? Je,Unaona ni jambo dogo wafuasi wa vyama vya upinzani kuozea kwenye jela pasina haki angali COVID 19 walikuwa viongozi wao? Je,Unadhani ni sahihi COVID 19 kushiriki tafrija kwa namna ya dhuluma wakati hata wafiwa hawajamaliza arobaini ya misiba? sometimes we need to be human....Kiongozi bora lazima ajua machungu na maumivu ya anaowaongoza na sio tamaa zake binafsi-kiongozi lazima uwe good comforter.
This is rubbish.Kuna wakati nawashangaa watu kama wewe. Ktk nchi hii siasa si kazi ya lazima. Kama shida ni kubwa kiasi hicho unachoeleza, kwa nini hawaachani na siasa? Kinachowavutia kuendelea na siasa ktk mazingira kama hayo ni juu yao, Iwe ni ushujaa au ujinga wao, ni juu yao!!
Usitupotezee muda kusimulia mikasa isiyotuhusu, sisi hatukuwatuma kuwa wanasiasa! Au unadhani wanatupigania? Kwahi hawajui kuna kazi zingine Zaidi ya siasa? Kuna mtu hapa katoa mfano wa wakulima, mbona jua likiwaka wanaachana na kilimo na kuanza kufuga mbuzi? Iweje kwa upuuzi wao uanze kutusimulia utadhani waliumbwa ili wawe wanasiasa? Trash!
Halafu bila aibu unajiita Patriot? Patriot gani wewe usiyejali yanayowasibu wananchi wenzako?Kuna wakati nawashangaa watu kama wewe. Ktk nchi hii siasa si kazi ya lazima. Kama shida ni kubwa kiasi hicho unachoeleza, kwa nini hawaachani na siasa? Kinachowavutia kuendelea na siasa ktk mazingira kama hayo ni juu yao, Iwe ni ushujaa au ujinga wao, ni juu yao!!
Usitupotezee muda kusimulia mikasa isiyotuhusu, sisi hatukuwatuma kuwa wanasiasa! Au unadhani wanatupigania? Kwahi hawajui kuna kazi zingine Zaidi ya siasa? Kuna mtu hapa katoa mfano wa wakulima, mbona jua likiwaka wanaachana na kilimo na kuanza kufuga mbuzi? Iweje kwa upuuzi wao uanze kutusimulia utadhani waliumbwa ili wawe wanasiasa? Trash!
Changamoto ni kwamba wanadhan kila Mtanzania ana akili za kushikiwa.MATAGA wana roho ya ibilisi haya unayosema yanaingia sikio hili yanatokea kule, Huwa unaweza jiuliza hawa ni Watanzania ama wanyarwanda?
MATAGA: Alafu upumbavuwao eti wanauliza "nani kati ya mtanzania yeyote akipewa ubunge bure atakataa?"Changamoto ni kwamba wanadhan kila Mtanzania ana akili za kushikiwa.
Alafu ndiyo think tank ya taifa hili,Aibu.Mtu anashindwa kujenga hoja kwenye vitu vidogo kama hv halafu anataka kulishauri taifa au chama-ni useless.Halafu bila aibu unajiita Patriot? Patriot gani wewe usiyejali yanayowasibu wananchi wenzako?
Amandla...
Uko sawa Tajiri wanguHii karata hata CCM hawaelewi waipindue vipi ionekane haina kona kona mingi
Hadithi inabaki pale pale! Nchi hii siasa siyo kazi ya kulazimishwa. Ukipata taabu achana na siasa. Wangapi wanafundisha watoto wetu, hawalipwi mafao yao lakini hatuwasaidii watu muhimu hawa? Kwa nini tuhangaike na watu wasio productive? Wanasiasa wanatuteka akili, tunaanza kuwatetea na kuandamana utadhani ni kazi muhimu. Stop this nonsensical thinking!Halafu bila aibu unajiita Patriot? Patriot gani wewe usiyejali yanayowasibu wananchi wenzako?
Amandla...
1st Usi panic..Niko huru kuandika ninachojiskia kama nakuboa na michango yangu tapika tuu, i dont give a damn what you think of me,keyboard warrior or not...simply msiniwekee usiku