FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Nadhani hili lipo wazi na Chadema wanalijua kwa kuwa serikali sasa imeshazoea kuvunja taratibu na imemeza mihimili yote muhimu.Sasa wakisamehewa inakuwaje ?Wameshaapishwa hivyo wataendelea kuwa wabunge ?
Daah [emoji23][emoji23][emoji23]Huwa nikianza kusoma comment then nione Rebeca umecomment huwa nafurahi sana, ila leo umevuruga kabsa kwa comment kama hii.
Au kuna mtu amehack account yako? Kwann usitoe taarfa kwa uongozi wa JF? Umekubali mtu aandike rubbish comment kama hii?
😁😂😅😄😃😂🤣😁😅😅😄😃😁😂🤣🤣🤣😅Sasa kama hao covid 19 wakiomba msamaha na kuendelea na ubunge hili itakuwaje
Udikiteta na wizi ulaghai ndio ukomavuTeam Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!
Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Naomba "amen" kubwa hapo!Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Udikiteta na wizi ulaghai ndio ukomavu
Zile buku buku zetu tulizochanga na kuwatoa gerezani zitawasuta nafsi zao hadi siku wannaingia kaburini. Hawana tofauti na Gwaji Boy aliyetelekeza Madhabahu na kwenda kufungua Pub. Eti anapanua huduma! Siku chache zijazo mtapata majibu.Kazi ya shetani ni kupotosha na kuongea uongo, Mr. Halima Mdee Ni gwiji wa uongo
Rebeca,Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Yaani hamna akili nyie viumbe. Vikundi vyenu havitakuja kupata dhamana ya kutawala milele. Mnatukana CCM na kuidharau badala ya kujikita kwenye mambo yenu, hivi CCM kwa akili yako ndiyo imepeleka hayo majina???? Yaani kama vetting mmefeli vibaya sana, you’ll never be trusted again.Hii karata hata CCM hawaelewi waipindue vipi ionekane haina kona kona mingi
Tofauti ya Trump na Magufuli ni kuwa Magufuli anabewa ba dola
Halafu msivyokuwa na adabu how can you compare your fellow human with covid 19?Rebeca,
Looks like you're part of Covid-19......!
You can't be a strong woman by violating Laws of the land.
What do you mean by saying...."Halima do your thing...."? Mebbe to be fuc**d by CCM hooligans......!!!Nonsense.
Sikutegemea haya kutoka kwa Halima, sometime naona kama sio kweli, nani kampotosha Halima kufanya ujinga huu?Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Ahahahah eti Minjino..dah
Mkuu bado sijakuelewaAhahahah eti Minjino..dah
Chadema hamuishi vituko. Anyway mtaendelea kupoteza chaguzi kwa kukosa maarifa na nchi itasonga chini ya chama makini ccmKwa kifupi Chadema ndiyo wanaendesha nchi na wafadhili wanawaelewa sana maana wamekataa kuitambua hii serikali.
Kawaida ya wabongo Kwa maslahi ni muhimu kiliko kitu kingineHabari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Hata hujui Lucifer ni nani na Archangel Michael ni nani?Hata Lucifer aliyekuwa malaika mkuu Maiko, alipohasi kujilinganisha na Mungu alitupwa motoni na kuitwa Lucifer, ndiyo shetani mkuu Motoni.