Waliogundua hesabu ngumu walikuwa wanatafuta nini na walizigunduaje?

Waliogundua hesabu ngumu walikuwa wanatafuta nini na walizigunduaje?

inaonesha jinsi Gani ulivyo kilaza Hivi bila Yale mahesabu waliyogundua wamisri Kuna kitu Cha maana kinachotumia mahesabu kingetengenezwa Leo?
Jisomee ujue ujuzi wa Siri ulifichwa misri Karne nyingi ulichukuliwa na napoleone hata Hittler chanzo Cha ujuzi na nguvu wa vifaa vita zenye mahesabu makali alibeba huko misri
Kingine Kama hujui michoro ya kwanza ya Computer ilichorwa na Leonardo Da Vinci miaka ya 1400's kilichomfanya awe na ujuzi huo ni documents zilizobebwa na Vatican kutoka huko misri yeye Ndie Alikua bingwa wa kutoa code Kwenye maandishi ya kale

Usidhani Kila unachokiona kilishushwa Toka angani broo!
Vitu vingi vina expiration date. LAKINI Hesabu haina!
 
Mkuu; ma pyramid ni kivutio cha utalii lakini pia ni fikirishi.Watu wanajiuliza ni kwa namna gani yale majabali/mawe/matofali makubwa na mazito hivyo yalifikishwa kule juu na hao waliokuwa ni mafundi/wajenzi? Kwa hiyo watu wanachemsha bongo na kugundua au kuendeleza pale alipoishia wa mwanzo. Hata hiyo kompyuta unayotumia leo 2021 haikuwa hivyo mwanzoni. Unaikumbuka Kompyuta Makintosh? (may be spelling nimechemka)
huyu jamaa anaitazama hii Dunia Kwa jicho la kawaida sana mkuu hajui hizi gunduzi zote anazoziona formula zake zilikwepo Toka kitambo tu
Vitu anavyoviona Leo vya kiteknolojia na gunduzi
Leonardo Da Vinci alishaviwekea formula kitambo miaka ya 1400's huko wanasayansi wa Sasa wanazidi vifanyia vitendo kadri muda unapokwenda maana jamaa aliviweka Kwa code ngumu sana Hivyo kadri wanapomaliza kimoja idea ya kingine inakuja
Chanzo Cha yote ni ujuzi uliobebwa kwenye document za wamisri wa kale
Hata Hittler alizipata Hizo document na akawa anamtumia Binti mmoja nimesahau Jina lake huyu Alikua na uwezo wa ajabu anapandisha mzuka na kufungua zile code zikamwezesha kutengeneza siraha hatari za maangamizi na inasemekana aliweza mpaka kuunda vifaa
vyenye spidi Kali Kama vile
vinavyodaiwa kutumiwa na Allien yaani UFO's
Baada ya Hittler kushindwa Ile vita Marekani ilizibeba zile document na wanasayansi wa kijerumani na kwenda nao huko ambako waliendeleza kazi Yao

Chanzo Cha yote ni Hizo formula za wamisri jamaa anaonipinga kwamba Mimi ni mjinga bila yeye kujua kwamba akiona Kobe juu ya mti ujue kapandishwa!
 
Mkuu; ma pyramid ni kivutio cha utalii lakini pia ni fikirishi.Watu wanajiuliza ni kwa namna gani yale majabali/mawe/matofali makubwa na mazito hivyo yalifikishwa kule juu na hao waliokuwa ni mafundi/wajenzi? Kwa hiyo watu wanachemsha bongo na kugundua au kuendeleza pale alipoishia wa mwanzo. Hata hiyo kompyuta unayotumia leo 2021 haikuwa hivyo mwanzoni. Unaikumbuka Kompyuta Makintosh? (may be spelling nimechemka)
Basi tuseme redio na pyramid upi ni ugunduzi mkubwa?
Kumpyuta ndege ni vizazi vya sasa waliogundua wakati pyramidi ni watu wa jsle zaidi ta miaja 5000. watu wa kale.
Yani ugunduzi wa ndege na vyombo vya moto ulivyokomboa jamii ndio nilinganishe na upuuzi pyramid wa kutukuza mafaraoh tu pasi na faida yoyote kwa jamii.
 
huyu jamaa anaitazama hii Dunia Kwa jicho la kawaida sana mkuu hajui hizi gunduzi zote anazoziona formula zake zilikwepo Toka kitambo tu
Vitu anavyoviona Leo vya kiteknolojia na gunduzi
Leonardo Da Vinci alishaviwekea formula kitambo miaka ya 1400's huko wanasayansi wa Sasa wanazidi vifanyia vitendo kadri muda unapokwenda maana jamaa aliviweka Kwa code ngumu sana Hivyo kadri wanapomaliza kimoja idea ya kingine inakuja
Chanzo Cha yote ni ujuzi uliobebwa kwenye document za wamisri wa kale
Hata Hittler alizipata Hizo document na akawa anamtumia Binti mmoja nimesahau Jina lake huyu Alikua na uwezo wa ajabu anapandisha mzuka na kufungua zile code zikamwezesha kutengeneza siraha hatari za maangamizi na inasemekana aliweza mpaka kuunda vifaa
vyenye spidi Kali Kama vile
vinavyodaiwa kutumiwa na Allien yaani UFO's
Baada ya Hittler kushindwa Ile vita Marekani ilizibeba zile document na wanasayansi wa kijerumani na kwenda nao huko ambako waliendeleza kazi Yao

Chanzo Cha yote ni Hizo formula za wamisri jamaa anaonipinga kwamba Mimi ni mjinga bila yeye kujua kwamba akiona Kobe juu ya mti ujue kapandishwa!
Chanzo cha taarifa mkuu.
Mabadiriko mengi yamefanyika kopindi cha industrial revolution
Kama hao wa misri wana hizo document mbona hawana teknolojia yoyote ya kisasa, hadi silaha wananunua marekani.
Acha hadithi mkuu, kizazi cha sasa kinafanya maajabu yatakayokumbukwa milele,misri ni hadithi za pyramid tu hakuna kingine cha maana.
 
Chanzo cha taarifa mkuu.
Mabadiriko mengi yamefanyika kopindi cha industrial revolution
Kama hao wa misri wana hizo document mbona hawana teknolojia yoyote ya kisasa, hadi silaha wananunua marekani.
Acha hadithi mkuu, kizazi cha sasa kinafanya maajabu yatakayokumbukwa milele,misri ni hadithi za pyramid tu hakuna kingine cha maana.
unajua maana ya Accient Civilization ndugu tuanzie hapo kwanza,Kama hujui basi nafunga mjadala siwezi bishana na mtu Kama wewe!
 
Basi tuseme redio na pyramid upi ni ugunduzi mkubwa?
Kumpyuta ndege ni vizazi vya sasa waliogundua wakati pyramidi ni watu wa jsle zaidi ta miaja 5000. watu wa kale.
Yani ugunduzi wa ndege na vyombo vya moto ulivyokomboa jamii ndio nilinganishe na upuuzi pyramid wa kutukuza mafaraoh tu pasi na faida yoyote kwa jamii.
Bado mdogo Sana Kwenye masuala Kama haya Kama Vipi tujadili kuhusu ukubwa wa makalio ya wanawake hiki tunachojadili kipo juu ya uwezo wako kubali tu.
Hahahaaaha yaani ndege na magari unaona Ndio gunduzi kuuubwaa mpaka kuwaona wamisri wa kale walikua kawaida tu kisa Hivi vya Sasa havikuwepo enzi Hizo aiseee narudia Kama hujui maana ya Accient Civilization Kaa Kwa kutulia tujadili Simba na yanga tu!
 
inaonesha jinsi Gani ulivyo kilaza Hivi bila Yale mahesabu waliyogundua wamisri Kuna kitu Cha maana kinachotumia mahesabu kingetengenezwa Leo?
Jisomee ujue ujuzi wa Siri ulifichwa misri Karne nyingi ulichukuliwa na napoleone hata Hittler chanzo Cha ujuzi na nguvu wa vifaa vita zenye mahesabu makali alibeba huko misri
Kingine Kama hujui michoro ya kwanza ya Computer ilichorwa na Leonardo Da Vinci miaka ya 1400's kilichomfanya awe na ujuzi huo ni documents zilizobebwa na Vatican kutoka huko misri yeye Ndie Alikua bingwa wa kutoa code Kwenye maandishi ya kale

Usidhani Kila unachokiona kilishushwa Toka angani broo!
Maarifa ya misri yalichangiwa na different race kama ilivyo leo kwa marekani. Teknolojia ya marekani ni mchango wa jamii ya dunia nzima, ndivyo ilivyokuwa kwa misri.
Ila kwa kizazi cha sasa maarifa ya misri ni ya kawaida sana sana hayana maajabu yoyote labda kwa mtu kama wewe sio mimi mkuu.
Halafu msingi wa kukupinga ni kuamini eti wamisri walifundishwa maarifa na viumbe vya ajabu ndio wamisri kuwa na maarifa wala sijaandika popote kuwa wamisri hawakuwa na maarifa bali maarifa yao yalikuwa ya kawaids tu, very obvious in a modern perspective/Adv tech perspective.
Kupanga panga mawe nayo ni maajabu kwa kizazi cha sasa?
 
Bado mdogo Sana Kwenye masuala Kama haya Kama Vipi tujadili kuhusu ukubwa wa makalio ya wanawake hiki tunachojadili kipo juu ya uwezo wako kubali tu.
Hahahaaaha yaani ndege na magari unaona Ndio gunduzi kuuubwaa mpaka kuwaona wamisri wa kale walikua kawaida tu kisa Hivi vya Sasa havikuwepo enzi Hizo aiseee narudia Kama hujui maana ya Accient Civilization Kaa Kwa kutulia tujadili Simba na yanga tu!
Acient civilization ni ujima tu kama ujima mwingine, watu walitegemea farasi na punda halafu mimi niamini walikuwa wana maajabu.eekh!
Wewe endelea kuamini mythology na conpiracy theory, mimi naamini fact!
Watu hawakuwa hata na njia nzuri za kutunza kumbukumbu, mwe!
 
Maarifa ya misri yalichangiwa na different race kama ilivyo leo kwa marekani. Teknolojia ya marekani ni mchango wa jamii ya dunia nzima, ndivyo ilivyokuwa kwa misri.
Ila kwa kizazi cha sasa maarifa ya misri ni ya kawaida sana sana hayana maajabu yoyote labda kwa mtu kama wewe sio mimi mkuu.
Halafu msingi wa kukupinga ni kuamini eti wamisri walifundishwa maarifa na viumbe vya ajabu ndio wamisri kuwa na maarifa wala sijaandika popote kuwa wamisri hawakuwa na maarifa bali maarifa yao yalikuwa ya kawaids tu, very obvious in a modern perspective/Adv tech perspective.
Kupanga panga mawe nayo ni maajabu kwa kizazi cha sasa?
Please fanya kusoma vitabu kabla ya kubisha kwa hoja,,accient civilization ya huko Egypt ilikua balaa. Usifananishe misri ya leo na ya kale.
 
Back
Top Bottom