Kirumberumbe
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 982
- 1,167
Vitu vingi vina expiration date. LAKINI Hesabu haina!inaonesha jinsi Gani ulivyo kilaza Hivi bila Yale mahesabu waliyogundua wamisri Kuna kitu Cha maana kinachotumia mahesabu kingetengenezwa Leo?
Jisomee ujue ujuzi wa Siri ulifichwa misri Karne nyingi ulichukuliwa na napoleone hata Hittler chanzo Cha ujuzi na nguvu wa vifaa vita zenye mahesabu makali alibeba huko misri
Kingine Kama hujui michoro ya kwanza ya Computer ilichorwa na Leonardo Da Vinci miaka ya 1400's kilichomfanya awe na ujuzi huo ni documents zilizobebwa na Vatican kutoka huko misri yeye Ndie Alikua bingwa wa kutoa code Kwenye maandishi ya kale
Usidhani Kila unachokiona kilishushwa Toka angani broo!