OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Unaonekana kujua mengine,funguka yote ili niongee na Mod apandishe post yako pale juuAlienda kusoma,kabla hajatimiza vigezo mshahahara ukasimamishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana kujua mengine,funguka yote ili niongee na Mod apandishe post yako pale juuAlienda kusoma,kabla hajatimiza vigezo mshahahara ukasimamishwa
Ah ah ah ah ahInawezekana wengi waliishia kuwa wavuvi
Katika watu walijidanganya leo wewe ni mmoja wapoEti kuwajua nyie ni nani, achaga comedy, zile ni protokali tu, jf ni kitu sumni sana, amini usiamini.
Wewe kama huijui Jf kaa kimya usijipake aibu kwa kitu usichokijua. Humu kuna watu wa kada zote na wengine huwezi amini wana mamlaka makubwa nchini. Kwa kujua hilo ndo maana Wakubwa wanahangaika na Jf kwani wanajua Impact yake kwa jamii. Wao sio wajinga wahangaike kufuatilia kitu kisicho na Impact yoyote. Mambo mengi yanayoumiza wakubwa vichwa aidha yameanzia Jf au yamepata msukumo Wa Jf. Hii siyo ya kudharau, hata hao waliokutuma upost kipost chako humu wanakushangaa unapoidharau Jf eti ina percent 0.0.......!!!!??? Aibu yako, hata wewe??
fanya dhihaka yoyote lakini sio kwenye ugonjwa bro au ukumbuki waliyosema huyo mgonjwa muda wowote anakufa wapo wapi leo?tubu kwa mungu wakoUkimaliza na hao usisahau na kuwaita wale waliokuwepo wakati Zee lako linajinyea!
fanya dhihaka yoyote lakini sio kwenye ugonjwa bro au ukumbuki waliyosema huyo mgonjwa muda wowote anakufa wapo wapi leo?tubu kwa mungu wako
Phd ya makarabrasha kaipata juzi juzi tu hapaYawezekana aliiacha maana mtu wa phd sio wa kufundisha kabisa
nnakuambia tu mkuu kukumbushana usifanye dhihaka kwenye ugonjwa ww leo mzima haujui kesho yako na sio lazima ufanye nilivyokwambia unaweza ukaendelea kutukan.Kwa hiyo unanitisha au?
nnakuambia tu mkuu kukumbushana usifanye dhihaka kwenye ugonjwa ww leo mzima haujui kesho yako na sio lazima ufanye nilivyokwambia unaweza ukaendelea kutukan.
ni kweli sijui kesho yangu ndio maana siwezi kutoa kauli km yako hila mimi nimekukumbusha tu km nimekosea kukwambia nisamehe.Hata wewe pia haujui kesho yako!
ni kweli sijui kesho yangu ndio maana siwezi kutoa kauli km yako hila mimi nimekukumbusha tu km nimekosea kukwambia nisamehe.
ukikosea lazima uambiwe ni hiari yako kusikiliza ulichoambiwa au uendelee unachofanya km ww umechagua kuendelea endelea kutukana hihUnanikumbusha wewe kama nani? Nimekusamehe na usirudie tena!
ukikosea lazima uambiwe ni hiari yako kusikiliza ulichoambiwa au uendelee unachofanya km ww umechagua kuendelea endelea kutukana hih
nilishakuona kichwa kibovu na siku zote mjinga mpe cheo nikakuomba msamaha ukafurahi bichwa hilo pumba tupu.Sasa kwa nini uliniomba msamaha kama ulikuwa na nia ya kundeleza malumbano?
Ko whats your conclusionPhd ya makarabrasha kaipata juzi juzi tu hapa
Organic chemistry aubonge la ticha itakuwa alikuwa anavunja organic hatari
yap organic chemistry mambo ya alkyne na halo alkane jamaa atakuwa fitOrganic chemistry au